Aliye jirani na Kocha Mbovu kuwahi kutokea Taifa Stars Amunike anisaidie Kuniulizia Kwake haya Maswali yangu 11 tu tafadhali

1. Hatuna mikakati
-Senegal wanamikakati, aliefunga goli lapili jana alikuwa under 20 mwaka 2018

- Juzi tu yameisha mashindano ya u20 world cup Senegal, mali, Colombia, Uruguay Japan, Korea nk wanatimu nzuri balaa sisi kunanini?

2. Serilali ya CCM hakuna popote inapoweka mikakati ya kufanikiwa mbeleni
- Elimu imeshuka ipo taabani
- kilimo tumeshuka tupo taabani
- viwanda tumeshuka tupo taabani kiasi kwamba cherehani za nguo nne tunaita kiwanda
- michezo tumeshuka vibaya sio Soccer, Riadha, ndodi wala mieleka tumpo mkiani

Ukuzingatia sababu hizo mbili kuhusu michezo na mafanikio sahau vikombe...Coach hana kosa lolote,

Unawezaje kupambana na mtu mwenye vikosi bora vitatu au vinne ?

Unawezaje kupambana bila mikakati? Wenzetu wanaandaa timu, sisi namagalasa!

Kwanini coach alaumiwe? Mchawi wetu kwa kila jambo Tanzania ni CCM na Serikali yake.

Hawana vision
Hawana strategies
Hawana lolote Ila wao CCM wanaishi kwa propaganda. Soccer sio umbea, sio maneno ni vitendo
 
Mimi sina mengi
IMG-20190624-WA0019.jpeg
 
Kikosi cha jana dhidi ya Senegal alikipinga Yeye au alisaidiwa na akina Karia pamoja na Mwakyembe?

Ni kwanini ana Chuki sana na Wachezaji Nyota wanaotoka Klabu ya Simba Sports Club?

Kwanini alimpanga Beki David Mwantika ambaye alimuita kutoka Tanzania, hakuwa na Mazoezi ya pamoja na Wenzake, wala match Fitness na akampanga huku akimpanga Benchi Mchezaji Kiraka Erasto Nyoni?

Anaweza kunipa sababu ya Yeye kupenda kuwatumia Wachezaji kama Himid Mao na Mudathiri Yahaya katika Kiungo cha Ukabaji huku akimuacha na Kumchukia kabisa Natural Defensive Midfielder na ambaye yupo katika Kiwango cha juu Tanzania nzima kwa miaka kadhaa sasa Jonas Gerald Mkude?

Je zile Rafu za Kipumbavu ( Kiduduna ) walizokuwa wakizicheza akina David Mwantika, Faisal Salum na Himid Mao Yeye ndiye aliwatuma hivyo walikuwa wakitekeleza Maelekezo yake?

Je mpaka hivi sasa Kichwani mwake ana Kikosi chake cha Kwanza kiasi kwamba hata nikimuamsha tu Usiku wa Manane atanitajia bila matatizo yoyote?

Je baada ya Beki wake Aggrey Morris Kuumia alipaswa amuite Beki Abdi Banda ambaye alikuwa nae huko huko Kambini Misri au alipaswa amuite Beki David Mwantika ambaye hapo mwanzoni hakumjumuisha katika Kikosi chake kile cha Wachezaji 33 alioondoka nao?

Ni kwanini anawapenda sana Wachezaji Thomas Ulimwengu na Himid Mao kiasi kwamba hata kama wakiwa hawako katika Form au Majeruhi lakini Yeye ni lazima tu atawaita na kwenda nao popote pale ambapo Taifa Stars itaweka Kambi yake?

Je kati ya Thomas Ulimwengu na Rashid Mandawa ni Mchezaji gani ambaye Kiuhalisia na jinsi Mechi ilivyokuwa Jana alitakiwa ndiyo amuingize ili aweze kuleta Uhai au Mabadiliko katika Timu?

Kama tukiamua Kuangalia Mchezaji ambaye amepata Uzoefu wa Michuano mikubwa mikubwa ya Kimataifa je Kwake Yeye kati ya Mohammed Hussein Tshabalala kutoka Simba SC na Gadiel Michael kutoka Yanga SC ni nani angefaa na pengine hata Kumuanzisha katika Mechi ya Jana?

