Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,617
ila mimi nawakubali sana CUF kwa maana si mliona mwaka 2000 na mwaka 1995? CUF wanakubalika katika jamii japo nao pia naona kama wana ka udini ila hawajaishinda M4C ,chadema wapo kidini zaidi wakifuatiwa na CUF ,binafsi nafuu wazee wa kuvua Gamba.
Hueleweki