Arusha yazizima baada ya Mbowe kuhutubia

Ingekuwa vizuri hawa viongozi wakuu wa taifa Kichama wanapoongea tusiishie tu kusifia umati wa watu waliojitokeza. Hebu tujuze Mbowe kazungumza nini juu ya uchumi wa nchi yetu,mikakati ya kujikwamua kiuchumi,..na sera nyingine kama kilimo,elimu,ajira na kadhalika. Haya ndio mambo muhimu tunayohitaji kupima uzito wa hotuba za hawa viongozi na sera za vyama siasa. Ni kwa njia hii ndio tutaweza kupima kati ya viongozi shupavu,wenye mipango,wenye sera makini,wakweli..vinginevyo tutaingiza madarakani vilaza,waongo,walafi,wapenda sifa na wabinafsi.
Mleta uzi,Mbowe kwa nafasi yake amesema nini juu ya hayo?

Nenda pale Lumumba watakupa hotuba yake.
 
Najua huajanywa chai hadi saizi ndo maana hujaelewa vizuri kiswahili...

Ni hivi, hilo FUSO unalosema liko nje ya ofisi ya kata so hakuna uongo hapo. Kama umeenda shule kidogo jikumbushe zile hesabu za set na subset na union of the set kisha chora venn diagram uone kama fuso halijapaki kwenye ofisi ya kata

Salute.
 
CHADEMA sasa hivi ni mwendo wa kuchukua udiwani,ubunge! CCM walale mlalo wa kifo cha mende! CDM ni chama kubwa linapiga sehemu nyeti.
 
Uongo mwingine ni wa kitoto sana, mtu yupo juu ya Fuso la Chadema, wewe unasema eti nje ya ofisi ya Kata, unataka kuniambia hiyo ofisi ya kata ni kubwa kuzidi makao makuu ya Chadema taifa.
ficha upumbavu wako usifiche hekima yako
 
Msiwe kama mamba kila kitu mnacholetewa mnameza tu bila kuhoji, unaweza kunionesha ofisi za Chadema hapo?

umefaulu hesabu ya sett uloambiwa uifanye hapo hawali?
Teh, kweli we ndo'ritz
 
Uongo mwingine ni wa kitoto sana, mtu yupo juu ya Fuso la Chadema, wewe unasema eti nje ya ofisi ya Kata, unataka kuniambia hiyo ofisi ya kata ni kubwa kuzidi makao makuu ya Chadema taifa.

we acha ubwege, kwani fuso la chadema limepaki wapi? angani au nje? na hapo nje ni wapi kama sio ofisi ya kata ya chadema? pia haijalishi kama juu ya fuso au jukwaani issue ni mkutano ambao ulifanyika daraja2 na mbowe alihutubia.
 
Ingekuwa vizuri hawa viongozi wakuu wa taifa Kichama wanapoongea tusiishie tu kusifia umati wa watu waliojitokeza. Hebu tujuze Mbowe kazungumza nini juu ya uchumi wa nchi yetu,mikakati ya kujikwamua kiuchumi,..na sera nyingine kama kilimo,elimu,ajira na kadhalika. Haya ndio mambo muhimu tunayohitaji kupima uzito wa hotuba za hawa viongozi na sera za vyama siasa. Ni kwa njia hii ndio tutaweza kupima kati ya viongozi shupavu,wenye mipango,wenye sera makini,wakweli..vinginevyo tutaingiza madarakani vilaza,waongo,walafi,wapenda sifa na wabinafsi.
Mleta uzi,Mbowe kwa nafasi yake amesema nini juu ya hayo?

Inamaana huoni maandishi au umekunywa valuu?
 
Furaha ya Ritz ni kuona mnajibu pumba zake, anapenda sana mnapotoka kwenye hoja ya msingi

mkuu ... pumba zake huwa zinajibiwa kwa pumba na majibu ya kijinga ku-justify ujinga
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom