Kubwalijalo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 364
- 290
Usimba v/s Uyanga. Nahisi upewe wewe ufundishe labda waweza kutuletea furaha.
Namshukuru kocha Amunike kwa kuiwezesha timu yetu kushiriki michuano ya afcon ..... Ni miaka 39 imepita tangu mara ya mwisho kushiriki
Punguza kiherehere na kujifanya una uchungu kama mama mjamzito, Amunike awachukie wachezaji wa Simba kwani anakaa nao mtaa mmoja tuseme wanagombea demu?Kwahiyo tulihangaika ili tufuzu tukashiriki au tufuzu tukashindane kama wengine?
Wewe ni mwepesi sana kusahau, umesahau hao Uganda kwao walinusurika kula kichapo tukatoa draw,na kwenyewe CCM ilienda kuongea nao? Uganda tuliwafunga kihalali kabisa na walikuja kupambana kwelikweliIshukuru CCM kwa kufanya mafekeche na Uganda ili kulainisha Mambo.
Kumbuka Tz na Ug zina historia ndefu.
Hahah, amini nakwambia shukuru uhusiano mzuri ulipo kati ya nchi hizi.Wewe ni mwepesi sana kusahau, umesahau hao Uganda kwao walinusurika kula kichapo tukatoa draw,na kwenyewe CCM ilienda kuongea nao? Uganda tuliwafunga kihalali kabisa na walikuja kupambana kwelikweli
Mimi sijasema Mkude wala nani wote ni walewale tu sijui Fey Toto mimi kwangu bado kupambwa na magezeti tu sasa jana ilikuwa reality check kila mtu kajuwa level yake, Uganda level sio yetu hata kama tulitoka draw kikubwa hapa sababu ya sisi kuwa Egypt kuruhusu team 24 ingekuwa 16 tungesubiri miaka 39 mingine huo ndio ukweli.Mbona Uganda kwao hawakutufunga. .acheni hizo huyo Mkude away game zote za Simba alifanya nini?
Umesikia tu, ni utashi wako au una evidence?Hahah, amini nakwambia shukuru uhusiano mzuri ulipo kati ya nchi hizi.
Diplomasia ilitumika kumaliza haya mambo,na sio vinginevyo.
Umesikia tu, ni utashi wako au una evidence?
Yaani Rwanda, Burkina na Gabon nchi kubwa kisoka? sasa leo South Africa anacheza na nani sio Ivory? ungesema Zambia sawa. Team kubwa zote Africa zipo. Egypt, Tunisia, Morocco, Nigeria, Algeria, Senegal, Ghana na Cameroon hawa ndio wafalme wa soka la Africa hao wengine wapo hawapo. Kwa hiyo kama kuna joto ndio maana Zambia alijitoa au? mashindano yote yanachezwa kipindi cha joto kwa taarifa yako mechi ya jana ilikuwa ni 28 Temp hata Dar joto.Acha uprimitive,porojo na kukaririshwa wewe,kwani pamoja na kuongezwa timu in mataifa mangapi makubwa kisoka kuliko sisi hayajafuzu? Wapi ivory coast, wapi Zambia, wapi Gabon, Wapi Bukinabe, wapi jirani zetu Rwanda n.k? Au wenyewe hawakutaka kushiriki kwa sababu Misri kuna joto sana!?
Kocha akosolewe tena siyo kwa kujidanganya kwamba ameacha wachezaji wazuri,labda namna ya ufundishaji na mipango lakini apongezwe pia kwa kukufanikishaia wewe na Mimi kuiangalia timu yetu ya taifa kwenye TV ktk mashindano makubwa haya.
Ila ndugu nadhani ongezeko la timu limeziathiri timu kubwa kubwa kama Ivory coast, S.A,Gabon, Zambia,jirani zetu Rwanda n.k mana imebidi zisubiri. Au unasemaje?Mimi sijasema Mkude wala nani wote ni walewale tu sijui Fey Toto mimi kwangu bado kupambwa na magezeti tu sasa jana ilikuwa reality check kila mtu kajuwa level yake, Uganda level sio yetu hata kama tulitoka draw kikubwa hapa sababu ya sisi kuwa Egypt kuruhusu team 24 ingekuwa 16 tungesubiri miaka 39 mingine huo ndio ukweli.
kiukweli hili Kocha ni bovu kuliko yaan linakera ningekuwa na bunduki ningekusubiri Airport nikupige risasi. watanzania kila siku tunasononeka ni lini tutafurahi?
