Duuh aisee🙌🏿🙌🏿.... mwendo wa kupasua anga tu.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali waliohudhuria Mkutano wa Saudi Arabia na Nchi za Afrika unaofanyika Jijini Riyadh tarehe 10 Novemba, 2023.View attachment 2809707
View attachment 2809708View attachment 2809709
hebu soma ulichoandika,na ujitafakariAwagawie mlima Kilimanjaro, awape zawadi ya ziwa Victoria pia kuna mbuga nyingi za wanyama zimebaki baada ya kugawa Ngorongornd kwa waarabu wa Dubai awagawie zilizobaki mbona hatuna kazi nazo, aaah nimekumbuka pia kuna misitu kongwe ya Gombe yao awape tu sisi watujengee misikiti kama waliyojenga mwaka jana wakitaka wachukue na Wanyakyusa wanatubanabana tu hapa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali waliohudhuria Mkutano wa Saudi Arabia na Nchi za Afrika unaofanyika Jijini Riyadh tarehe 10 Novemba, 2023.View attachment 2809707
View attachment 2809708View attachment 2809709
Hijab imempendezesha sana. Wagalatia wanaumia sana lkn hakuna budi imekuwaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali waliohudhuria Mkutano wa Saudi Arabia na Nchi za Afrika unaofanyika Jijini Riyadh tarehe 10 Novemba, 2023.View attachment 2809707
View attachment 2809708View attachment 2809709
Mbona sijamwona William na M7 hapo.Africa inazidi kudunishwa, inakuaje taifa Moja liwakusanye mataifa 54 sebuleni kwao?
Biriani hizo za Nyama ya ngamia yenye maviungo yakutosha yenye kunukia na kuleta ladha adhimu kinywani na majuisi ya tende miksa mavipodozi kutoka super markets zilizopo kwenye jengo la burja Khalif!!Tuache utani Mama yetu anapendeza sana yani!! Kongole kwa huyo mtaalamu wa mavazi ya mama. She looks great
Tuache utani Mama yetu anapendeza sana yani!! Kongole kwa huyo mtaalamu wa mavazi ya mama. She looks great
ACHA WIVU, ROHO MBAYA NA AKILI MBOVUAwagawie mlima Kilimanjaro, awape zawadi ya ziwa Victoria pia kuna mbuga nyingi za wanyama zimebaki baada ya kugawa Ngorongornd kwa waarabu wa Dubai awagawie zilizobaki mbona hatuna kazi nazo, aaah nimekumbuka pia kuna misitu kongwe ya Gombe yao awape tu sisi watujengee misikiti kama waliyojenga mwaka jana wakitaka wachukue na Wanyakyusa wanatubanabana tu hapa.
sawa mke wanguACHA WIVU, ROHO MBAYA NA AKILI MBOVU
SAWAsawa mke wangu