- Thread starter
- #41
sheria ya serikali za mitaa ya mwaka 1982 RE 2000 Sec.5(1-5) inatoa mamlaka kwa waziri mwenye dhamana na serikali za mitaa kuanzisha halmashauri ya wilaya. na contents of establishment zinatajwa sec.6(a-c). procedures for establishment sec 7(1-5)
sasa huu uhuru wa mayani kujiamulia wapi yawe makao makuu ya wilaya unatoka wapi? na kama maombi ya awali ya uhitaji wa kuanzishwa kwa halmashauri mpya kwenda kwa waziri mhusika yalitoka kwa wananchi(baraza la madiwani) mihutasari ilikuwa inasema wilaya hiyo mpya iitwe jina gani? na makao makuu yawe wapi? na kama waziri alilizia kuanzishwa kwa wilaya hiyo je, alifanyia marekebisho yoyote kwa vigezo vya awali?
kimsingi sioni sababu ya hili nalo kuwa ishu? na kwa upande wa pili naona hii ndiyo gharama ya democracy kugeuka uhuru wa manyani
Nchi hii imekuwa ikiongozwa kwa ubavu