Mcanada
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 982
- 1,904
Jamani wanaume wenzangu mimi mcanada nimeoa tayari mwanamke wa kichaga tuna miaka 6 kwenye ndoa na tumefanikiwa kupata watoto wawili katika harakati zangu za maisha nikafanikiwa kuja canada na baadae nikamvuta mke wangu na mtoto wetu wa kwanza wakafika canada na baada ya miaka miwili baadae tukapata mtoto wa pili ambaye amejifungua kule kule canada sasa kitengo ambacho nipo pale kazini canada kimenifanya niwe mtu wa kusafiri safiri sana nchi tofauti..
Katika rotation zangu za kikazi miezi hii 6 nitakuwa finland na huu mwezi unaenda wa tatu ...sasa katika harakati za kazi huku na kule nimejikuta tu nimeingia mahusiano na mdada mfinland mmoja na akatokea kunielewa kweli kweli na kuniamini mno ila kwasababu wazungu huwa wanapenda transparency nikajiwekea ulinzi kwanza kwanza kwa kumwambia ukweli kuwa mimi nishaoa na familia yangu ipo Canada ila cha kushangaza alichonijibu ni kuwa hana tatizo juu ya hilo anachohitaji tu mimi kumpa penzi as friend kuhusu ndoa yangu hana tatizo nayo ataheshimu na hataiingilia kwa chochote.
Basi nikaona isiwe tabu wikiendi hii iliyopita bi dada huyu alikuja kwenye nyumba niliyopangiwa na ofisi tukafanya ya kufanya wee kama ilivyo wikiendi zingine ila tulipomaliza akanimbia kuwa pamoja na ujio wake ila pia amekuja kunipa taarifa kuwa tayari ana ujauzito wa mwezi mmoja na hayupo tayari kutoa huo ujauzito na kuhusu matunzo sijui takataka zingine zote zitakuwa juu yake mwenyewe anachohitaji tu kutoka kwangu ni mimi kuwa karibu naye mpaka atakapojifungua.
Sasa yaani toka amenipa hiyo taarifa yaani usingizi sipati kabisa yaani kwakuwa si kitu nilichotegemea kumsaliti mke wangu mpaka kuzaa nje ya ndoa yaani sasa naona hili suala linanitafuna taratibu nasikia hatia kubwa mno maana mke wangu mchaga yule ananiheshimu na kuniamini mno sasa sijui akigundua hii issue sijui itakuwaje.
Sitamani kuingiiza ndoa yangu matatani kwasababu ya hili suala maana litaniharibia mambo yangu mengi mno nyuma ya pazia wazoefu wa haya mambo naomba ushauri wenu nifanyeje ili hili suala nilizike chichini kwa chini yaani mke wangu asijue wala kunusa harufu yoyote kuwa tayari kuna mtoto nje maana mke wangu ni mchunguzi mchunguzi sana.
Nishaharibu mwanaume mwenzenu.
Katika rotation zangu za kikazi miezi hii 6 nitakuwa finland na huu mwezi unaenda wa tatu ...sasa katika harakati za kazi huku na kule nimejikuta tu nimeingia mahusiano na mdada mfinland mmoja na akatokea kunielewa kweli kweli na kuniamini mno ila kwasababu wazungu huwa wanapenda transparency nikajiwekea ulinzi kwanza kwanza kwa kumwambia ukweli kuwa mimi nishaoa na familia yangu ipo Canada ila cha kushangaza alichonijibu ni kuwa hana tatizo juu ya hilo anachohitaji tu mimi kumpa penzi as friend kuhusu ndoa yangu hana tatizo nayo ataheshimu na hataiingilia kwa chochote.
Basi nikaona isiwe tabu wikiendi hii iliyopita bi dada huyu alikuja kwenye nyumba niliyopangiwa na ofisi tukafanya ya kufanya wee kama ilivyo wikiendi zingine ila tulipomaliza akanimbia kuwa pamoja na ujio wake ila pia amekuja kunipa taarifa kuwa tayari ana ujauzito wa mwezi mmoja na hayupo tayari kutoa huo ujauzito na kuhusu matunzo sijui takataka zingine zote zitakuwa juu yake mwenyewe anachohitaji tu kutoka kwangu ni mimi kuwa karibu naye mpaka atakapojifungua.
Sasa yaani toka amenipa hiyo taarifa yaani usingizi sipati kabisa yaani kwakuwa si kitu nilichotegemea kumsaliti mke wangu mpaka kuzaa nje ya ndoa yaani sasa naona hili suala linanitafuna taratibu nasikia hatia kubwa mno maana mke wangu mchaga yule ananiheshimu na kuniamini mno sasa sijui akigundua hii issue sijui itakuwaje.
Sitamani kuingiiza ndoa yangu matatani kwasababu ya hili suala maana litaniharibia mambo yangu mengi mno nyuma ya pazia wazoefu wa haya mambo naomba ushauri wenu nifanyeje ili hili suala nilizike chichini kwa chini yaani mke wangu asijue wala kunusa harufu yoyote kuwa tayari kuna mtoto nje maana mke wangu ni mchunguzi mchunguzi sana.
Nishaharibu mwanaume mwenzenu.