Anguko la CHADEMA sasa ni dhahiri

we mafilili mtaani kwenu wapi , weka picha acha unafiki! mtatumika sana mpaka 2015,tatizo lenu mnajisahau mnazani ccm itatawala milele
 
Nilifuatilia kwa makini kabisa bunge lililopita, nilichogundua ni kwamba wabunge wa cdm walioanzisha swala la kuiwajibisha serikali ni halima mdee na Tindu Lissu.

Kwa mshangao wa wengi mbunge Zitto Kabwe aliteka mawazo ya hao wabunge wawili na kunukuliwa akisema swala la kuiwajibisha serikali lilikuwa ni la kwake, kwa lugha nyepesi tu utagundua ya kwamba cdm hawako pamoja kama chama ila ni mkusanyiko wa wanaharakati wenye malengo binafsi.

Yaani hilo dogo tu ndiyo limekufanya uanzishe uzi!!!!! Kwa lugha nyingine umetafuta machafu ya CDM umeyakosa ukaamua kuandika upuuzi wako huu.

Heko CDM ukiona hivyo jua mpo makini na wabay wenu wana weweseka.
 
makupa jamaa yetu haya mawazo yako anayeweza kuyaelewa ni ms na ff tu..lakini pia si mbaya ukimpm rejao,ritz,balantanda,mama porojo nk watafurahia sana pm yako

hakuhitaji degree kutambua CHADEMA kinapotea kabla ya 2015 dalili zipo wazi
 
CHADEMA wanafanya kazi pamoja, kwa moyo moja, kwa standard ile ile. Zitto ni mwenyekiti wa POAC, alitoa hoja ya kuiwajibisha serikali kama CDM, siyo kama yeye. CDM ni moja na itaendelea kuwa moja bila kuyumbishwa na mpumbavu yeyote.

Usijidanganye wala usidanganye umma. Slaa na Zitto picha haziendi kabisa na wala hawawivi chungu kimoja. Hakuna asiyejuwa hilo labda ni punguani.

Zitto huwa hakubaliani na maamuzi mengi ya Mwenyekiti na Katibu Mkuu, hilo linajulikana na migogoro mingi ya uongozi na hitilafu baina yao zimeshajitokeza zaidi ya mara moja. Ilishafikia mpaka Zitto kuwekwa kiti moto, umesahau kabla ya kulazwa Agakhan Hospital mara ya kwanza? unaonesha ni mfupi wa kumbukumbu.
 
Nilifuatilia kwa makini kabisa bunge lililopita, nilichogundua ni kwamba wabunge wa cdm walioanzisha swala la kuiwajibisha serikali ni halima mdee na Tindu Lissu.

Kwa mshangao wa wengi mbunge Zitto Kabwe aliteka mawazo ya hao wabunge wawili na kunukuliwa akisema swala la kuiwajibisha serikali lilikuwa ni la kwake, kwa lugha nyepesi tu utagundua ya kwamba cdm hawako pamoja kama chama ila ni mkusanyiko wa wanaharakati wenye malengo binafsi.

yaani ndio umemaliza?! hahahahahaaaaaa
 
Nilifuatilia kwa makini kabisa bunge lililopita, nilichogundua ni kwamba wabunge wa cdm walioanzisha swala la kuiwajibisha serikali ni halima mdee na Tindu Lissu.

Kwa mshangao wa wengi mbunge Zitto Kabwe aliteka mawazo ya hao wabunge wawili na kunukuliwa akisema swala la kuiwajibisha serikali lilikuwa ni la kwake, kwa lugha nyepesi tu utagundua ya kwamba cdm hawako pamoja kama chama ila ni mkusanyiko wa wanaharakati wenye malengo binafsi.

we muhindi una matatizo sana.yaani bado unajipendekeza kwa ccm huku unaona inatokomea???!
 
