Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
You have a point,nilikuwa nazungumzia uwezekano wa mtu kujiua kwa SMG,maana kuna watu wamekataa kuwa haiwezekani mtu kujigeuzia hiyo bunduki.Dhidi ya hapo,mimi sikuwepo eneo la tukio na wala sijui aina ya bunduki iliyotumika,sawsawa na hao wanaosema inawezekana kuna mtu kamuua huyo dada.nadhani umenielewa
Hassan unaweza kujipiga risasi ngapi moyoni kabla hujafa?