Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nshamalizana nae yoo
Unaonaje ukishauriana na mpenzi wako au mkeo kuhusu hili kwanza,au nae uko tayari kumsaliti pia?...au uko single & searching kwa hiyo hilo umeona kama zali la mentali mkuu?.Ilikuwa juzi majira ya jioni jioni hivi mara nikapata simu kutoka kwa dada fulani hivi alijitambulisha kwa jina la Fatma(simfahamu) na alikuwa anamuulizia mtu pia ambaye simjui(kutokana na situation alikuwa amekosea namba) akawa amelitambua hilo mapemaa..
Sasa baada kama ya saa moja hivi nikapokea tena simu kwa namba ile ile ya kwanza ya Fatma mara hii tena nilivyopokea kumbe mumewe ndo aliyenipigia na akaanza kunishtumu kuwa namchukulia mkewe na kuanza kunitukana matusi ya maungoni mimi nilichokifanya niliiweka simu loudspeaker na kuanza kupiga mabati na fimbo(kwa nia ya kumpigia kelele) kwa kuwa nilimuambia ki-staarabu hakunielewa.
Sasa mwisho wa picha mkewe akanipigia na kuniambia kuwa mumewe anampga,ana mtukana na kumtesa kwa kosa ambalo hajafanya hivyo akawa ananiambia ananitaka nifanye mapenzi nae kwa kuwa amechoka kulaumiwa kwa kosa hasilofanya ni bora tu alifanye kabisa na kuongezea kuwa atalipa guest house mwenyewe ili mradi tu nikamshughurikie.
Sasa mimi niko dilema naombeni ushauri wana jamii yoo..GT hapa yoo
Usikubali kabisa,,,uzinzi ni dhambiIlikuwa juzi majira ya jioni jioni hivi mara nikapata simu kutoka kwa dada fulani hivi alijitambulisha kwa jina la Fatma(simfahamu) na alikuwa anamuulizia mtu pia ambaye simjui(kutokana na situation alikuwa amekosea namba) akawa amelitambua hilo mapemaa..
Sasa baada kama ya saa moja hivi nikapokea tena simu kwa namba ile ile ya kwanza ya Fatma mara hii tena nilivyopokea kumbe mumewe ndo aliyenipigia na akaanza kunishtumu kuwa namchukulia mkewe na kuanza kunitukana matusi ya maungoni mimi nilichokifanya niliiweka simu loudspeaker na kuanza kupiga mabati na fimbo(kwa nia ya kumpigia kelele) kwa kuwa nilimuambia ki-staarabu hakunielewa.
Sasa mwisho wa picha mkewe akanipigia na kuniambia kuwa mumewe anampga,ana mtukana na kumtesa kwa kosa ambalo hajafanya hivyo akawa ananiambia ananitaka nifanye mapenzi nae kwa kuwa amechoka kulaumiwa kwa kosa hasilofanya ni bora tu alifanye kabisa na kuongezea kuwa atalipa guest house mwenyewe ili mradi tu nikamshughurikie.
Sasa mimi niko dilema naombeni ushauri wana jamii yoo..GT hapa yoo
angalia mifano yako mkuu yoo...
Ilikuwa juzi majira ya jioni jioni hivi mara nikapata simu kutoka kwa dada fulani hivi alijitambulisha kwa jina la Fatma(simfahamu) na alikuwa anamuulizia mtu pia ambaye simjui(kutokana na situation alikuwa amekosea namba) akawa amelitambua hilo mapemaa..
Sasa baada kama ya saa moja hivi nikapokea tena simu kwa namba ile ile ya kwanza ya Fatma mara hii tena nilivyopokea kumbe mumewe ndo aliyenipigia na akaanza kunishtumu kuwa namchukulia mkewe na kuanza kunitukana matusi ya maungoni mimi nilichokifanya niliiweka simu loudspeaker na kuanza kupiga mabati na fimbo(kwa nia ya kumpigia kelele) kwa kuwa nilimuambia ki-staarabu hakunielewa.
Sasa mwisho wa picha mkewe akanipigia na kuniambia kuwa mumewe anampga,ana mtukana na kumtesa kwa kosa ambalo hajafanya hivyo akawa ananiambia ananitaka nifanye mapenzi nae kwa kuwa amechoka kulaumiwa kwa kosa hasilofanya ni bora tu alifanye kabisa na kuongezea kuwa atalipa guest house mwenyewe ili mradi tu nikamshughurikie.
Sasa mimi niko dilema naombeni ushauri wana jamii yoo..GT hapa yoo
Nenda kaka! ila jiandae kwa mambo yafuatayo:
1. ukikuta hanamvuto uwetayari kumsaidia pia
2.Uwe fiti kwa magoli ya kutosha
3. jiandae kugeuzwa, kulipa au kudhalilishwa pindi ukifumaniwa
4. usisahau salama c
nihayo