Ali Kiba Fans' Special Thread...

Video ya Mwana itapigwa katika muda unaokaribiana katika TV Stations 24 kubwa barani Africa. Kwa East Africa kuna Clouds TV, NTV na Citizen TV ndio zitaipiga video zikiwa ni TV Stations za kwanza then zingine zitaipiga baadaye.
Stations kubwa kama Trace, MTV Base, City Sound, 1 Music, Channel O na nyinginezo kubwa zitakuwa za kwanza kugonga video ya Mwana, kwa taarifa nilizonazo kwa EA video itagongwa kwa muda unaofanana ama kupishana Kidogo sana.
Ni mpangilio wa aina yake kiukweli, nadhani kesho itakuwa kama Sikukuu. Alisema amerejea kwenye kiti chake huku kila Kitu kikiwa ni Next Level.
Ova
 
Video ya Mwana itapigwa katika muda unaokaribiana katika TV Stations 24 kubwa barani Africa. Kwa East Africa kuna Clouds TV, NTV na Citizen TV ndio zitaipiga video zikiwa ni TV Stations za kwanza then zingine zitaipiga baadaye.
Stations kubwa kama Trace, MTV Base, City Sound, 1 Music, Channel O na nyinginezo kubwa zitakuwa za kwanza kugonga video ya Mwana, kwa taarifa nilizonazo kwa EA video itagongwa kwa muda unaofanana ama kupishana Kidogo sana.
Ni mpangilio wa aina yake kiukweli, nadhani kesho itakuwa kama Sikukuu. Alisema amerejea kwenye kiti chake huku kila Kitu kikiwa ni Next Level.
Ova

Ushabiki pembeni.....tegemeeni disappointment.
 
Umeanza lini kazi kufikiria kwa niaba yangu?! Anakulipa nani kwa kazi hiyo? Mbona sikuhitaji kwa hiyo kazi ya kufikiria kwa niaba yangu? Mbona unaonekana kama yako yamekushinda?!
Ova

cool dauni,hasira za nini...mzigo utaongea.
 
cool dauni,hasira za nini...mzigo utaongea.

Sasa kama unajua mzigo ukishatoka utaongea ilikuwaje ukaanza kujipa kazi ya utabiri hapa kabla mzigo haujatoka?
Hebu jiruhusu kukua, maisha ya kuongea ovyo ovyo hayatoi sifa kwa mhusika yeyote zaidi ya kufanya apuuzwe tu.
Tengeneza mwenyewe hadhi yako, acha ujanja mavi wa kuropoka tu kwa kila mtu. Huwa sivutiwi kabisa kuwa na maongezi na wewe.
Ova
 
Sasa kama unajua mzigo ukishatoka utaongea ilikuwaje ukaanza kujipa kazi ya utabiri hapa kabla mzigo haujatoka?
Hebu jiruhusu kukua, maisha ya kuongea ovyo ovyo hayatoi sifa kwa mhusika yeyote zaidi ya kufanya apuuzwe tu.
Tengeneza mwenyewe hadhi yako, acha ujanja mavi wa kuropoka tu kwa kila mtu. Huwa sivutiwi kabisa kuwa na maongezi na wewe.
Ova

Subiria disappointment, utaki kunya kiazi.
 
Yaani matumbo anavyoongea kwa kujiamini eti tegemeeni disappointment.....hahah utadhani hatujaiona vile!!
Omameee omameee

Ashaanza kuugua. Mfumo wa kuiachia tu ushaanza kunyima watu usingizi. King Kiba katisha sana.
Ova
 
Last edited by a moderator:
Rohoooo zinawauma sana
Walisema "kama yy king apigwe Nigeria ,Chan O ,MTV na asishutie Tz "

King keshawajibu
Wameanza kusema
"Video aisadiki jina la wimbo "
Walitaka akashutie Tandale!!

King kaifunika hata ile show Zalizalina cjui nan alimshauli atoe video kesho na manjonjo ayaanzie Leo kawazima kabisa

Go kiba
 
Rohoooo zinawauma sana
Walisema "kama yy king apigwe Nigeria ,Chan O ,MTV na asishutie Tz "

King keshawajibu
Wameanza kusema
"Video aisadiki jina la wimbo "
Walitaka akashutie Tandale!!

King kaifunika hata ile show Zalizalina cjui nan alimshauli atoe video kesho na manjonjo ayaanzie Leo kawazima kabisa

Go kiba

Kiba ananipa raha jamani!
 
Rohoooo zinawauma sana
Walisema "kama yy king apigwe Nigeria ,Chan O ,MTV na asishutie Tz "

King keshawajibu
Wameanza kusema
"Video aisadiki jina la wimbo "
Walitaka akashutie Tandale!!

King kaifunika hata ile show Zalizalina cjui nan alimshauli atoe video kesho na manjonjo ayaanzie Leo kawazima kabisa

Go kiba

Ukitaka kujua kama King Kiba ni noma, yaani TV ndio zinapiga promo sasa kama zitapiga video ya Mwana kwa mara ya kwanza. Yaani wanajua watu kibao wanasubiri, ndio maana TV nyingine hazitaji muda ili TV zao zitazamwe kesho.
Ova
 
Back
Top Bottom