Ali Kiba Fans' Special Thread...

Walisema kaishiwa,akatoa ngoma
wa kasema hana hela ya video, ametoa video

Bado hawataki!! mlitaka afanyaje sasa?

kiba ana Fanya mziki kwa ajili yake,wewe unaleta shingo upande!!

basi changanya Ta.ko ili mavi yasigande_Fid Q


hata kama humpendi kiba ,usimchukie.
 
Naombeni mnitumie wimbo wa Mwana Dsm kwa wassap namba +17472024725.

hima jamani, huu wimbo naupenda sana, nimeshindwa kuudownload.
 
Ukitaka kujua kama King Kiba ni noma, yaani TV ndio zinapiga promo sasa kama zitapiga video ya Mwana kwa mara ya kwanza. Yaani wanajua watu kibao wanasubiri, ndio maana TV nyingine hazitaji muda ili TV zao zitazamwe kesho.
Ova


Nimeona mkuu
 
Hakuna connection yeyote kati ya kinachoimbwa na video yenyewe... Zero story line, hawa jamaa wanasifia upuuzi gani sijui

Quality yake ni super....ila content zero, Kiba ndio sijui kadanganywa na nani kudensi angeachana na ishu za kudensi anatilisha huruma akidensi.....haieleweki heleweki Adam angefanya zaidi ya alichofanya Godfather picha zimeunganishwa kama sio film......yani in short sio kitu Amazing.
 
Nimempuuza mkuu. Naona napata shida naye tu. Mwenzake Leo nimefanya kazi nyingi za kutumia akili tupu, halafu tena na yeye analeta tabia zake za Kwa Mfuga Mbwa.
Ova

Nafikiri video umeiona Hahahahaha...muwe mnatusikiliza watu wazima.
 
Quality yake ni super....ila content zero, Kiba ndio sijui kadanganywa na nani kudensi angeachana na ishu za kudensi anatilisha huruma akidensi.....haieleweki heleweki Adam angefanya zaidi ya alichofanya Godfather picha zimeunganishwa kama sio film......yani in short sio kitu Amazing.

iko wapi?hiyo mbona you tube sijaiona
 
Back
Top Bottom