Msaada: Kabla ya kuoa, ndugu yangu yupo njia panda

mr Dude

Member
Jun 14, 2023
43
116
Kuna ndugu yangu mmoja anamchumba sasa kumfuatilia anajiuliza mambo mengi kweli.

Mara nyingi tunaamini kuhusu Tabia kurithi kutoka kwa Baba na mama.

Sasa katika ndoa kuna mambo mengi hasa utakuta mama anachepuka na kuzaa na ME mwingine na mtoto kumpa mume wake bila kujua au mume akajua baadae akasamee na ndoa kuendelea.

Sometime mume anakuwa na mtoto before ndoa au kwa kuchepuka mama wa mtoto kafariki na mkewe anamchukua na kumfanya kama mwanae wa kumzaa pindi ni mdogo kbs.

Na mtoto anakua anaamini ni mzazi wake wa kumzaa.

Sasa ukija mwanaume unataka kuoa hapo unakuwa haujui kama iyo ishu ipo utaona binti ni wa familia hiyo lkn sio wa hapo yani mzazi mmoja sio wake.

Sasa katika kuchunguza kama kuna magonjwa ya kurithi na tabia za familia kwa ujumla. Lkn kumbuka huyo mtu anaweza kuwa sio wa familia hiyo.

Hio ishu unaonaje.
Maana mara nyingi tunaambiwa zipo tabia za kurithi kutoka kwa familia na magojwa.
Sasa hio ishu ipoje hapo.

Utakuta binti sio baba yake wa kumzaa, mama yake alimpa tuu Mume wake.
Hio ishu vipi.
 
Sikia, inavyoonekana binti anayetaka kuolewa na huyo jamaa yake baba aliyemlea sio baba yake halisi, ndio jamaa anapata mashaka maana anataka kufahamu tabia za mzazi halisi na kama kuna magonjwa ya kurithi pia.

Wewe unaona ni sawa hivyo?
Ndivyo nilivyomaanisha mkuu.

Jamaa anaweza kua na hoja ila kwenye mahusiano ukianza kutafuta vijisababu kama hivyo ni dalili ya kutomtaka mwenzio.

Maana huo ufukunyuku utakufikisha pahala tu, useme kwasababu hii sitakuoa

Imagine hamuoi kwasababu baba yake alikua mlevi, mvuta unga, bangi nk kw kuhisi dem au mwanae atarithi.
 
Kuna ndugu yangu mmoja anamchumba sasa kumfuatilia anajiuliza mambo mengi kweli.
Mara nyingi tunaamini kuhusu Tabia kurithi kutoka kwa Baba na mama.

Sasa katika ndoa kuna mambo mengi hasa utakuta mama anachepuka na kuzaa na ME mwingine na mtoto kumpa mume wake bila kujua au mume akajua baadae akasamee na ndoa kuendelea.
Sometime mume anakuwa na mtoto before ndoa au kwa kuchepuka mama wa mtoto kafariki na mkewe anamchukua na kumfanya kama mwanae wa kumzaa pindi ni mdogo kbs.
Na mtoto anakua anaamini ni mzazi wake wa kumzaa.

Sasa ukija mwanaume unataka kuoa hapo unakuwa haujui kama iyo ishu ipo utaona binti ni wa familia hiyo lkn sio wa hapo yani mzazi mmoja sio wake.

Sasa katika kuchunguza kama kuna magonjwa ya kurithi na tabia za familia kwa ujumla. Lkn kumbuka huyo mtu anaweza kuwa sio wa familia hiyo.

Hio ishu unaonaje.
Maana mara nyingi tunaambiwa zipo tabia za kurithi kutoka kwa familia na magojwa.
Sasa hio ishu ipoje hapo.

Utakuta binti sio baba yake wa kumzaa, mama yake alimpa tuu Mume wake.
Hio ishu vipi.

Waswahili wanasema ukimchunguza bata huwezi kumla ,akili mtu wangu
 
Sikia, inavyoonekana binti anayetaka kuolewa na huyo jamaa yake baba aliyemlea sio baba yake halisi, ndio jamaa anapata mashaka maana anataka kufahamu tabia za mzazi halisi na kama kuna magonjwa ya kurithi pia.

Wewe unaona ni sawa hivyo?
Hajampenda huyo Binti

Kama umependa huwez fikiria hata huo upuuz
 
Back
Top Bottom