Mbona hivi leo wa pili huyu.Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
TehtehVipi mama unahitaji mwanaume mwenye kazi gani?
Au hata mimi muuza majeneza ntakufaa?
Nasubiri jibu ili kama sintokufaa nimstue dingi yangu mdogo yeye ni mlinzi hapo kwa wahindi hanaga mke pia
YewooooomiNjoo pm tuyajenge....upo mkoa gani
Usifurahi....safari imisha ata kabla haijaanza...mrembo kasemaa sina vigezo baada ya maongezi machaache huko chembaYewooooomi
Unalijua hili jambo?Una mpango wakuongeza mtoto au unataka mwanaume wakuleana tuu na kuenjoy maisha?
Jambo gani tena hiloUnalijua hili jambo?
View attachment 2194484
Yuko sahihi kabisaUnalijua hili jambo?
View attachment 2194484
kijana wa ovyo sana wewe38y kwanini umechelewa sana dada yangu? ona sasa unaokota watu hovyo mitandaoni
Huu ni uongo uliotukuka. Nyinyi wanawake wasomi hamna uwezo wa kuitumikia ndoa. Nyinyi ni wajeuri, wajuaji na mnaotaka kutawala wanaume. Ndio sio kwa ajili yenu nyinyi endeleeni na u superwomen wenuKuiishi na kuitumikia ndoa
Huu ni uongo uliotukuka. Nyinyi wanawake wasomi hamna uwezo wa kuitumikia ndoa. Nyinyi ni wajeuri, wajuaji na mnaotaka kutawala wanaume. Ndio sio kwa ajili yenu nyinyi endeleeni na u superwomen wenu
Kila la heri, kumbuka sifa kitambi na gari usiolewe na choka mbaya.
Zinatengenezwaje? Mtu asiewahi kufanya tendo utamjua tu,wakat wa accident hiyo. Ukiona anakatia vitunguu vingi au anakushikilia jua huyo ni kipanga na umepigwa na kitu kizito🤣🤣🤣🤣 we utaibiwa bikra zinatengenezwa!