Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
:embarassed2: MBOWE HATA AKIJAMBA WEWE UTASIFIA TU, HONGERA SANA KWA KUMPENDA MBOWE KUZIDI BABA YAKO :embarassed2:
Are you a great thinker?
:embarassed2: MBOWE HATA AKIJAMBA WEWE UTASIFIA TU, HONGERA SANA KWA KUMPENDA MBOWE KUZIDI BABA YAKO :embarassed2:
Lipumba ameshatueleza sera zake amesema yeye akiwa Rais atakuwa anagawa pesa kwa raia wote na atawafungulia account wote ili mpate gawiwo.Hakuna kitu kama hicho hapa Tanzania, huwezi kupata majibu hayo. Wenzetu wanaongelea debt crises za nchi zao na dunia, healthcare woes, price of crude oil, rising unemployment numbers, shrinking food supplies... etc etc... sisi national issues zetu ni watoto wa Wassira wahama chama, uwanja wa NMC Arusha umejaa watu, Mwigulu Nchemba anajicheba na wake za watu... ndio national agenda .
Huwezi kuambiwa hapa Mbowe amesema nini Arusha.
Uongo mwingine ni wa kitoto sana, mtu yupo juu ya Fuso la Chadema, wewe unasema eti nje ya ofisi ya Kata, unataka kuniambia hiyo ofisi ya kata ni kubwa kuzidi makao makuu ya Chadema taifa.
Really!!Mamluki wa Chadena anachezea kichapo si unaona hata sale za chama hana...umegushwa umekuja..
mkuu mbona yupo sahihi, sema ametumia lugha ya kibaiolijia sana lakini anamaanisha kinywa kwa lugha nyingine anamaanisha afunge domo lakeHapo kwenye Red mdau umenipiga chenga,ulikuwa na maana gani.
wewe wamekufundisha kubisha kila kitu? mimi nilidhani ulikuwepo Arusha kumbe upo kariakoo.Uongo mwingine ni wa kitoto sana, mtu yupo juu ya Fuso la Chadema, wewe unasema eti nje ya ofisi ya Kata, unataka kuniambia hiyo ofisi ya kata ni kubwa kuzidi makao makuu ya Chadema taifa.
Uongo mwingine ni wa kitoto sana, mtu yupo juu ya Fuso la Chadema, wewe unasema eti nje ya ofisi ya Kata, unataka kuniambia hiyo ofisi ya kata ni kubwa kuzidi makao makuu ya Chadema taifa.
Lipumba ameshatueleza sera zake amesema yeye akiwa Rais atakuwa anagawa pesa kwa raia wote na atawafungulia account wote ili mpate gawiwo.
Sisi wanywa kahawa kwa pamoja tumeahidi kura zetu zote ni kwa Lipumba maana hakuna haja ya kufanya kazi Lipumba atakuwa anatumwagia mapesa, huyu ni mchumi wa Dunia.
Muulize Profesa Pumba. Mungu wa CUF."Gawiwo" ni nini?
Hujamwelewa kwa kuwa una akili ndogo, ana maana yupo nje ya ofisi ya kata ila kasimama juu ya fuso la chadema. Jitahidi kuuliza siyo kukurupukaUongo mwingine ni wa kitoto sana, mtu yupo juu ya Fuso la Chadema, wewe unasema eti nje ya ofisi ya Kata, unataka kuniambia hiyo ofisi ya kata ni kubwa kuzidi makao makuu ya Chadema taifa.
Muulize Profesa Pumba. Mungu wa CUF.
Are you a great thinker?
Dah!Unashangaa, hii ndo jf iliyojibatiza slogan fake ya "home of great thinkers" ukiangalia kwenye dictionary ya kiingereza maana halisi ya great thinker = a person who thinks especially deeply and constructively, hebu fikiria kama hii slogan inaendana na watu kama hawa au jf wanamaana nyingine ya great thinkers
Uongo mwingine ni wa kitoto sana, mtu yupo juu ya Fuso la Chadema, wewe unasema eti nje ya ofisi ya Kata, unataka kuniambia hiyo ofisi ya kata ni kubwa kuzidi makao makuu ya Chadema taifa.
Preta,
Udiwani sio issue kuna nafasi muhimu kushinda haiwezekani udiwani, ubunge mtapata.
sijahadisiwa....sijatunga.....na nina uhakika 120%....udiwani Daraja Mbili ni wa Chadema.....kila mmoja na aamini ninachosema......
Hawa ndio aina ya Wanawake wa kuoa, huyu hayupo kwenye level ya kofia na Kanga.