Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
Hapo juu rangi nyeusi inaonesha ndicho chanzo cha tatizo, lakini hapo juu kwenye nyekundu sikubaliani, eti sio kosa, au wanaogo[pa kuitunga isije ikawabana wao!!!, nimeibiwa halafu unasema sio kosa, sikuelewi, labda na wewe ndio mchezo wako kuiba vya wenzako,
Sheria za nchi hii haitakuwa si ajabu kusikia aliyefumaniwa akidai fidia kwa kudhalilishwa na kupigwa bila kosa, na mwenye mke ukakuta anawekwa ndani.sio wote wamwitao BWANA wataingia mbinguni.
Bwana mkubwa, ukiibiwa mkeo, damages utakazo pata ni kufungua kesi ya madai (sio jinai) kumdai mwizi wako kiasi fulani cha pesa au chochote tu...na uhakikishe unao uhakika yaani unazo evidence za kutosha, kama utakuwa hauna ushahidi unaoshikika, jamaa akaonekana hana kosa, basi anaweza kusema umemdhalilisha kwasababu hicho unachodai hauna ground yoyote, na anaweza kufungua kesi ya madai vilevile...hapo sasaaaa.....