Mbali ya madhaifu ya kocha Amunike, lkn upumbavu wa Mkude kaeni nao nyie. Hakuna kocha anayejitambua akaingiza kambini timu kwa siku 6 mchezaji anaripoti siku ya 5 jioni.Kwahiyo tulihangaika ili tufuzu tukashiriki au tufuzu tukashindane kama wengine?
Nlikosea hapo S.A na ivory coast. Ila nnachosema hapa ni kwamba kuongezeka kwa timu siyo factor kubwa sana mana kuna nchi hazijafuzu pamoja na onhezeko hilo.Yaani Rwanda, Burkina na Gabon nchi kubwa kisoka? sasa leo South Africa anacheza na nani sio Ivory? ungesema Zambia sawa. Team kubwa zote Africa zipo. Egypt, Tunisia, Morocco, Nigeria, Algeria, Senegal, Ghana na Cameroon hawa ndio wafalme wa soka la Africa hao wengine wapo hawapo. Kwa hiyo kama kuna joto ndio maana Zambia alijitoa au? mashindano yote yanachezwa kipindi cha joto kwa taarifa yako mechi ya jana ilikuwa ni 28 Temp hata Dar joto.
Katika hizo Ivory coast wako na wanacheza na South Africa leo hawa kina Rwanda wa kawaida tu hawana ukubwa wowote Africa wala Gabon. Zambia ndio wa kushangaa kakosa vipi lakini super power wote wako huko na ushindani ni mkubwa. Turudi katika mada kuongezwa team imesaidia kama sisi kupata nafasi na ni nzuri kupata ujuzi ili isiwe mwaka huu tu na mashindano yajao tuwepo tatizo letu kubwa ni lazima tukubali bado mpira wetu kuna changamoto nyingi katika uelewa wa tactic wa wachezaji wetu. unaweza kuwa wametuzidi lakini nidhamu muhimu jana hata defence line walikuwa wanashindwa kukaa line mojaIla ndugu nadhani ongezeko la timu limeziathiri timu kubwa kubwa kama Ivory coast, S.A,Gabon, Zambia,jirani zetu Rwanda n.k mana imebidi zisubiri. Au unasemaje?
Namshukuru kocha Amunike kwa kuiwezesha timu yetu kushiriki michuano ya afcon ..... Ni miaka 39 imepita tangu mara ya mwisho kushiriki
1. Kikosi cha jana dhidi ya Senegal alikipinga Yeye au alisaidiwa na akina Karia pamoja na Mwakyembe?
2. Ni kwanini ana Chuki sana na Wachezaji Nyota wanaotoka Klabu ya Simba Sports Club?
3. Kwanini alimpanga Beki David Mwantika ambaye alimuita kutoka Tanzania, hakuwa na Mazoezi ya pamoja na Wenzake, wala match Fitness na akampanga huku akimpanga Benchi Mchezaji Kiraka Erasto Nyoni?
4. Anaweza kunipa sababu ya Yeye kupenda kuwatumia Wachezaji kama Himid Mao na Mudathiri Yahaya katika Kiungo cha Ukabaji huku akimuacha na Kumchukia kabisa Natural Defensive Midfielder na ambaye yupo katika Kiwango cha juu Tanzania nzima kwa miaka kadhaa sasa Jonas Gerald Mkude?
5. Je zile Rafu za Kipumbavu ( Kiduduna ) walizokuwa wakizicheza akina David Mwantika, Faisal Salum na Himid Mao Yeye ndiye aliwatuma hivyo walikuwa wakitekeleza Maelekezo yake?
6. Je mpaka hivi sasa Kichwani mwake ana Kikosi chake cha Kwanza kiasi kwamba hata nikimuamsha tu Usiku wa Manane atanitajia bila matatizo yoyote?
7. Je baada ya Beki wake Aggrey Morris Kuumia alipaswa amuite Beki Abdi Banda ambaye alikuwa nae huko huko Kambini Misri au alipaswa amuite Beki David Mwantika ambaye hapo mwanzoni hakumjumuisha katika Kikosi chake kile cha Wachezaji 33 alioondoka nao?
