Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 213
WEWE ungefanyaje/.. REAL story...
Baada ya kufunga ndoa takribani miezi 6 hivi, jamaa yangu wa karibu alihisi kusalitiwa kwa ndoa yake. Akafanya mtego na siku hiyo kama kawaida aliaga anakwenda kwenye biashara zake mkoani.
Mke akamjulisha X B/F wake kama kawaida yao. Ilipofika saa 2 usiku, Mume akarudi ghafla na kufungua mlango na kukaa sitting room akihofia kwenda b/room ambako kulikuwa na shughuli inaendelea. Mume mwizi akamwambia yule mwanamke. Nimesikia kama mtu ameingia sebuleni. Mwanamke kwa sababu ana uhakika hakuna mtu wa kuingia kwake kwani mume alishasafiri, akatoka kama alivyozaliwa na kumkuta mume wake amejaa sitting room.
Mume akamwomba msamaha mke wake kwa kumtibulia starehe yake na kuingia chumbani ambako vilevile alimwomba msamaha mgoni wake. Na kumwambia.. ''Siku nyingine uwe unakwenda G/house sio kuja nyumbani kwangu.. Utauawa bure''. yule mwizi aliachia mkojo kitandani akijua ndio mwisho wake. Na mke alikuwa anasubiri kuona kitakachotokea baada ya mume wake kuingia b/room. Yule bwana akaingia bafuni kuoga, huku nyuma, mwizi akaingia mitini.
Mume hakumuuliza tena mke wake wala kumpiga na hakumweleza mtu yeyote yale yaliyomkuta.. Maisha yakaendelea lakini, hakuna huduma yoyote, hakuna mazungumzo, hakuna salamu wala hakuna mawasiliano yoyote na mke wake. Baada ya miezi 3, mume akaja na mwanamke mwingine na kulala nae nyumbani kwake huku mke wake anaona. Asubuhi, mke aliondoka bila kuaga na kurudi kwao. Huko alipoulizwa, akasema amefukuzwa.. Akiulizwa sababu, hana cha maana cha kueleza. Wazazi walimtafuta mume wake na alikwenda na kueleza kila kitu na kumwacha mke moja kwa moja..
Hiki ni kisa cha kweli kilichomtokea rafiki yangu wa karibu kama miezi 6 iliyopita... JE UNGEKUWA WEWE., UNGEFANYAJE?
Baada ya kufunga ndoa takribani miezi 6 hivi, jamaa yangu wa karibu alihisi kusalitiwa kwa ndoa yake. Akafanya mtego na siku hiyo kama kawaida aliaga anakwenda kwenye biashara zake mkoani.
Mke akamjulisha X B/F wake kama kawaida yao. Ilipofika saa 2 usiku, Mume akarudi ghafla na kufungua mlango na kukaa sitting room akihofia kwenda b/room ambako kulikuwa na shughuli inaendelea. Mume mwizi akamwambia yule mwanamke. Nimesikia kama mtu ameingia sebuleni. Mwanamke kwa sababu ana uhakika hakuna mtu wa kuingia kwake kwani mume alishasafiri, akatoka kama alivyozaliwa na kumkuta mume wake amejaa sitting room.
Mume akamwomba msamaha mke wake kwa kumtibulia starehe yake na kuingia chumbani ambako vilevile alimwomba msamaha mgoni wake. Na kumwambia.. ''Siku nyingine uwe unakwenda G/house sio kuja nyumbani kwangu.. Utauawa bure''. yule mwizi aliachia mkojo kitandani akijua ndio mwisho wake. Na mke alikuwa anasubiri kuona kitakachotokea baada ya mume wake kuingia b/room. Yule bwana akaingia bafuni kuoga, huku nyuma, mwizi akaingia mitini.
Mume hakumuuliza tena mke wake wala kumpiga na hakumweleza mtu yeyote yale yaliyomkuta.. Maisha yakaendelea lakini, hakuna huduma yoyote, hakuna mazungumzo, hakuna salamu wala hakuna mawasiliano yoyote na mke wake. Baada ya miezi 3, mume akaja na mwanamke mwingine na kulala nae nyumbani kwake huku mke wake anaona. Asubuhi, mke aliondoka bila kuaga na kurudi kwao. Huko alipoulizwa, akasema amefukuzwa.. Akiulizwa sababu, hana cha maana cha kueleza. Wazazi walimtafuta mume wake na alikwenda na kueleza kila kitu na kumwacha mke moja kwa moja..
Hiki ni kisa cha kweli kilichomtokea rafiki yangu wa karibu kama miezi 6 iliyopita... JE UNGEKUWA WEWE., UNGEFANYAJE?