HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 2,572
- 4,807
Spurs sisi tulikuwa tumpige 3-0 kwake. Chelkenge wamempiga. Livakuku wamempiga. Sioni kama anafaa kuaminiwa. Akishaona hawezi kupata top 4, ataona bora apigwe ili Arsenal isibebe kombe.Mimi bado nawahesabia na Spurs, sijawakatia tamaa