Katika hao uliowataja yupi wa ccm?. Katika mchezo wa mpira wa miguu, wachezaji wapo 11, mfungaji wa goli kwa kawaida ni mmoja lakini baada ya kazi nzuri ya wachezaji wenzake kuihadaa ngome ya timu pinzani pamoja na kutoa pass zenye uhakika. Tafakari na uchukue hatua.
 
Kumbukumbu yangu inaniambia Tundu Lissu alisema anategemea wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge watakapofanya majumuisho walete hoja ya kuwajibishwa serikali
Zitto ni mwenyekiti wa kamati na aliitikia wito wa Tundu Lissu
Kwenye mpira kuna mfungaji na aliyetoa pasi
Ndilo lililotokea hapa
Pasi ya Lissu na Mdee, Zitto akafunga: perfect team work
CCM wakiulizwa: Ooh! Naibu ananizunguka...hiyo ndiyo dhana ya ubinafsi
 
Nilifuatilia kwa makini kabisa bunge lililopita, nilichogundua ni kwamba wabunge wa cdm walioanzisha swala la kuiwajibisha serikali ni halima mdee na Tindu Lissu.

Kwa mshangao wa wengi mbunge Zitto Kabwe aliteka mawazo ya hao wabunge wawili na kunukuliwa akisema swala la kuiwajibisha serikali lilikuwa ni la kwake, kwa lugha nyepesi tu utagundua ya kwamba cdm hawako pamoja kama chama ila ni mkusanyiko wa wanaharakati wenye malengo binafsi.

Nakubaliana na wewe, hapa mtaani kwetu mwenyekiti wa tawi la CDM na Katibu wake usiku wa jana wameshikana mashati; kweli hiki chama ni uvunjaji wa amani tu

hakuhitaji degree kutambua CHADEMA kinapotea kabla ya 2015 dalili zipo wazi

Usijidanganye wala usidanganye umma. Slaa na Zitto picha haziendi kabisa na wala hawawivi chungu kimoja. Hakuna asiyejuwa hilo labda ni punguani.

Zitto huwa hakubaliani na maamuzi mengi ya Mwenyekiti na Katibu Mkuu, hilo linajulikana na migogoro mingi ya uongozi na hitilafu baina yao zimeshajitokeza zaidi ya mara moja. Ilishafikia mpaka Zitto kuwekwa kiti moto, umesahau kabla ya kulazwa Agakhan Hospital mara ya kwanza? unaonesha ni mfupi wa kumbukumbu.


Zamani, enzi za Mwalimu, Ahadi mojawapo ya CCM ilikuwa: "nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko"

CCM ya sasa mkakati msingi wao wa kuchelewesha anguko lao: "sema uongo uwezavyo juu ya CDM, ili ujifariji na wajinga waendelee kuwa nawe..."
 
cdm haiji kuanguka mpaka kizazi hiki kipite kwa maana hiyo pengine miaka 50-55hivi
 
Nakubaliana na wewe, hapa mtaani kwetu mwenyekiti wa tawi la CDM na Katibu wake usiku wa jana wameshikana mashati; kweli hiki chama ni uvunjaji wa amani tu
Kama mume na mke wanaweza kushikana mashati na kuamuliwa - wakaendelea kuishi pamoja; unashangaa Mwenyekiti na Katibu kushikana mashati? Umefirisika mawazo dogo; au umebanwa m.a.v.i
 
Nilifuatilia kwa makini kabisa bunge lililopita, nilichogundua ni kwamba wabunge wa cdm walioanzisha swala la kuiwajibisha serikali ni halima mdee na Tindu Lissu.

Kwa mshangao wa wengi mbunge Zitto Kabwe aliteka mawazo ya hao wabunge wawili na kunukuliwa akisema swala la kuiwajibisha serikali lilikuwa ni la kwake, kwa lugha nyepesi tu utagundua ya kwamba cdm hawako pamoja kama chama ila ni mkusanyiko wa wanaharakati wenye malengo binafsi.

Huna nyimbo..hakuna hoja hapo.
 
Back
Top Bottom