arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,854
- 3,316
Good for usDeschamp kwake bora amchezeshe RB kama CB kuliko kumpa nafasi SALIBAView attachment 2943279
Good for usDeschamp kwake bora amchezeshe RB kama CB kuliko kumpa nafasi SALIBAView attachment 2943279
🤣 we jamaa🤣Tuseme Mara ngapi, hii ndio phase ya makombe
Epl tunaongoza ligi,
game ngumu iliyobaki Ni moja tu vs wolves ambayo tutakua away
Uefa tunafikiria Kati ya city na Madrid hapa tutakutana na Nani?
Ndugu yangu mkorea mimi sio mganga wala mchawi ila shida ya timu yenu wala haitaji rocket science kuelewa.Flano alianza Kama mchawi wetu kutia maneno ya nuksi na mikosi, mbaya zaidi uchawi hauendi kwa mentally (the gunner)
Sasa ameamua kuwa mganga kabisa, kila kukicha yeye anakuja na lamli tu
#arsenalNDOO
View attachment 2943743
Hizo ni emotional tu, Zitunze Sana hizo risiti maana meseji zako za kichawi chawi nazo tumezitunza. Tutakuna mayNdugu yangu mkorea mimi sio mganga wala mchawi ila shida ya timu yenu wala haitaji rocket science kuelewa.
Kama kweli mna nia ya kubeba makombe tafuteni kwanza kocha wa kueleweka, achaneni na hizo false hopes anazowalisha Masingeli kuhusu Mateka na takwimu zake za uchwara.
Mateka kipindi chake anacheza mpira alisha prove kua ni failure, halafu nyinyi mnategemea mpate matokeo mazuri kwa kufundishwa na mwalimu ambae naye pia alifeli, Mateka kwenye historia yake ya kucheza soka la kulipwa hajawahi kushinda kombe lolote la maana zaidi ya kombe la FA.
kiufupi Arsenyo haina tofauti yoyote na hizi shule zetu za St. Kayumba ambazo zinafundishwa walimu waliofeli secondary, matokeo yake mtoto anamaliza darasa la 7 halafu hajui kusoma wala kuandika.
Mateka ni Mid table coach, hata mentality zake unaziona kabisa ni za kufundisha Mid Table Team, humu mnadanganyana mwanzo wa msimu halafu mnapofika mwisho wa msimu mnaanza kugundua kua mna Avarage coach ambae hawezi kuwafikisha popote, matusi yanakua mengi humu halafu msimu mpya ukianza mnasahau kabisa kiini cha matatizo ya timu yenu mnakuja tena na ngonjera hizohizo, ndio maana kuna wachambuzi wakubwa wa soka hua wanawachambua mpaka mashabiki wa Arsenyani na kuwaweka kwenye level ya misukuleView attachment 2943825View attachment 2943826View attachment 2943827View attachment 2943828View attachment 2943829View attachment 2943830View attachment 2943831View attachment 2943832
Tutajie kocha wa kueleweka kwa Sasa ambaye amempita Arteta tactical capacity...tupe list ya makocha watatu tu ambao wakiwekwa pale Arsenal watafanya maajabu...Angalizo; usitutajie Kipara Baba Ubaya Ten Hag hapaNdugu yangu mkorea mimi sio mganga wala mchawi ila shida ya timu yenu wala haitaji rocket science kuelewa.
Kama kweli mna nia ya kubeba makombe tafuteni kwanza kocha wa kueleweka, achaneni na hizo false hopes anazowalisha Masingeli kuhusu Mateka na takwimu zake za uchwara.
Mateka kipindi chake anacheza mpira alisha prove kua ni failure, halafu nyinyi mnategemea mpate matokeo mazuri kwa kufundishwa na mwalimu ambae naye pia alifeli, Mateka kwenye historia yake ya kucheza soka la kulipwa hajawahi kushinda kombe lolote la maana zaidi ya kombe la FA.
kiufupi Arsenyo haina tofauti yoyote na hizi shule zetu za St. Kayumba ambazo zinafundishwa walimu waliofeli secondary, matokeo yake mtoto anamaliza darasa la 7 halafu hajui kusoma wala kuandika.
Mateka ni Mid table coach, hata mentality zake unaziona kabisa ni za kufundisha Mid Table Team, humu mnadanganyana mwanzo wa msimu halafu mnapofika mwisho wa msimu mnaanza kugundua kua mna Avarage coach ambae hawezi kuwafikisha popote, matusi yanakua mengi humu halafu msimu mpya ukianza mnasahau kabisa kiini cha matatizo ya timu yenu mnakuja tena na ngonjera hizohizo, ndio maana kuna wachambuzi wakubwa wa soka hua wanawachambua mpaka mashabiki wa Arsenyani na kuwaweka kwenye level ya misukuleView attachment 2943825View attachment 2943826View attachment 2943827View attachment 2943828View attachment 2943829View attachment 2943830View attachment 2943831View attachment 2943832
Zinsberger akikatiza kwenye anga zangu lazima nikamtambulishe kwa mama na afundishwe kupika mtori na machalari. Namuweka ndani mazima. Kimpira favourite wangu ni McCabe.Mchezaji gani kwenye timu ya Arsenal wanawake, unamkubali?
Mimi wapo kama sita:
1. McCabe, huyu hata Stars anaanza
2. Lotte Wuben-Moy, Stars anaanza
3. Leah Williamson
4. Little
5. Mead, kidogo na
6. Blackstenius
Kiuchezaji wanaonivutia:Mchezaji gani kwenye timu ya Arsenal wanawake, unamkubali?
Mimi wapo kama sita:
1. McCabe, huyu hata Stars anaanza
2. Lotte Wuben-Moy, Stars anaanza
3. Leah Williamson
4. Little
5. Mead, kidogo na
6. Blackstenius
Mbona Alessia Russo simuoni kwny list...yule mm ndo namkubali🤠Mchezaji gani kwenye timu ya Arsenal wanawake, unamkubali?
Mimi wapo kama sita:
1. McCabe, huyu hata Stars anaanza
2. Lotte Wuben-Moy, Stars anaanza
3. Leah Williamson
4. Little
5. Mead, kidogo na
6. Blackstenius
Sasa hivi ubora wake umepungua kiasi.Mbona Alessia Russo simuoni kwny list...yule mm ndo namkubali🤠
Kuna mdogo wake Leece James yupo Chelsea (Lauren James), yule dada anajua., pamoja na golikipa wa Aston Villa Leat. Wale timu ya Taifa ya wanaume Tz wanaanza bila ubishi