Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Chaguzi zote za Wazungu huwa zinaibiwa au kwa maana nyingine huwa zimeshapangwa na Rais au Kiongozi huwa tayari ameshateuliwa wanachofanya Wananchi ni kutimiza wajibu wao tu, lkn Wazungu wamekuwa wakizunguka Dunia nzima kuwaambia wengine kwamba chaguzi zao siyo free and fair!
Sasa mwaka huu D.Trump anawaumbua Wazungu, kwamba wao ndiyo waibaji kura wakubwa ukiangalia nchi ya Uingereza Waziri Mkuu wake ajulikanaye kama Tereza May hakuna aliyempigia kura lkn ndiyo kiongozi wa Uingereza, sasa demokrasia iko wapi hapo?
Huyo may amewekwa tu na maelite kuwaongoza Wananchi ambao hawajamchagua, najua Mwafrika utakuja hapa kumtetea Bwana ako Mzungu lkn ukweli ni kwamba huyo May hajachaguliwa na wananchi wa Uingereza bali amesimikwa madarakani!
Fikiria nchi ya Kiafrika iweke Raisi wa nchi bila ya uchaguzi halafu Raisi awekwaye kama alivyofanya May akatae kuitisha Uchaguzi watu wangeita ICC, lkn Mzungu kwa kuwa ni mnafiki na ametumia miaka zaidi ya 100 kumbrain wash Mwafrika kwamba yeye ni superior being basi Mwafrika huamini chochote afanyacho Mzungu!
Lkn ukweli ni ukwamba chaguzi zote Ulaya na USA huibiwa na Wananchi kamwe hawaamui nani awe Rais!
Sasa mwaka huu D.Trump anaianika live system ya Kimafia ya Kizungu na USA hapatatosha kwa maana Wazungu wameshachoka na wanaitaka nchi yao iliyoharibiwa na akina Obama, Clinton &Co.!
Sasa mwaka huu D.Trump anawaumbua Wazungu, kwamba wao ndiyo waibaji kura wakubwa ukiangalia nchi ya Uingereza Waziri Mkuu wake ajulikanaye kama Tereza May hakuna aliyempigia kura lkn ndiyo kiongozi wa Uingereza, sasa demokrasia iko wapi hapo?
Huyo may amewekwa tu na maelite kuwaongoza Wananchi ambao hawajamchagua, najua Mwafrika utakuja hapa kumtetea Bwana ako Mzungu lkn ukweli ni kwamba huyo May hajachaguliwa na wananchi wa Uingereza bali amesimikwa madarakani!
Fikiria nchi ya Kiafrika iweke Raisi wa nchi bila ya uchaguzi halafu Raisi awekwaye kama alivyofanya May akatae kuitisha Uchaguzi watu wangeita ICC, lkn Mzungu kwa kuwa ni mnafiki na ametumia miaka zaidi ya 100 kumbrain wash Mwafrika kwamba yeye ni superior being basi Mwafrika huamini chochote afanyacho Mzungu!
Lkn ukweli ni ukwamba chaguzi zote Ulaya na USA huibiwa na Wananchi kamwe hawaamui nani awe Rais!
Sasa mwaka huu D.Trump anaianika live system ya Kimafia ya Kizungu na USA hapatatosha kwa maana Wazungu wameshachoka na wanaitaka nchi yao iliyoharibiwa na akina Obama, Clinton &Co.!