Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
hivi beretta zimepanda bei au bado ni ile ile......? mnaojua bei tafadhali.......
Mtaani unapata kwa 1,000,000 TZS - Ni-pm kama unahitaji
hivi beretta zimepanda bei au bado ni ile ile......? mnaojua bei tafadhali.......
, Mimi kwa sasa nimepata mpenzi mpya ambae anaelimu ya chuo sio mshamba kama huyu wa zamani.
Hapa ndiyo roho inauma saana... Siyo mwanaume but naweza pata picha ya maumivu, dissapointment na kukata tamaa kutakako kuja kwa huyo kaka. Roho imeniuma kana kwamba ni kaka yangu ama ndugu yangu anamfanyia hivyo. Na roho inaniuma zaidi kuwa umewaharibia wanawake wengine watakaofuata baada yako kwa huyo kaka.
Huna hata mshipa wa haya... Unadiriki kusema kuwa unaona hamuendani sababu hana elimu. MKINDE dear, hivi unaweza niambia kuwa elimu inahusiana vipi na mahusiano yenu? Kwamba ushakuwa wa juu sana sababu una elimu na yeye kawa chini ya kiwango kwako? Ni kitu gani unataka? Unataka muwe mnafanya discussions za vitu vya darasani mnapokuwa pamoja?
Naamini kabisa kuwa mapenzi hayalazimishwi! Lakini tafadhali mpe huyo kaka/baba heshima yake anayostahili kwa kumthamini, kumueshimu kiasi kwamba hata ukitaka kutengana naye weka dharau yako pembeni na ueleze juu ya hisia zako zilizo hasi juu yake lakini usianze sababu za kitoto!
Hata hivyo nakusihi, kwa age hiyo unaona huyu hafai sababu siku zote ulikuwa nae na yawezekana hujapata heka heka ya wanaume jeuri! In the dating world hakuna jipya huko, na inawezekana ukafika wakati huko mbele ukajuta na ukatamani ni kheri ungebaki huko huko.
Sad. Nina msemo... Usipotaka kujifunza toka kwa wenzio, utajifunzak wako mwenyewe (The hard way).
...sasa kama ulijua ni mshamba, au freemason, kwa nini tangu mwanzo ukakubali akugharamie namna hiyo? wewe una tamaa!!!na hiyo itakukosti!! sasa ushalikoroga na ulinywe!! wala sikupi pole kwa kuwa umejitakia! kwani huna akili timamu?aaagghhhrrrr!!!!
naumia serious!mnapoteza sana lulu wadogo zangu!kama nakuona unavyoongea kwa uchungu
Huwa nikiona thread kama hizi wakati mwingine sishangai kuona malipizi mnayofanyiwa na wanaume. kwasababu wameshatuona sie hamnazo!
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 Naishi Tabata jijini Dar nimejitokeza kwenu kuomba ushauri, Mimi na mpenzi wangu ambae amenisomesha toka form one hadi sasa nipo chuo kwani wazazi wangu walifariki wakati mimi nikiwa mtoto mdogo sana.
Sasa huyu mpenzi wangu amenigharamia sana yani kuanzia nguo zote hadi chakula nacho kula vyote ni msaada wake yeye na amejitolea kuninunulia gari la kutembelea na kanambia nitafute kiwanja ili tujenge nyumba ya kupangisha.
Ila mimi kwa sasa naona kama huyu mwanaume hatuendani kwani yeye hana elimu ila anafanya kazi kutumia akili ya kuzaliwa, Jamani mimi nataka kuishi na msomi mwenzangu ila huyu kaka mimi naona kama freemasson kwani kanisaidia sana asije akanitoa kafala, Mimi kwa sasa nimepata mpenzi mpya ambae anaelimu ya chuo sio mshamba kama huyu wa zamani.
Sasa please naombeni ushauri wenu jamani nimwambiaje kama sipo tayari kuishi na yeye huyu mpenzi wa zamani bila kuumiza moyo wake...?
naumia serious!mnapoteza sana lulu wadogo zangu!
naumia sana kwa jinsi watu wanajinyima nafasi ya kuruhusu kupendwa na kuthaminiwa!
wangujeu kuwa ndoa ni zaidi ya kuchomekea suruali na kuvaa supra!walahi wangerudi kwa hawa wanaume wangerudi nakwambia lakini hawajui!hawajui na watakuja kujua muda ukiwa umepita sana!mnoooo!
cc amu
give him the tacit knowledge he gave u and remain with your empty box head