Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
At least wewe tunaongea lugha moja hapa.Mimi walioniacha hoi ni hao Polisi. Yaani Polisi wetu wengi ni bure kabisa; wawezaje kumwachia huyo mwanamume aliyemjeruhi mwenzake wakati amesababisha maumivu makali kwa 'ngoni' wake? Hebu jiulize, huyo "mgoni' akifa itakuwaje wakati Polisi wameshamuachia huyo aliyejeruhi mwenzake.
Yaani Polisi wetu wanongozwa na emotions; ningekuwa mimi ni Polisi pale nisingemuachia huyo mume na mke wake waende maana wana ushahidi gani kuwa yule 'mgoni' alichukua mke wa mtu? YAani mtu anamjeruhi mwenzake vibaya sana halafu anaachiwa! Shame on our Police!
Hivi mbeba mizigo wa watu kama alikuwa hajui mama wa watu kaolewa angestahili kupata adhabu hiyo?
Na bado nauliza tena, kuna uthibitisho wowote unaoonyesha kuwa hao watu walimegana?