Aliye jirani na Kocha Mbovu kuwahi kutokea Taifa Stars Amunike anisaidie Kuniulizia Kwake haya Maswali yangu 11 tu tafadhali

Kocha unamsingizia tu.Kiini cha tatizo la soka letu siyo makocha.Ndo maana tunaishia kubadli makocha kila uchao lakini hakuna kinachobadilika.Hata angepanga kikosi gani isingesaidia.Mpira ni uwekezaji wa muda mrefu ndugu, hautaki bla bla...!.Shida yetu "tunasoma msuli sisimizi tukitegemea Matokeo tembo".
Mkuu kocha nimuhimu kwenye mpira naamin kama co ubinafsi wa kumfukuza yule kocha mzungu ile timu yetu ya vijana isingelizalilika nymbn kiasi kile na hata.kuwa kufungwa ndio sehemu ya mpira.lkn timu haikuonyesha uhai kiasi inakatisha tamaa
 
Hapo uliposema "ile timu ya vijana" ndo penyewe.Taifa linalopuuza watoto na vijana lazima life kibudu tu hamna namna ndugu
Mkuu kocha nimuhimu kwenye mpira naamin kama co ubinafsi wa kumfukuza yule kocha mzungu ile timu yetu ya vijana isingelizalilika nymbn kiasi kile na hata.kuwa kufungwa ndio sehemu ya mpira.lkn timu haikuonyesha uhai kiasi inakatisha tamaa
 
[QUOTTE="Nyambele anton, post: 31945568, member: 157360"]
Kwenye mikeka mnabeti Tanzania ifungwe mkija kucheki mechi mnalaumu kila mchezaji mnataka mshinde yaani hata Mungu mwenyewe hatuelewi tunataka nini.
[/QUOTE]Tz blTanzania ndio team pekee utasema inafungwa na chuma 2 Unapata kibwize unapita ivi,Mungu bariki Tanzania iendelee kushiriki sisi tupige mpunga
 
Back
Top Bottom