Asilimia 52 ya wanaume hapa nchini siyo rijali……….!

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,810
15,398
Hivi mnajua kwamba karibu wanaume watano kati ya kumi wanakabiliwa na uhanithi wa aina fulani? Fasihi mbalimbali za tafiti kuhusu hali hii kwa wanaume zinaonyesha kwamba, zaidi ya asilimia 52 ya wanaume wa umri kati ya 40 hadi 70 wanakabiliwa na uhanithi wa aina na viwango mbalimbali. Lakini idadi ya kutosha kati ya hao ni ya wale ambao wana matatizo ya maradhi kama shinikizo la damu, maradhi ya moyo na kisukari.

Wale ambao wana matatizo hayo na ambao wanavuta sigara wako kwenye hali mbaya zaidi na siyo ajabu kwao kuwa na uhanithi wa kudumu. Lakini hata wale ambao hawana maradhi ya aina yoyote, kuna wengi sana ambao wana matatizo haya, ingawa wenyewe wanajiona wako sawa. Uhanithi ni pamoja na na mwanaume kuimaliza haja mapema sana, kushindwa kumaliza na mengine, ambayo kwa mazoea hayaonekani kuwa ni uhanithi. Ongezeko la wauza miti shamba ya kuongeza nguvu za kiume na ukubwa wa maumbile ni ushahidi tosha wa kuthibitisha ukweli huu........... Bidhaa haiwezi kuwa sokoni kwa wingi kama haina wateja........................!
 
Hivi mnajua kwamba karibu wanaume watano kati ya kumi wanakabiliwa na uhanithi wa aina fulani? Fasihi mbalimbali za tafiti kuhusu hali hii kwa wanaume zinaonyesha kwamba, zaidi ya asilimia 52 ya wanaume wa umri kati ya 40 hadi 70 wanakabiliwa na uhanithi wa aina na viwango mbalimbali. Lakini idadi ya kutosha kati ya hao ni ya wale ambao wana matatizo ya maradhi kama shinikizo la damu, maradhi ya moyo na kisukari.

Wale ambao wana matatizo hayo na ambao wanavuta sigara wako kwenye hali mbaya zaidi na siyo ajabu kwao kuwa na uhanithi wa kudumu. Lakini hata wale ambao hawana maradhi ya aina yoyote, kuna wengi sana ambao wana matatizo haya, ingawa wenyewe wanajiona wako sawa. Uhanithi ni pamoja na na mwanaume kuimaliza haja mapema sana, kushindwa kumaliza na mengine, ambayo kwa mazoea hayaonekani kuwa ni uhanithi. Ongezeko la wauza miti shamba ya kuongeza nguvu za kiume na ukubwa wa maumbile ni ushahidi tosha wa kuthibitisha ukweli huu........... Bidhaa haiwezi kuwa sokoni kwa wingi kama haina wateja........................!
Weka data evidence humu na si blah blah kama hii. Tungependa kujua utafiti huu ulifanywa lini, wapi na vipi? sehemu zilizofanyiwa utafiti zilipatikanaje, waliofanyiwa utafiti huo (Sample) walipatikanaje? Utafiti uliendeshwaje ? Ulinganifu wa matokeo na utafiti wa namna hiyo uliofanywa sehemu nyingine; na jarida lililochapisha. Hizi ni baadhi tu ya dondoo zinazoweza shawishi conclussion yako na si hiyo yako ambayo haina tofauti sana na ya wagagnga wa kienyeji.
 
Kumbe ni wengi ndio wadada wengi lazima nao watafute hao kwenye 48% ili wasaidiwe au viserengeti.
 
Nisaidie kabinti kako kamoja mkuu, Cant....au....! kaje kunifanyia research....................Lol! then kakuletee majibu uyajumuishe.
 
Previous I had that problem, But now am like a Bull on bed i make them cry, not a painful cry but 'on top' cry.. i enjoy it..... sijakwenda kwa mganga wala hospitali
 
Mkibisha, wanawake humu watawaumbua.................................

I see! Kwa hiyo wanawake wa humu wanajiuza au ni vipi? Manake sipaji jibu mwanamke anawezaje kujua urijali wa wanaume wote wa JF.

By the way, mjomba wangu aliwahi kuniambia hata kupenda saaana kuzungumzia wanawake as if huna shughuli nyingine maishani mwako ni dalili za mwanzo za uhanithi. Kwa maelezo yako, lile suala la nyeti la kufanya na wanawake linaanza kukuendea kombo na sasa unaanza kuwazungumzia tuuu kila dakika kwa kujifariji.
 
Nitaamini ka akija mtoto wa kike aliyetembea na wanaume ka 100 hv, af ndo atupe hiyo analysis ya 52% ka kweli au la...
 
mitishamba sokoni haiwez kuwa ushahidi tosha, wakti mwngine watu wanaingiwa na tamaa ya ngono kupita hali zao za kawaida hata kama viungo vyao vya uzaz vinatosheleza. baadhi ni kwa 7bu hawariziki na hali zao tu.........
 
Nakubaliana na mtoa mada wanaume wengi hamuwezi wanawake.

Ndo mana sisi wanaume tulio owa...wanawake wengi wanatudekesha, wanatuita babe ili tuwachangamkie :A S shade:
 
Back
Top Bottom