Tanzania tunajivunia sana Wachezaji wanaocheza Ligi Kubwa tena za Ulaya kama Samatta anayecheza KRC Genk ya Ubelgiji na Yousuf anayecheza Blackpool ya Uingereza ni kwanini ameamua tu Kumtumia Samatta na Wachezaji wengine wa Kulipwa ila wanacheza Klabu za hapa hapa barani Afrika zisizo na Mafanikio akina Msuva, Himid na Ulimwengu na akimuacha Yousuf benchini?


Mwisho kabisa akishanijibu haya Maswali yangu Kumi na Moja ( 11 ) naomba anisaidie pia kuniambia ni lini atatuachia Timu yetu ya Taifa Stars ili waje Makocha wenye Kuujua Mpira kuliko Yeye, wasio na Chuki wala Visasi kwa Wachezaji kabla Mimi na Wenzangu wenye Uchungu na Hasira kali dhidi yake hatujaamua Kumvizia pale Uwanjani JNIA akirudi na Timu kisha tumpopoe na Mawe na aione Tanzania hii Chungu Kwake!

Msisahau kumwambia kuwa mwana JamiiForums Mimi An Eagle a.k.a BRAINIAC namsalimia ila simkubali kabisa na aondoke tu.
Hivi Simba walivyokung'utwa 5-0 na Vita Kinshasa hao Tshabalala, Mkude, Nyoni hawakuwepo? 😂🤣😅!
 
Mechi ijayo tutacheza 12 ndani walai yeye akipanga kikosi chake cha hovyohovyo na sie tunamweka Nyoni ndani akapambane pia....alisikika mlevi mmoja akisema
 
Kikosi cha jana dhidi ya Senegal alikipinga Yeye au alisaidiwa na akina Karia pamoja na Mwakyembe?

Ni kwanini ana Chuki sana na Wachezaji Nyota wanaotoka Klabu ya Simba Sports Club?

Kwanini alimpanga Beki David Mwantika ambaye alimuita kutoka Tanzania, hakuwa na Mazoezi ya pamoja na Wenzake, wala match Fitness na akampanga huku akimpanga Benchi Mchezaji Kiraka Erasto Nyoni?

Anaweza kunipa sababu ya Yeye kupenda kuwatumia Wachezaji kama Himid Mao na Mudathiri Yahaya katika Kiungo cha Ukabaji huku akimuacha na Kumchukia kabisa Natural Defensive Midfielder na ambaye yupo katika Kiwango cha juu Tanzania nzima kwa miaka kadhaa sasa Jonas Gerald Mkude?

Je zile Rafu za Kipumbavu ( Kiduduna ) walizokuwa wakizicheza akina David Mwantika, Faisal Salum na Himid Mao Yeye ndiye aliwatuma hivyo walikuwa wakitekeleza Maelekezo yake?

Je mpaka hivi sasa Kichwani mwake ana Kikosi chake cha Kwanza kiasi kwamba hata nikimuamsha tu Usiku wa Manane atanitajia bila matatizo yoyote?

Je baada ya Beki wake Aggrey Morris Kuumia alipaswa amuite Beki Abdi Banda ambaye alikuwa nae huko huko Kambini Misri au alipaswa amuite Beki David Mwantika ambaye hapo mwanzoni hakumjumuisha katika Kikosi chake kile cha Wachezaji 33 alioondoka nao?

Ni kwanini anawapenda sana Wachezaji Thomas Ulimwengu na Himid Mao kiasi kwamba hata kama wakiwa hawako katika Form au Majeruhi lakini Yeye ni lazima tu atawaita na kwenda nao popote pale ambapo Taifa Stars itaweka Kambi yake?

Je kati ya Thomas Ulimwengu na Rashid Mandawa ni Mchezaji gani ambaye Kiuhalisia na jinsi Mechi ilivyokuwa Jana alitakiwa ndiyo amuingize ili aweze kuleta Uhai au Mabadiliko katika Timu?

Kama tukiamua Kuangalia Mchezaji ambaye amepata Uzoefu wa Michuano mikubwa mikubwa ya Kimataifa je Kwake Yeye kati ya Mohammed Hussein Tshabalala kutoka Simba SC na Gadiel Michael kutoka Yanga SC ni nani angefaa na pengine hata Kumuanzisha katika Mechi ya Jana?

