Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
magamba at work...
Nilifuatilia kwa makini kabisa bunge lililopita, nilichogundua ni kwamba wabunge wa cdm walioanzisha swala la kuiwajibisha serikali ni halima mdee na Tindu Lissu.
Kwa mshangao wa wengi mbunge Zitto Kabwe aliteka mawazo ya hao wabunge wawili na kunukuliwa akisema swala la kuiwajibisha serikali lilikuwa ni la kwake, kwa lugha nyepesi tu utagundua ya kwamba cdm hawako pamoja kama chama ila ni mkusanyiko wa wanaharakati wenye malengo binafsi.
mafilili kwa hili unaarisha kwa kutumia mdomo jamani, waongelea katibu wa tawi wa cdm kushikana mashati, hujui kuwa waziri omar nundu na naibu wake wameshikana mashati tena hadharani? Hujui kuwa jk na fisadi lowasa hawaelewani? Hujui kuwa samwel sita na el hawaelewani? Duh fahamu mafisadi hawabebeki
Nilifuatilia kwa makini kabisa bunge lililopita, nilichogundua ni kwamba wabunge wa cdm walioanzisha swala la kuiwajibisha serikali ni halima mdee na Tindu Lissu.
Kwa mshangao wa wengi mbunge Zitto Kabwe aliteka mawazo ya hao wabunge wawili na kunukuliwa akisema swala la kuiwajibisha serikali lilikuwa ni la kwake, kwa lugha nyepesi tu utagundua ya kwamba cdm hawako pamoja kama chama ila ni mkusanyiko wa wanaharakati wenye malengo binafsi.
Nilifuatilia kwa makini kabisa bunge lililopita, nilichogundua ni kwamba wabunge wa cdm walioanzisha swala la kuiwajibisha serikali ni halima mdee na Tindu Lissu.
Kwa mshangao wa wengi mbunge Zitto Kabwe aliteka mawazo ya hao wabunge wawili na kunukuliwa akisema swala la kuiwajibisha serikali lilikuwa ni la kwake, kwa lugha nyepesi tu utagundua ya kwamba cdm hawako pamoja kama chama ila ni mkusanyiko wa wanaharakati wenye malengo binafsi.
Haya ndio mambo yanayofanya mtukanwe hapa jamvini. Utumbo bila uthibitisho, alinukuliwa wapi na lini akisema hivyo? Nukuu zote zilizoziona anasema hili ni jambo la kitaifa na ni zaidi ya chama. Haya yako ameyasema lini na wapi?
na ndio maana alisema wabunge wa vyama vyote wametia saini isipokuwa wa udpKuna watu wanalalamika kwamba sisi tunawatusi, em sema na wewe kwa uzi kama huu unategemea michango gani toka kwangu, Ni wapi Zitto aliposema kwamba hii ni hoja yake binafsi, siku zote amesema hii ni zaidi ya hoja ya CHADEMA, ni hoja ya kitaifa kwa ajili ya wanyonge.
Leo mtu anakuja kupotosha kiasi kama hiki! Af et kwa hili tu ndiyo iwe proof ya anguko la CHADEMA, Yaani udini, ukanda ulishindwa leo ije hili la sahihi 70