8. Ni kwanini anawapenda sana Wachezaji Thomas Ulimwengu na Himid Mao kiasi kwamba hata kama wakiwa hawako katika Form au Majeruhi lakini Yeye ni lazima tu atawaita na kwenda nao popote pale ambapo Taifa Stars itaweka Kambi yake?
9. Je kati ya Thomas Ulimwengu na Rashid Mandawa ni Mchezaji gani ambaye Kiuhalisia na jinsi Mechi ilivyokuwa Jana alitakiwa ndiyo amuingize ili aweze kuleta Uhai au Mabadiliko katika Timu?
10. Kama tukiamua Kuangalia Mchezaji ambaye amepata Uzoefu wa Michuano mikubwa mikubwa ya Kimataifa je Kwake Yeye kati ya Mohammed Hussein Tshabalala kutoka Simba SC na Gadiel Michael kutoka Yanga SC ni nani angefaa na pengine hata Kumuanzisha katika Mechi ya Jana?
11. Tanzania tunajivunia sana Wachezaji wanaocheza Ligi Kubwa tena za Ulaya kama Samatta anayecheza KRC Genk ya Ubelgiji na Yousuf anayecheza Blackpool ya Uingereza ni kwanini ameamua tu Kumtumia Samatta na Wachezaji wengine wa Kulipwa ila wanacheza Klabu za hapa hapa barani Afrika zisizo na Mafanikio akina Msuva, Himid na Ulimwengu na akimuacha Yousuf benchini?
Mwisho kabisa akishanijibu haya Maswali yangu Kumi na Moja ( 11 ) naomba anisaidie pia kuniambia ni lini atatuachia Timu yetu ya Taifa Stars ili waje Makocha wenye Kuujua Mpira kuliko Yeye, wasio na Chuki wala Visasi kwa Wachezaji kabla Mimi na Wenzangu wenye Uchungu na Hasira kali dhidi yake hatujaamua Kumvizia pale Uwanjani JNIA akirudi na Timu kisha tumpopoe na Mawe na aione Tanzania hii Chungu Kwake!
Msisahau kumwambia kuwa mwana JamiiForums Mimi An Eagle a.k.a BRAINIAC namsalimia ila simkubali kabisa na aondoke tu.
Mimi nakubaliana na wewe Zambia siku zote wamekuwa zaidi ya sisi ila Gabon ni level yetu wala hao Rwanda kawaida sana, Burkina wao wamekuwa wazuri ila sio kuwa wakubwa kisoka maana hawajahi kufanya vitu vya ajabu. Hao niliowataja North na West Africa ndio wamekuwa vinara wa soka letu huyo South Africa tu ilikuwa tabu kupata nafasiNlikosea hapo S.A na ivory coast. Ila nnachosema hapa ni kwamba kuongezeka kwa timu siyo factor kubwa sana mana kuna nchi hazijafuzu pamoja na onhezeko hilo.
Burkinafaso,Zambia na Gabon wametuzidi mbali tu kisoka. Na Rwanda hapo nlitolea mfano tu kwamba nao kwa nn wasitumie daraja la ongezeko la timu?
Timu jana ilicheza kama timu ya Shule flani inayoshiriki mashindano ya Umitashumta. Nilimuonea sana huruma Mbwana Samatta kuwa ktk kundi la wachezaji waliocheza namna ileKatika hizo Ivory coast wako na wanacheza na South Africa leo hawa kina Rwanda wa kawaida tu hawana ukubwa wowote Africa wala Gabon. Zambia ndio wa kushangaa kakosa vipi lakini super power wote wako huko na ushindani ni mkubwa. Turudi katika mada kuongezwa team imesaidia kama sisi kupata nafasi na ni nzuri kupata ujuzi ili isiwe mwaka huu tu na mashindano yajao tuwepo tatizo letu kubwa ni lazima tukubali bado mpira wetu kuna changamoto nyingi katika uelewa wa tactic wa wachezaji wetu. unaweza kuwa wametuzidi lakini nidhamu muhimu jana hata defence line walikuwa wanashindwa kukaa line moja
Mbali ya madhaifu ya kocha Amunike, lkn upumbavu wa Mkude kaeni nao nyie. Hakuna kocha anayejitambua akaingiza kambini timu kwa siku 6 mchezaji anaripoti siku ya 5 jioni.
Tutamfukuza Amunike, timu tukupe wewe upange kikosi unachokipenda