BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,335
- 1,386
itafikisha tu, quality ya picha za video ni nzuri na ali kiba ni maarufu...! Halafu kati ya video zote za ali kiba hii ndo ina picha nzuri kuliko zote zilizopita...ukiongelea matukio ya video na uhusiano wa video ni director/&producer aliekosea au ali kiba hakujieleza vizuri...Ali Kiba ni msanii mkubwa angetakiwa kutuliza kichwa kuifanya hii video watu walikua wanasubiri makubwa zaidi ya hayo..! Msiiponde sana atajichimbia tena halafu itakua kila siku anarudi...Unlike wasanii wengine Ali Kiba ni light Heart hawezi kuvumilia kutokubalika ndomana hua anaamua kukaa kimya...nyi ikubalini halafu mnampa marekbisho madogo madogo...bado tunamuhitaji...Akisimama vizuri tutakua na pakuhemea kimataifa, hapa Weusi pale Kiba halafu na Diamond lazima bongo fleva itatusuaIkifikisha hata viewers laki najiua...