Asante Donald Trump kwa kuwavua nguo Wazungu!

No real democracy in the World.wazungu kama sisi tuu rangi tu ile isituchanganye
 
Ni nani amekwambia kwamba Waingereza hawalalamiki? Tatizo lako akili zako zimeshikwa na Mzungu na huwezi kuona chochote nje ya Mzungu anachokwambia, Wazungu wengi sana tu wanaprotest corrupt system yao na ndiyo maana D:Trumo anasupport base kubwa, hata Ulaya kuna Wazungu wengi hawataki tena main stream political parties!
We ni mjinga Wa kiwango cha lami... Tanzania matatizo tele... Africa matatizo tele, Leo tumeamua kumumilika matatizo ya wazungu.. Hii ni zaidi ya umaamuma...
 
Ni wapi nime justify rigging? Kusema Mzungu anaiba kura ndiyo kujustify rigging? Na hapo ndipo tatizo lilipo akili zenu mmeshikiwa na Wazungu kwa kuwa Wazungu wanaiba kura haimanishi kwamba kila mtu anaiba, ni wao ndiyo waibaji kura wakubwa lkn kuna sehemu nyingi Dunia hii ambao kuna free and fair elections!
Mbona unang'ang'ania Wazungu badala ya kujikita kwenye hoja!!? Anyway, only an idiot won't understand that!!

Huyo Trump naye ni Mzungu............. Kile anachosema Trump siyo lazima kiwe kweli!! Trump ni just a poor spoiled Rich Boy like our own spoiled rich boys in Africa who think they can get anything or everything when they want it. When things do not go their way .... they do the Trump way!!
 
We ni mjinga Wa kiwango cha lami... Tanzania matatizo tele... Africa matatizo tele, Leo tumeamua kumumilika matatizo ya wazungu.. Hii ni zaidi ya umaamuma...


Ohh kumbe kujua na kujifunza yanayoendelea nje nchi yako ni Ujinga? Hilo nilikuwa silijui, basi nafikiri Dunia inapaswa itoe maana mpya ya Ujinga!
 
Mbona unang'ang'ania Wazungu badala ya kujikita kwenye hoja!!? Anyway, only an idiot won't understand that!!

Huyo Trump naye ni Mzungu............. Kile anachosema Trump siyo lazima kiwe kweli!! Trump ni just a poor spoiled Rich Boy like our own spoiled rich boys in Africa who think they can get anything or everything when they want it. When things do not go their way .... they do the Trump way!!


Hauna hoja!
 
Chaguzi zote za Wazungu huwa zinaibiwa au kwa maana nyingine huwa zimeshapangwa na Rais au Kiongozi huwa tayari ameshateuliwa wanachofanya Wananchi ni kutimiza wajibu wao tu, lkn Wazungu wamekuwa wakizunguka Dunia nzima kuwaambia wengine kwamba chaguzi zao siyo free and fair!

Sasa mwaka huu D.Trump anawaumbua Wazungu, kwamba wao ndiyo waibaji kura wakubwa ukiangalia nchi ya Uingereza Waziri Mkuu wake ajulikanaye kama Tereza May hakuna aliyempigia kura lkn ndiyo kiongozi wa Uingereza, sasa demokrasia iko wapi hapo?

Huyo may amewekwa tu na maelite kuwaongoza Wananchi ambao hawajamchagua, najua Mwafrika utakuja hapa kumtetea Bwana ako Mzungu lkn ukweli ni kwamba huyo May hajachaguliwa na wananchi wa Uingereza bali amesimikwa madarakani!

Fikiria nchi ya Kiafrika iweke Raisi wa nchi bila ya uchaguzi halafu Raisi awekwaye kama alivyofanya May akatae kuitisha Uchaguzi watu wangeita ICC, lkn Mzungu kwa kuwa ni mnafiki na ametumia miaka zaidi ya 100 kumbrain wash Mwafrika kwamba yeye ni superior being basi Mwafrika huamini chochote afanyacho Mzungu!

Lkn ukweli ni ukwamba chaguzi zote Ulaya na USA huibiwa na Wananchi kamwe hawaamui nani awe Rais!

Sasa mwaka huu D.Trump anaianika live system ya Kimafia ya Kizungu na USA hapatatosha kwa maana Wazungu wameshachoka na wanaitaka nchi yao iliyoharibiwa na akina Obama, Clinton &Co.!
Mkuu kwanza unatakiwa kujua katiba zao kabla ya kuleta uzi hapa katika jamvi. Nikusaidie Waziri mkuu wa UK hachaguliwi kama unavyotaka kuwaaminisha watu, usifikirie UK wana system kama ya kwetu Tanzania, UK kiongozi wa Nchi siyo waziri mkuu bali ni Malkia. Hivyo chama kinachopata viti vingi Bungeni ndicho kinaongoza serikali na hiyo ndiyo Demoktasia yao. Kuhusu suala ya Teresa May yeye ni mbunge wa kuchaguliwa na wananchi hivyo alipigiwa kura na chama chake ndicho kilicho na wabunge wengi na chenye dhamana ya kuunda serikali na yeye kama kiongozi wa Conservative hivyo ana mamlaka ya kuwa Waziri mkuu akipenda ama anaweza kuitisha uchaguzi mkuu mwingine. Kwanini utumie gharama kubwa kuutisha uchaguzi wakati Katiba inakuruhusu kuwa waziri mkuu. Hapa JF naona wakati mwingine tunataka kutumia mifano isiyo hata na miguu ili kuthibitisha maoni yetu. Kwahili mkuu jaribu kulifanyia research maana halina ukweli wowote. Na kuhusu Trump kusema kura kaibiwa hiyo ni tapatapa ya mufa maji, kwanini hakusema wakati anaongoza kura za maoni???? kwanini aseme sasa? Ni sawa na Mrema mwaka 1995 alipoona ana watu wengi ktk kampeni alidhani atashinda ktk uchaguzi lakini alisahau kuwa wengi wanakwenda kushuhudia vitimbi na vituko vya kampeni.
 
Nuilijua tu mtakuja kumtetea Mzungu, vyovyote vile lkn ukweli unabakia kuwa huyo Bibi May hajachaguliwa na Mwananchi yoyote yule wa Uingereza bali amesimikwa na hiyo siyo Demokrasia kwani siyo chaguo la watu, kwani hata kama ikitokea kama ilivyotokea huko Uingereza basi Waziri Mkuu mpya huwa ni wa mpito na hupaswa kuitisha uchaguzi haraka iwezekanavyo lkn T.May amekataa kuitisha uchaguzi hivyo ataongoza hivyo mpaka mwisho ingawaje hajachaguliwa!

Kama ni swala la Katiba hata Nkuruzinza pia Katiba inampa uwezo wa kubadilisha Katiba kwa nini Wazungu wanamuwekea vikwazo?
Siyo kumtetea mzungu jaribu kusoma katiba yao kabla hujaja kujiaibisha hapa kuandika kitu usichokijua
 
Trump angejikita kwenye biashara zake na kuandika vitabu, viatu vya Urais vinampwaya.
 
Mkuu kwanza unatakiwa kujua katiba zao kabla ya kuleta uzi hapa katika jamvi. Nikusaidie Waziri mkuu wa UK hachaguliwi kama unavyotaka kuwaaminisha watu, usifikirie UK wana system kama ya kwetu Tanzania, UK kiongozi wa Nchi siyo waziri mkuu bali ni Malkia. Hivyo chama kinachopata viti vingi Bungeni ndicho kinaongoza serikali na hiyo ndiyo Demoktasia yao. Kuhusu suala ya Teresa May yeye ni mbunge wa kuchaguliwa na wananchi hivyo alipigiwa kura na chama chake ndicho kilicho na wabunge wengi na chenye dhamana ya kuunda serikali na yeye kama kiongozi wa Conservative hivyo ana mamlaka ya kuwa Waziri mkuu akipenda ama anaweza kuitisha uchaguzi mkuu mwingine. Kwanini utumie gharama kubwa kuutisha uchaguzi wakati Katiba inakuruhusu kuwa waziri mkuu. Hapa JF naona wakati mwingine tunataka kutumia mifano isiyo hata na miguu ili kuthibitisha maoni yetu. Kwahili mkuu jaribu kulifanyia research maana halina ukweli wowote. Na kuhusu Trump kusema kura kaibiwa hiyo ni tapatapa ya mufa maji, kwanini hakusema wakati anaongoza kura za maoni???? kwanini aseme sasa? Ni sawa na Mrema mwaka 1995 alipoona ana watu wengi ktk kampeni alidhani atashinda ktk uchaguzi lakini alisahau kuwa wengi wanakwenda kushuhudia vitimbi na vituko vya kampeni.


Hata wewe uko hapa tu kutetea Mzungu, ukweli unabakia kuwa Teraza May hajachaguliwa kidemokrasia na Wananchi wa Uingereza, bali amesimikwa!
Kwa kukusaidia ninakuwelea hapa maneno ya Tereza May wakati Waziri Mkuu mwingine wa Uingereza aitwaye Gordon Brown pia aliposimikwa madarakani bila ya uchaguzi, wakati huo Tereza May ailikuwa upinzani, haya ndiyo maneno ya Tereza May mwaka 2007,

,,So whenever Gordon Brown chooses to call a general election, we will be ready for him. He has no democratic mandate. He has a reputation tainted by his failures after a decade in office. And he has no new ideas. An early election? Bring it on,”

Sasa nakuuliza swali ni kwanini huyo Tereza May mwaka 2007 alisema Gordon has no democatric mandate?
 
Kuongelea habari hii bila kuitaja CCM na JECHA basi hii threads ina kasoro bado.

Yaani unaelezea WIZI WA KURA halafu huitaji Chama Cha...... wala JESHA?
 
Siyo kumtetea mzungu jaribu kusoma katiba yao kabla hujaja kujiaibisha hapa kuandika kitu usichokijua


Haya ni maneno ya Tereza May mwaka 2007 dhidi ya Waziri Mkuu mwingine ambaye hakuchaguliwa pia

,,So whenever Gordon Brown chooses to call a general election, we will be ready for him. He has no democratic mandate. He has a reputation tainted by his failures after a decade in office. And he has no new ideas. An early election? Bring it on,”

Sasa niambie ni kwa nini Tereza May alisema Gordon Brown has no democratic mandate?
 
Huyo Barbarosa ni akili matope tuu topic zake zote zimejaa ujinga wa hali ya juu na zinaonyesha jinsi asivyoelewa issues lakini cha kusikitisha zaidi ana wafuasi kibao wanaomjazia likes na kumpa support,hawa watu ni kama wafuasi wa Donald Trump, I cant wait 8th Nov to bury trump in landslide ndio mtajua Americans hawana akili za vichechje kama mnavyofikiria
 
Nuilijua tu mtakuja kumtetea Mzungu, vyovyote vile lkn ukweli unabakia kuwa huyo Bibi May hajachaguliwa na Mwananchi yoyote yule wa Uingereza bali amesimikwa na hiyo siyo Demokrasia kwani siyo chaguo la watu, kwani hata kama ikitokea kama ilivyotokea huko Uingereza basi Waziri Mkuu mpya huwa ni wa mpito na hupaswa kuitisha uchaguzi haraka iwezekanavyo lkn T.May amekataa kuitisha uchaguzi hivyo ataongoza hivyo mpaka mwisho ingawaje hajachaguliwa!

Kama ni swala la Katiba hata Nkuruzinza pia Katiba inampa uwezo wa kubadilisha Katiba kwa nini Wazungu wanamuwekea vikwazo?
Nkurunziza ana haki, kwasababu awamu ya kwanza aliteuliwa tu, kwa demokrasia amechaguliwa mara moja kwa iyo anatakiwa kugombea muhula wake mwingine ndo amalize, achen unafik hapa
 
