Mnhhhh hongera sana
bouncer wa nne ukawazidi nguvu?
Bora wewe umenielewa. Hawa watoto wanakera kwa kuvamia mambo yaliyowazidi umri."communication codes" hahahahaha!! Mimi nilikuwa natumia hii: chatting naanza na "shikamoo Dada" yeye anajibu gawiza!...akikosea tu kimya na kila wiki tunatengeneza code mpya....now days nimeacha huu mchezo hatari na huu uzee!
"communication codes" hahahahaha!! Mimi nilikuwa natumia hii: chatting naanza na "shikamoo Dada" yeye anajibu gawiza!...akikosea tu kimya na kila wiki tunatengeneza code mpya....now days nimeacha huu mchezo hatari na huu uzee!
Wahalifu wakubwa nyie...huyo jamaa alipaswa apakuliweHahahahaaa hii nimeipenda.
cc DuppyConqueror
Mkee WA mtu ni sumu nahisi alipata fundisho
Hata hivo jamaa ana huruma hadi akawaza "kukupaka mafuta" pole lakini na hongera kwa kunusurika kuliwa kalio
Muraa hii story yako kuna scene umeskip akyanani