Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu hapa Levolosi mkuu.
Karibu hapa Levolosi mkuu.
Chadema kipo kwa ajili ya Kanisa tu
Ili asipotee Levolosi ni kubwa sana, ajisogeze karibu kabisa na kliniki jirani kabisa na stendi ya vifodi vya nduruma.
Pamoja na kubeba watu toka kona mbalimbali za nchi lakini bado tu mkutano wameenda kuusokomeza kwenye kauwanja kadogo karibu na soko na stendi ya vifodi.
​Kuna hii picha ya sasa hivi, wametokea mnara wa mwenge wanaelekea kilombero
View attachment 66632
Mkandarasi kwanini hujapunguza siti moja nawe ukamlaki le profesa wa uchumi sultan Lipumba!?
Btw, vipi uwanja wa levolosi ukoje hadi sasa?
Lengo walau ni ili abiria waongeze idadi.
kwani wemekuja kutambika, na unauhakika gani kuwa ni wapemba.?Mkuu wangu hao wapemba watalala nyumba za wageni?
hakuna zaid ya Le profesa.Ney wa mitego alighani eti LIPUMBA KILA UCHAGUZI ANAGOMBEA YEYE KWANI WENGINE HAKUNA? nmba mstarii huu upewe majibu kwenye mkutano wa leo
Naanza kuamini Arusha ni Ngome ya CHADEMA, na hawa wanao andamana watakuwa wametokea Dar
nijulisheni viwanja vya mkutano nataka nikamwuone Profesa wa Uchumi na wana HAKI SAWA KWA WOTE
Hawa watu walio kuwa wanaandamana walikuwa wakipiga ngoma nakuimba sijui ndo inaitwa KASWIDA au ndo nini. Inaelekea wametoka msikitini
Lengo walau ni ili abiria waongeze idadi.
Hawa watu walio kuwa wanaandamana walikuwa wakipiga ngoma nakuimba sijui ndo inaitwa KASWIDA au ndo nini. Inaelekea wametoka msikitini
Bagarashia vipi na hijab ni kwa wingi?
Leo nitawaletea kitakacho kuwa kinaendelea kwenye uwanja wa Levolosi kwenye mkutano wa CUF. kwasasa CUF walikuwa wanazunguka hapa mjini Arusha wakiwa na coasta zaidi ya 20 na pikipiki....