Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,104
hakunipa masharti ni kitu ambacho alivyoniambia hata mimi ni dharau ila nilijipa moyo tuu ni maini robo na nyama ya ng'ombe sehemu ya nundu iliyojaa mafuta unapika pamoja bila maji coz maini yatatoa maji nundu itatoa mafua itaiva then kuna dawa ya kimasai jina niliandika kwenye diary nikiisoma nitakuandikia unachananya unakula baada ya siku 15 unarudia tena na inakuwa basi
Mrs Xian ubarikiwe Mtoto mwma. Hivyo kama ulivyokirimwa njia ya kutengeza Dawa, Nawe wakirimu wengine utengenezaji wa dawa hiyo, kwani wapo wengi wanatamani ujauzito na waoto...ili mzunguko wote utimie! Hongera na ujitunze tuje kukaona kaBaby !!