R RR JF-Expert Member Mar 17, 2007 6,966 2,019 Oct 16, 2015 #81 Thredi ina miaka minne! Kama aliliwa ashapona siku mingi.
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,260 142,059 Oct 16, 2015 #82 Huyo ni mchezo. Ukikubali tu unaenda kuliwa pesa. Wanatengeneza fumanizi feki, matapeli hao.
deepsea JF-Expert Member Aug 10, 2013 3,288 939 Oct 16, 2015 #83 RR said: Thredi ina miaka minne! Kama aliliwa ashapona siku mingi. Click to expand... na ngwengwe imeanza kumpekecha
RR said: Thredi ina miaka minne! Kama aliliwa ashapona siku mingi. Click to expand... na ngwengwe imeanza kumpekecha
IRINGA MOJA JF-Expert Member Nov 13, 2014 503 229 Oct 16, 2015 #85 Angalia sana siku hizi huo ndio mtindo mpya wa kutoa kucha na meno then kaburi mabwepande. Nashauri tu
Angalia sana siku hizi huo ndio mtindo mpya wa kutoa kucha na meno then kaburi mabwepande. Nashauri tu