Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
sasa Doc naona wewe ndo unanichokoza hapa
ntakuvalia bukta sasa hivi
hahaaaaaaaaaaaaa lol!!!
Uwii usinishushie kichapo! ila usisahau kuvaa kale kadogo ndani ya bukta ......usije leta madhara!
sasa Doc naona wewe ndo unanichokoza hapa
ntakuvalia bukta sasa hivi
hahaaaaaaaaaaaaa lol!!!
Huo ni unyanyasaji, ukosefu wa maadili, kuchukua sheria mikononi na ukatili wa kiwango cha juu sana.
Alikuwa ana ushahidi gani kama mkewe kamegwa na huyo mbeba mizigo?
Uwii usinishushie kichapo! ila usisahau kuvaa kale kadogo ndani ya bukta ......usije leta madhara!
hahaaaaaaaaaaaaa lol!!
lakini manyuki msimamo wako hapa ni upi??
Jamaa kuachana na mkewe bila kuleta ugomvi simpo! Ila wakibosho na wamachame kiboko
Huko ndiko mwanamke huyo mdogo kiumri alipokutana na mbeba mizigo huyo na kwenda moja kwa moja chumbani ambako mumewe baada ya kufika hapo na kuulizia alielekezwa namba ya chumba walichokuwa wameingia.
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa , alipoulizwa jana alisema alikuwa hajapata taarifa hizo, lakini ofisa mmoja wa polisi alisema wameamua kuwaachia mwanamke na hawara kwa sababu fumanizi sio kosa la jinai kisheria na kwamba waliwahifadhi pale kwa muda kwa sababu za kiusalama.
na kweli
pengine walienda kuongea biashara tu je???
Hii sio haki, si kwamba nashabikia kilichotokea lakini jamaa angekaa akajiuliza kwanza kilichompeleka mke wake huko gesti ni kipi, kama kweli ni ngono basi mume ajiulize ana mapungufu gani hadi mke anachoropoka, kumfukuza huyo wife wala sio solution kwani kama ana mapungufu yake yataendelea kudumu tu, alichokifanya jamaa ni sawa na kukimbia tatizo badala ya kukabiliana nalo.,na huyo wife kama kweli husband wake huwa anamfikisha na bado pepo lake la ngono likamtoa nje ya ndoa basi alaaniwe.
Okkeee!! biashara ya mabegi gesti eeeh!!
Jamaa kuachana na mkewe bila kuleta ugomvi simpo! Ila wakibosho na wamachame kiboko
any business is possible!!! walikuwa hawataki watu wajue biashara gani wanafanya apart frm ile ya Kiborloni!!!
Kama hamfikishi si adai taraka atafute wa kumfiksha?Hii sio haki, si kwamba nashabikia kilichotokea lakini jamaa angekaa akajiuliza kwanza kilichompeleka mke wake huko gesti ni kipi, kama kweli ni ngono basi mume ajiulize ana mapungufu gani hadi mke anachoropoka, kumfukuza huyo wife wala sio solution kwani kama ana mapungufu yake yataendelea kudumu tu, alichokifanya jamaa ni sawa na kukimbia tatizo badala ya kukabiliana nalo.,na huyo wife kama kweli husband wake huwa anamfikisha na bado pepo lake la ngono likamtoa nje ya ndoa basi alaaniwe.
Mwanamke asipotoa upenyo mwanamume haoni ndani, ndio maana mwanamke ndio wakuadhibiwa? Hivyo housegirl ndio wa kuadhibiwa!No comments! Kwa sababu ingekuwa ni huyo mwanamume mkewe kamfumania na hausi geli angemfanyaje?
Wote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu. Tukisema kwamba hatuna dhambi tunajidanganya na ukweli haupo ndani yetu. Toa kwanza Boriti iliyo ndani ya jicho lako ndio utatoa kibanzi kilicho ndani ya jicho la mwenzako.
Wapi MC Lema??!!!