Tanzania tunajivunia sana Wachezaji wanaocheza Ligi Kubwa tena za Ulaya kama Samatta anayecheza KRC Genk ya Ubelgiji na Yousuf anayecheza Blackpool ya Uingereza ni kwanini ameamua tu Kumtumia Samatta na Wachezaji wengine wa Kulipwa ila wanacheza Klabu za hapa hapa barani Afrika zisizo na Mafanikio akina Msuva, Himid na Ulimwengu na akimuacha Yousuf benchini?


Mwisho kabisa akishanijibu haya Maswali yangu Kumi na Moja ( 11 ) naomba anisaidie pia kuniambia ni lini atatuachia Timu yetu ya Taifa Stars ili waje Makocha wenye Kuujua Mpira kuliko Yeye, wasio na Chuki wala Visasi kwa Wachezaji kabla Mimi na Wenzangu wenye Uchungu na Hasira kali dhidi yake hatujaamua Kumvizia pale Uwanjani JNIA akirudi na Timu kisha tumpopoe na Mawe na aione Tanzania hii Chungu Kwake!

Msisahau kumwambia kuwa mwana JamiiForums Mimi An Eagle a.k.a BRAINIAC namsalimia ila simkubali kabisa na aondoke tu.
Mkude angetoka mapema sana kwa red card. Pia wale jamaa asingewaweza kabsaaa kasi yao mana yupo slow.
-Kwa upande Wa shabalala umeongea kwa mihemko siyo uhalisia,vipi kwenye mechi zilizopita plus ile iliyotupeleka Afcon huyo Gadiel alicheza vibaya kama alivyocheza Jana?
- Nieleze ni mchezaji gani Jana alikuwa kwenye kiwango plus kapteni mwenyewe.
-Unamlaumu kocha kumchezesha Msuva unaweza nitajia wachezaji angalau watatu Wa taifa stars waliokuwa na influence ya kuifikisha ile timu pale?
-Hivi ulimwengu hakuwa na impact yoyote Jana?

Kiujumla timu yote ukiondoa walioingia ilicheza hovyohovyohovyohovyo isiyosemekana. Kocha ana cha kulaumiwa pia ila wachezaji walaumiwe zaidi
 
Kikosi cha jana dhidi ya Senegal alikipinga Yeye au alisaidiwa na akina Karia pamoja na Mwakyembe?

Ni kwanini ana Chuki sana na Wachezaji Nyota wanaotoka Klabu ya Simba Sports Club?

Kwanini alimpanga Beki David Mwantika ambaye alimuita kutoka Tanzania, hakuwa na Mazoezi ya pamoja na Wenzake, wala match Fitness na akampanga huku akimpanga Benchi Mchezaji Kiraka Erasto Nyoni?

Anaweza kunipa sababu ya Yeye kupenda kuwatumia Wachezaji kama Himid Mao na Mudathiri Yahaya katika Kiungo cha Ukabaji huku akimuacha na Kumchukia kabisa Natural Defensive Midfielder na ambaye yupo katika Kiwango cha juu Tanzania nzima kwa miaka kadhaa sasa Jonas Gerald Mkude?

Je zile Rafu za Kipumbavu ( Kiduduna ) walizokuwa wakizicheza akina David Mwantika, Faisal Salum na Himid Mao Yeye ndiye aliwatuma hivyo walikuwa wakitekeleza Maelekezo yake?

Je mpaka hivi sasa Kichwani mwake ana Kikosi chake cha Kwanza kiasi kwamba hata nikimuamsha tu Usiku wa Manane atanitajia bila matatizo yoyote?

Je baada ya Beki wake Aggrey Morris Kuumia alipaswa amuite Beki Abdi Banda ambaye alikuwa nae huko huko Kambini Misri au alipaswa amuite Beki David Mwantika ambaye hapo mwanzoni hakumjumuisha katika Kikosi chake kile cha Wachezaji 33 alioondoka nao?

Ni kwanini anawapenda sana Wachezaji Thomas Ulimwengu na Himid Mao kiasi kwamba hata kama wakiwa hawako katika Form au Majeruhi lakini Yeye ni lazima tu atawaita na kwenda nao popote pale ambapo Taifa Stars itaweka Kambi yake?

Je kati ya Thomas Ulimwengu na Rashid Mandawa ni Mchezaji gani ambaye Kiuhalisia na jinsi Mechi ilivyokuwa Jana alitakiwa ndiyo amuingize ili aweze kuleta Uhai au Mabadiliko katika Timu?

