Mdigokhan
JF-Expert Member
- May 2, 2022
- 843
- 1,923
Kuna mwanamke fulani nilimkuta baa fulani analewa nikaona acha nijisogeze, kweli nikafanikiwa kukaa naye hakuniringi.
Alikuwa analewa huku analia nikamuuliza Mbona unalia akagoma kuniambia ila baada ya kumbembeleza ili anijuze Sababu za Yeye kulia akaniambia ataniambia.
Muda ulikwenda na akataka kusepa hivyo nikaomba namba na akanipatia. Wiki zikapita na tulikuwa tunachat. Nilimtongoza alikataa waziwazi ila nikajipa moyo acha niendelee kumbembeleza maana hakuna makati mgumu mbele ya chai, tukawa tunachat tukazoea kwa kiasi.
Juzi sasa nashangaa akanipigia simu ananiita niendee maeneo fulani hivi na ni guest, na alikuwa analia sana. Nikavaa safari ikaanza kumfata hayo maeneo.
Nikafika akaniambia chumba namba fulani njoo, nikasita maana niingie tu je kama naenda kukatwa makende yangu au kunichukulia haka ka 1phone 11 kangu, maana michezo mingi siku hizi hapa mjini. Nikamwambia siwezi kuingia tu ndani na sijui upo na nani, unanitisha, akajibu kama hutaki basi then akakata simu.
Nikajiuliza kwa dakika kadhaa nikaona freshi, liwalo na liwe, nikazama ndani mpaka reception, nikamuuliza muhudumu chumba akanionesha ila nikaona acha nimuachie huyu muhudumu walet yangu na simu, basi nikazama ndani na buku 10 tu.
Kufika nikamkuta peke yake huku anakunywa bia zake mwenyewe ila macho mekundu nadhani kwa kilio. Akanihug na romance nikapewa. Namuuliza sababu ya yeye kulia na kuonekana ana stress, aah binti hajajibu akapeleka mkono kwenye zipu yangu akachomo maiki.
Ni kitendo cha dakika kadhaa nikaanza kula mzigo, bilinge bilinge kibao mpaka nakamaliza. Niliuza mechi kizembe sana ila kwa pisi ile hata sikutaka kujilaumu. Akiwa kalala kwenye kifua changu akaanza nambie sababu ya yeye kuwa na stress na kulewa tangu siku ile ya kwanza kumkuta bar.
Akasema unajua mdigo I am in love with my father walah kiasi kwamba namuonea mama yangu wivu and sometimes i get mad nikiwaona pamoja. Nimeamua kuhama home kwa sababu hiyo na sijawahi kumwambia baba but to be honest nampenda kimapenzi.
Nina wadogo zangu pia, but the problem is my dad is too handsome na mim ni mtoto wake wa kwanza alinipata akiwa na 21 ananidekeza sana na anitreat kama princess and huwa ananiita my princess. I don't know what to do, napagawa sana mpaka nakuwa hivi, yaani kama kaniroga, I love him nataka hata anioe!
😂 Nilidata kwanza, yaani sikutegema kama kuna siku naweza sikia haya maneno kwa binti eti anampenda baba yake mzazi amgonge na kumuoa. Yule binti ni pisi sana tena sana, yaani kama unawajua wanawake wazuri basi nae muweke humo humo, then anajiweza kifedha kwa kiasi; Harrier new model, kazi nzuri taasisi X.
Binafsi nikaona hii laana, hata sikutaka kumshauri. Jana alinipigia simu tukaongea ila sikuwa na furaha nae, kwanza amenitumia kingono kisa tu kupoza uchungu wa baba ake.
Alikuwa analewa huku analia nikamuuliza Mbona unalia akagoma kuniambia ila baada ya kumbembeleza ili anijuze Sababu za Yeye kulia akaniambia ataniambia.
Muda ulikwenda na akataka kusepa hivyo nikaomba namba na akanipatia. Wiki zikapita na tulikuwa tunachat. Nilimtongoza alikataa waziwazi ila nikajipa moyo acha niendelee kumbembeleza maana hakuna makati mgumu mbele ya chai, tukawa tunachat tukazoea kwa kiasi.
Juzi sasa nashangaa akanipigia simu ananiita niendee maeneo fulani hivi na ni guest, na alikuwa analia sana. Nikavaa safari ikaanza kumfata hayo maeneo.
Nikafika akaniambia chumba namba fulani njoo, nikasita maana niingie tu je kama naenda kukatwa makende yangu au kunichukulia haka ka 1phone 11 kangu, maana michezo mingi siku hizi hapa mjini. Nikamwambia siwezi kuingia tu ndani na sijui upo na nani, unanitisha, akajibu kama hutaki basi then akakata simu.
Nikajiuliza kwa dakika kadhaa nikaona freshi, liwalo na liwe, nikazama ndani mpaka reception, nikamuuliza muhudumu chumba akanionesha ila nikaona acha nimuachie huyu muhudumu walet yangu na simu, basi nikazama ndani na buku 10 tu.
Kufika nikamkuta peke yake huku anakunywa bia zake mwenyewe ila macho mekundu nadhani kwa kilio. Akanihug na romance nikapewa. Namuuliza sababu ya yeye kulia na kuonekana ana stress, aah binti hajajibu akapeleka mkono kwenye zipu yangu akachomo maiki.
Ni kitendo cha dakika kadhaa nikaanza kula mzigo, bilinge bilinge kibao mpaka nakamaliza. Niliuza mechi kizembe sana ila kwa pisi ile hata sikutaka kujilaumu. Akiwa kalala kwenye kifua changu akaanza nambie sababu ya yeye kuwa na stress na kulewa tangu siku ile ya kwanza kumkuta bar.
Akasema unajua mdigo I am in love with my father walah kiasi kwamba namuonea mama yangu wivu and sometimes i get mad nikiwaona pamoja. Nimeamua kuhama home kwa sababu hiyo na sijawahi kumwambia baba but to be honest nampenda kimapenzi.
Nina wadogo zangu pia, but the problem is my dad is too handsome na mim ni mtoto wake wa kwanza alinipata akiwa na 21 ananidekeza sana na anitreat kama princess and huwa ananiita my princess. I don't know what to do, napagawa sana mpaka nakuwa hivi, yaani kama kaniroga, I love him nataka hata anioe!
😂 Nilidata kwanza, yaani sikutegema kama kuna siku naweza sikia haya maneno kwa binti eti anampenda baba yake mzazi amgonge na kumuoa. Yule binti ni pisi sana tena sana, yaani kama unawajua wanawake wazuri basi nae muweke humo humo, then anajiweza kifedha kwa kiasi; Harrier new model, kazi nzuri taasisi X.
Binafsi nikaona hii laana, hata sikutaka kumshauri. Jana alinipigia simu tukaongea ila sikuwa na furaha nae, kwanza amenitumia kingono kisa tu kupoza uchungu wa baba ake.