First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
Heshima kwenu Great thinkers ndani ya Kapeti!!
Ni suala ambalo kiukweli linanichanganya sana, lakini nahisi kwa kuweka mikono na akili zetu pamoja naweza kuwa na UAMUZI SAHIHI WA KUCHUKUA.
Miaka kama minne iliyopita nilikutana na binti ambaye kiukweli nilitokea kumpenda kutokana na uzuri na heshima pamoja na utulivu wake, nilimwelezea hisia zangu lakini alizipokea kwa kuhisi kuwa nisingempenda endapo angepata muda na kuniambia hali aliyokuwa nayo. Nilimtoa wasiwasi na kumwambia kuwa ningekuwa tayari kwa lolote.
Yule binti aliniambia kuwa yeye alikuwa na mtoto(tayari kashazalishwa ingawa hakuwa pamoja na huyo boyfriend wake), akaniambia kama ningekuwa tayari kumpenda yeye na mtoto wake basi angekuwa tayari kuwa na mimi
Nilikuwa tayari na tukaanza mahusiano, lakin siku zilivokwenda yule binti alionekana kama hakuwa na amani, nikamuuliza na kumwomba kuwa huru kabisa,
Huyu binti kwanza kabisa alinitaka radhi, na kunieleza wazi kila kitu mwanzo mwisho, kwamba Mama yake aliwahi kukorofishana na baba yake wakatalakiana ndipo mama alivoamua kumchukua kijana wa makamo kama mumewe.
(kipindi hicho yy akiwa mdogo mwnfnz wa kidato cha kwanza)
Siku mmoja mama akiwa safarini yule babaake mdogo alimbaka lakini yeye alimficha mama, miezi michache baadae akajishtkia kuwa ana ujauzito. Hapo ndipo alipoacha shule kwani hata alivomwambia mama hakuamini kwa kudhani kuwa alikuwa anamsingizia mumewe. Alimzaa mtoto wa kike aliefanana copy right na mdogo wake ambae ni mtoto wa huyo babake, nilipata mshituko alivoniambia kuwa mi ndo nikuwa boyfriend wake wa kwanza kabisa ila baba mdogo wake ndie chanzo cha kila kitu.
Sasa wakubwa nifanyeje??
1. Niwe na mtu ambae amezaa na babaake?
2. Nimwache ilhali nilimuahi kuwa tayari kwa taarifa zozote?
Inaniuma kweli, naombeni ushauri
wenu Mzaliwa wa Kwanza.
.
.
Ni suala ambalo kiukweli linanichanganya sana, lakini nahisi kwa kuweka mikono na akili zetu pamoja naweza kuwa na UAMUZI SAHIHI WA KUCHUKUA.
Miaka kama minne iliyopita nilikutana na binti ambaye kiukweli nilitokea kumpenda kutokana na uzuri na heshima pamoja na utulivu wake, nilimwelezea hisia zangu lakini alizipokea kwa kuhisi kuwa nisingempenda endapo angepata muda na kuniambia hali aliyokuwa nayo. Nilimtoa wasiwasi na kumwambia kuwa ningekuwa tayari kwa lolote.
Yule binti aliniambia kuwa yeye alikuwa na mtoto(tayari kashazalishwa ingawa hakuwa pamoja na huyo boyfriend wake), akaniambia kama ningekuwa tayari kumpenda yeye na mtoto wake basi angekuwa tayari kuwa na mimi
Nilikuwa tayari na tukaanza mahusiano, lakin siku zilivokwenda yule binti alionekana kama hakuwa na amani, nikamuuliza na kumwomba kuwa huru kabisa,
Huyu binti kwanza kabisa alinitaka radhi, na kunieleza wazi kila kitu mwanzo mwisho, kwamba Mama yake aliwahi kukorofishana na baba yake wakatalakiana ndipo mama alivoamua kumchukua kijana wa makamo kama mumewe.
(kipindi hicho yy akiwa mdogo mwnfnz wa kidato cha kwanza)
Siku mmoja mama akiwa safarini yule babaake mdogo alimbaka lakini yeye alimficha mama, miezi michache baadae akajishtkia kuwa ana ujauzito. Hapo ndipo alipoacha shule kwani hata alivomwambia mama hakuamini kwa kudhani kuwa alikuwa anamsingizia mumewe. Alimzaa mtoto wa kike aliefanana copy right na mdogo wake ambae ni mtoto wa huyo babake, nilipata mshituko alivoniambia kuwa mi ndo nikuwa boyfriend wake wa kwanza kabisa ila baba mdogo wake ndie chanzo cha kila kitu.
Sasa wakubwa nifanyeje??
1. Niwe na mtu ambae amezaa na babaake?
2. Nimwache ilhali nilimuahi kuwa tayari kwa taarifa zozote?
Inaniuma kweli, naombeni ushauri
wenu Mzaliwa wa Kwanza.
.
.