Mkuu kwanza unatakiwa kujua katiba zao kabla ya kuleta uzi hapa katika jamvi. Nikusaidie Waziri mkuu wa UK hachaguliwi kama unavyotaka kuwaaminisha watu, usifikirie UK wana system kama ya kwetu Tanzania, UK kiongozi wa Nchi siyo waziri mkuu bali ni Malkia. Hivyo chama kinachopata viti vingi Bungeni ndicho kinaongoza serikali na hiyo ndiyo Demoktasia yao. Kuhusu suala ya Teresa May yeye ni mbunge wa kuchaguliwa na wananchi hivyo alipigiwa kura na chama chake ndicho kilicho na wabunge wengi na chenye dhamana ya kuunda serikali na yeye kama kiongozi wa Conservative hivyo ana mamlaka ya kuwa Waziri mkuu akipenda ama anaweza kuitisha uchaguzi mkuu mwingine. Kwanini utumie gharama kubwa kuutisha uchaguzi wakati Katiba inakuruhusu kuwa waziri mkuu. Hapa JF naona wakati mwingine tunataka kutumia mifano isiyo hata na miguu ili kuthibitisha maoni yetu. Kwahili mkuu jaribu kulifanyia research maana halina ukweli wowote. Na kuhusu Trump kusema kura kaibiwa hiyo ni tapatapa ya mufa maji, kwanini hakusema wakati anaongoza kura za maoni???? kwanini aseme sasa? Ni sawa na Mrema mwaka 1995 alipoona ana watu wengi ktk kampeni alidhani atashinda ktk uchaguzi lakini alisahau kuwa wengi wanakwenda kushuhudia vitimbi na vituko vya kampeni.
Kwann unasema Mrema, kwann usiseme CHADEMA mwaka jana pia waliamin ivyo, kumbe wanakwenda kishangaa helkopta
 
Kwann unasema Mrema, kwann usiseme CHADEMA mwaka jana pia waliamin ivyo, kumbe wanakwenda kishangaa helkopta
Nimesema Mrema kwasababu nilishiriki ule uchaguzi lakini huu wa mwaka jana sikuwepo nyumbani.
 
Haya ni maneno ya Tereza May mwaka 2007 dhidi ya Waziri Mkuu mwingine ambaye hakuchaguliwa pia

,,So whenever Gordon Brown chooses to call a general election, we will be ready for him. He has no democratic mandate. He has a reputation tainted by his failures after a decade in office. And he has no new ideas. An early election? Bring it on,”

Sasa niambie ni kwa nini Tereza May alisema Gordon Brown has no democratic mandate?
Ngoja nikusaidie hapa kukuwekea hii labda itakusaidia:
The Fixed-term Parliaments Act 2011 sets the interval between general elections at five years. At the end of this time a new House of Commons must be elected.


The Fixed-term Parliaments Act 2011 provides for general elections to be held on the first Thursday in May every five years.

However, there are two provisions that trigger an election other than at five year intervals:

  • a motion of no confidence is passed in Her Majesty's Government by a simple majority and 14 days elapses without the House passing a confidence motion in any new Government formed
  • a motion for a general election is agreed by two thirds of the total number of seats in the Commons including vacant seats (currently 434 out of 650)
Previous to this Act, the Prime Minister could call a general election at any time within the five year period and not all Parliaments lasted the full five years.

Before 2011 a general election could be called earlier for a number of reasons. For example, the Prime Minister could decide to call an election at a time when he or she was most confident of winning the election (getting more MPs than any other party) or if a government was defeated on a confidence motion, a general election could follow.

hakuna panaposema PM akijihudhuru aitishe mkutano mwingine. Ila zamani kabla ya 2011 PM aliweza kuitisha mkutano mkuu wakati wowote ule akiona chama kinaweza kushinda. Mrs May yeye alikua hypocrite ni kama hawa wanasiasa wako wa tanzania wa CCM na CHADEMA (UKAWA) ambao mtu akiwa kwao ni kamanda akihama ni msaliti. Watu wameshaanza kumsuta kwa kile alichokisema maana alijua sheria ya UK inasemaje kukitokea kitu kama hicho siyo kama wewe unayesoma katika magazeti ama kusikiliza wanasiasa katika luninga yako. Nimekuwekea vipengele kabisa ili kumaliza hii mada.

nilishakuambia Prime Minister wa UK hachaguliwi na hapa kuna majibu...
Who becomes Prime Minister?
Can I vote for a new Prime Minister?
No. You can only vote to elect your local MP in a general election. Even if you live in the constituency represented by the current Prime Minister or the leader of another political party, you are still only voting on whether he or she will be your local MP in the next Parliament.
Formation of a government following a general election
Usually the political party that wins the most seats in the House of Commons at a general election forms the new government and its leader becomes Prime Minister.

