1. Hatuna mikakati
-Senegal wanamikakati, aliefunga goli lapili jana alikuwa under 20 mwaka 2018
- Juzi tu yameisha mashindano ya u20 world cup Senegal, mali, Colombia, Uruguay Japan, Korea nk wanatimu nzuri balaa sisi kunanini?
2. Serilali ya CCM hakuna popote inapoweka mikakati ya kufanikiwa mbeleni
- Elimu imeshuka ipo taabani
- kilimo tumeshuka tupo taabani
- viwanda tumeshuka tupo taabani kiasi kwamba cherehani za nguo nne tunaita kiwanda
- michezo tumeshuka vibaya sio Soccer, Riadha, ndodi wala mieleka tumpo mkiani
Ukuzingatia sababu hizo mbili kuhusu michezo na mafanikio sahau vikombe...Coach hana kosa lolote,
Unawezaje kupambana na mtu mwenye vikosi bora vitatu au vinne ?
Unawezaje kupambana bila mikakati? Wenzetu wanaandaa timu, sisi namagalasa!
Kwanini coach alaumiwe? Mchawi wetu kwa kila jambo Tanzania ni CCM na Serikali yake.
Hawana vision
Hawana strategies
Hawana lolote Ila wao CCM wanaishi kwa propaganda. Soccer sio umbea, sio maneno ni vitendo
-Senegal wanamikakati, aliefunga goli lapili jana alikuwa under 20 mwaka 2018
- Juzi tu yameisha mashindano ya u20 world cup Senegal, mali, Colombia, Uruguay Japan, Korea nk wanatimu nzuri balaa sisi kunanini?
2. Serilali ya CCM hakuna popote inapoweka mikakati ya kufanikiwa mbeleni
- Elimu imeshuka ipo taabani
- kilimo tumeshuka tupo taabani
- viwanda tumeshuka tupo taabani kiasi kwamba cherehani za nguo nne tunaita kiwanda
- michezo tumeshuka vibaya sio Soccer, Riadha, ndodi wala mieleka tumpo mkiani
Ukuzingatia sababu hizo mbili kuhusu michezo na mafanikio sahau vikombe...Coach hana kosa lolote,
Unawezaje kupambana na mtu mwenye vikosi bora vitatu au vinne ?
Unawezaje kupambana bila mikakati? Wenzetu wanaandaa timu, sisi namagalasa!
Kwanini coach alaumiwe? Mchawi wetu kwa kila jambo Tanzania ni CCM na Serikali yake.
Hawana vision
Hawana strategies
Hawana lolote Ila wao CCM wanaishi kwa propaganda. Soccer sio umbea, sio maneno ni vitendo