Anahitajika mwanaume aliyetayari kuwa mume

Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato

Mengine tutajuzana PM, karibu.
Huyo mtoto ulie nae babaye yuko wapi
 
Pia tengeneza profile nzuri, picha decent hasa za outdoors, usiedit sana zikapoteza uhalisia.. kisha zitupie, kwenye dating app
kama
okcupid, Bumble, tinder, blackwhite, etc.

Huko napo unaweza kupata mwenza,
Umakini unahitajika kufahamiana na watu wapya wa mtandaoni, so kama kukutana ziwe sehemu public yenye watu wengi kama (mlimani city) .. toa taarifa kwa mtu wako wa karibu ajue exactly wapi unakwenda ...

Usitume taarifa za documents kuhusu wewe kwa mtu suitemfahamu unless umehiahkikishia usalama..
 
Pia tengeneza profile nzuri, picha decent hasa za outdoors, usiedit sana zikapoteza uhalisia.. kisha zitupie, kwenye dating app
kama
okcupid, Bumble, tinder, blackwhite, etc.

Huko napo unaweza kupata mwenza,
Umakini unahitajika kufahamiana na watu wapya wa mtandaoni, so kama kukutana ziwe sehemu public yenye watu wengi kama (mlimani city) .. toa taarifa kwa mtu wako wa karibu ajue exactly wapi unakwenda ...

Usitume taarifa za documents kuhusu wewe kwa mtu suitemfahamu unless umehiahkikishia usalama..
Nashukuru sana kwa ushauri wako mzuri. Nitaufanyia kazi. Ubarikiwe ndugu
 
Mungu akubariki Ednatha. Uko na hekima, hata majibu yako kwenye maswali kichefuchefu yanaonyesha hivyo. Upate hitaji la moyo wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom