LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,151
- 11,200
Jana nimepanda daladala ile kuingia tu nikakaa siti moja na mdada kumbe yeye ananifaham na mimi nilishamsahau, kumbe niliwahi kufanya nae kazi kipindi flani, akaanza kunichangamkia kwa stori mbili tatu, hapo hapo konda kudai nauli nikamlipia na yeye.
Kumbe bwana yule dada siti ya nyuma alikuwa amekaa mumewe na mtoto wao mchanga aloo, ile konda anadai nauli siti ya nyuma mumewe nae akalipa ila konda akamwambia huyo dada hapo mbele kashalipiwa.
Mumewe akawa anawasiwasi kalipiwa kivipi, ile wanashuka yule dada kuniaga mumewe kanikata jicho sio la nchi hii
Na kwa bahati nzuri sikuomba hata namba ya sim sijui ningeomba ingekuwaje aloo, , ila niwasihi tu mkifika mahali mkakuta wanawake wamekaa sehem msome kwanza mazingira wengine huwa wapo karibu na waume zao
Kumbe bwana yule dada siti ya nyuma alikuwa amekaa mumewe na mtoto wao mchanga aloo, ile konda anadai nauli siti ya nyuma mumewe nae akalipa ila konda akamwambia huyo dada hapo mbele kashalipiwa.
Mumewe akawa anawasiwasi kalipiwa kivipi, ile wanashuka yule dada kuniaga mumewe kanikata jicho sio la nchi hii
Na kwa bahati nzuri sikuomba hata namba ya sim sijui ningeomba ingekuwaje aloo, , ila niwasihi tu mkifika mahali mkakuta wanawake wamekaa sehem msome kwanza mazingira wengine huwa wapo karibu na waume zao