Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,829
asante ndg yangu kwa kunipa moyo na kunirekebisha kauli...unajua naumia sana kwa mtihani huu nakuomba uniombee namimi nifanikiwe ndg yako.
In Shaa Allah Mambo yatakaa sawa utayaona mepesi tu muda ukifika