Kama tukiamua Kuangalia Mchezaji ambaye amepata Uzoefu wa Michuano mikubwa mikubwa ya Kimataifa je Kwake Yeye kati ya Mohammed Hussein Tshabalala kutoka Simba SC na Gadiel Michael kutoka Yanga SC ni nani angefaa na pengine hata Kumuanzisha katika Mechi ya Jana?

Tanzania tunajivunia sana Wachezaji wanaocheza Ligi Kubwa tena za Ulaya kama Samatta anayecheza KRC Genk ya Ubelgiji na Yousuf anayecheza Blackpool ya Uingereza ni kwanini ameamua tu Kumtumia Samatta na Wachezaji wengine wa Kulipwa ila wanacheza Klabu za hapa hapa barani Afrika zisizo na Mafanikio akina Msuva, Himid na Ulimwengu na akimuacha Yousuf benchini?


Mwisho kabisa akishanijibu haya Maswali yangu Kumi na Moja ( 11 ) naomba anisaidie pia kuniambia ni lini atatuachia Timu yetu ya Taifa Stars ili waje Makocha wenye Kuujua Mpira kuliko Yeye, wasio na Chuki wala Visasi kwa Wachezaji kabla Mimi na Wenzangu wenye Uchungu na Hasira kali dhidi yake hatujaamua Kumvizia pale Uwanjani JNIA akirudi na Timu kisha tumpopoe na Mawe na aione Tanzania hii Chungu Kwake!

Msisahau kumwambia kuwa mwana JamiiForums Mimi An Eagle a.k.a BRAINIAC namsalimia ila simkubali kabisa na aondoke tu.
chuki ya kocha kwa wachezaji wa Simba inawezekanaje ilihali mabosi wa timu kina Bashite na Karia wote ni Simba?
 
Kwa Kikosi nilichokiona jana, Mchezo mbovu kabisa tulioucheza jana na kwa aina ya Kocha Mbovu Emanuel Amunike hata hiyo Sare ( Draw ) unayoiombea kutoka kwa Kenya ( Harambee Stars ) hutoipata. Kwa aina ya Maandalizi ya Wakenya kwa Kiwango kile Kikubwa walichokionyesha jana walipocheza na Algeria japo nao Walifungwa kuna uwezekano hiyo Siku ya Alhamisi Tanzania ( Taifa Stars ) tukapata Kipigo Kitakatifu kutoka Kwao.

Kocha Amunike hakupaswa Kuwaacha Wachezaji muhimu na wazuri Kikosini ambao nina uhakika wangemsaidia sana kama akina Mkude, Ajib, Banda, Chilunda na Kichuya. Hii Timu ya Taifa Stars nina uhakika kwa Maandalizi haya waliyoyapata kama Makocha wangekuwa Jamhuri Kihwelo na Fred Minziro na kwa jinsi wanavyowajua vyema Wachezaji wa Kitanzania na Saikolojia yao jana Senegal asingetusumbua na kututesa vile na pengine tungefanya Makubwa kuliko vile ambavyo wengi wangetegemea.
Naamini Ajib,Mkude na kichuya wasingesaidia chochote,labda Banda. Kwa aina ya wachezaji tuliokuwa nao na namna walivyocheza wanaweza kutoa picha ni namna gani Mkude angetia aibu tena naamini angepata red card mapema sana kwa sababu yuko slow halafu nguvu hana wakati jamaa walikuwa shapu na physic ya kutosha, Ajib na ule unyoronyoro wake jamaa wangekuwa wanachukua mipira wanamwacha kakaa tu, kama msuva alishindwa kucheza basi naamini Shiza angeshindwa zaidi kwa sababu hana nguvu, anakaa sana na mpira na mbiyo hana kama msuva
 
Shukuru CAF kuongeza idadi ya team na Uganda kuonesha uzalendo wa EA
Acha uprimitive,porojo na kukaririshwa wewe,kwani pamoja na kuongezwa timu in mataifa mangapi makubwa kisoka kuliko sisi hayajafuzu? Wapi Zambia, wapi Gabon, Wapi Bukinabe, wapi jirani zetu Rwanda n.k? Au wenyewe hawakutaka kushiriki kwa sababu Misri kuna joto sana!?

Kocha akosolewe tena siyo kwa kujidanganya kwamba ameacha wachezaji wazuri,labda namna ya ufundishaji na mipango lakini apongezwe pia kwa kukufanikishaia wewe na Mimi kuiangalia timu yetu ya taifa kwenye TV ktk mashindano makubwa haya.
 
Back
Top Bottom