Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
Hatutaki bla bla, jamii inahitaji ripoti kamili na siyo maelezo ya kupangwa.
Jamani, hasa waandishi wa habari hivi ni kwa nini mmsimuulize saidi mwema ni ripoti ngapi za Polisi mpaka sasa hivi ziko pending na hajiwekwa wazi, Je haoini kama na hii itakuwa vivyo hivyo?