If no party wins a majority of the seats, a situation which is known as a 'hung Parliament', then the largest party may form a minority government or there may be a coalition government of two or more parties. The Prime Minister appoints ministers who work in the government departments, the most senior of these sit in Cabinet.


Kama hutaelewa hapa basi utakuwa una matatizo.
 
Hata wewe uko hapa tu kutetea Mzungu, ukweli unabakia kuwa Teraza May hajachaguliwa kidemokrasia na Wananchi wa Uingereza, bali amesimikwa!
Kwa kukusaidia ninakuwelea hapa maneno ya Tereza May wakati Waziri Mkuu mwingine wa Uingereza aitwaye Gordon Brown pia aliposimikwa madarakani bila ya uchaguzi, wakati huo Tereza May ailikuwa upinzani, haya ndiyo maneno ya Tereza May mwaka 2007,

,,So whenever Gordon Brown chooses to call a general election, we will be ready for him. He has no democratic mandate. He has a reputation tainted by his failures after a decade in office. And he has no new ideas. An early election? Bring it on,”

Sasa nakuuliza swali ni kwanini huyo Tereza May mwaka 2007 alisema Gordon has no democatric mandate?
Barbarosa jitahidi sana kufanya tafiti kabla hujabishana na watu maana magazeti hayatakusaidia ama siyo utabaki kuwa mkazi wa TANAPA wa rangi ya kijani.
 
Chaguzi zote za Wazungu huwa zinaibiwa au kwa maana nyingine huwa zimeshapangwa na Rais au Kiongozi huwa tayari ameshateuliwa wanachofanya Wananchi ni kutimiza wajibu wao tu, lkn Wazungu wamekuwa wakizunguka Dunia nzima kuwaambia wengine kwamba chaguzi zao siyo free and fair!

Sasa mwaka huu D.Trump anawaumbua Wazungu, kwamba wao ndiyo waibaji kura wakubwa ukiangalia nchi ya Uingereza Waziri Mkuu wake ajulikanaye kama Tereza May hakuna aliyempigia kura lkn ndiyo kiongozi wa Uingereza, sasa demokrasia iko wapi hapo?

Huyo may amewekwa tu na maelite kuwaongoza Wananchi ambao hawajamchagua, najua Mwafrika utakuja hapa kumtetea Bwana ako Mzungu lkn ukweli ni kwamba huyo May hajachaguliwa na wananchi wa Uingereza bali amesimikwa madarakani!

Fikiria nchi ya Kiafrika iweke Raisi wa nchi bila ya uchaguzi halafu Raisi awekwaye kama alivyofanya May akatae kuitisha Uchaguzi watu wangeita ICC, lkn Mzungu kwa kuwa ni mnafiki na ametumia miaka zaidi ya 100 kumbrain wash Mwafrika kwamba yeye ni superior being basi Mwafrika huamini chochote afanyacho Mzungu!

Lkn ukweli ni ukwamba chaguzi zote Ulaya na USA huibiwa na Wananchi kamwe hawaamui nani awe Rais!

Sasa mwaka huu D.Trump anaianika live system ya Kimafia ya Kizungu na USA hapatatosha kwa maana Wazungu wameshachoka na wanaitaka nchi yao iliyoharibiwa na akina Obama, Clinton &Co.!
Kura kuibwa kupo lakini nadhan hujaelewa vizuri alichokiongea au mwenyewe haelewi alichokiongea.issue ya kuiba kura ni tofauti na namna alivyoingia madarakan,kaingia kwa mujibu wa katiba yao baada ya chama chake kushinda uchaguzi wa kura maoni wabaki ndani EU au wajitoe.chama chake kilikuwa kinapigania kujitoa na kikashinda ivo kupelekea serikali ya chama kilichoshindwa kujiuzuru .
Sio wazungu tu,Africa pia zipo nchi zenye mifumo ya kikatiba kama iyo,kama South Africa miaka kadha nyuma uchaguzi ndani ya ANC uling'oa Mbeki madarakani na kuingia makamu wake,sasa katiba yao inaeleza mwenyekiti wa chama ndie anaekuwa rais wa nchi.umekurupika
 
Back
Top Bottom