AL JAZEERA NAIROBI? why not DAR ES SALAAM?

Mbumbumbu ni wewe usiyeyajua mapungufu yako!!! kwa chombo kikubwa kama Al-Jazeera kuweka HQ hapa ni costful kutokana na uhaba wa HR kwahiyo hata kama sheria zingekuwa zinaruhusu bado wasingefanya hivyo kwavile wangeingia cost ya kuwa na foreigners wengi. Al-Jazeera utasema sheria haziruhusu; what about mashirika ya UN?! nayo hayaruhusiwi na sheria?! Nitajie ni waandishi wangapi TZ wana shahada za uzamili? Nitajie ni waandishi wangapi watanzania unaweza kuwaita waandishi mbele ya wandishi wa habari duniani? Au kwavile ni Al-Jazeera Kiswahili ndo unazani sifa kuu ni kujua kiswahili?! Bro, pamoja na matusi yako ukweli ndio; TZ kuna uhaba wa wanataaluma ya habari ambao ni competent na professionals! Uandishi wa habari ni zaidi ya sauti mzuri ya kutangaza bro?! Hata kama hutaki, ukweli ndio huo; kwamba wandishi wengi wanatokea DSJ; so usitarajie mtu kama huyo afanye kazi kwenye kituo kikubwa kama Al-Jazeera! najua imekuchoma, lakini ukweli ndio huo!!

Uwezo wako wa kuelewa mambo ya hii fani ni madogo sana mkubwa.
Unweza kunitajia viwango vya elimu vya waandishi kama
Adrew Simon(Mhariri mkuu wa aljazeera afrika na Mohamed adow,Ivon Ndege(Correspondets wa aljazera East afrika?

Acha kuongea utumbo hapa.We unakurupuka na kudai sijui umefanya utafiti kwa niaba ya AJ kumbe ni upupu,hapa JF sisi ni greta thinker siyo utumbo wako huo.jadili hoja watun waelimike siyo kuandika ujinga humu.

Kwa uelewa wako unafikiri kuwa na PHD ya fani fulani ndiyo mafanikio ya fani hiyo,pole sana !!!!!!

Kukuonesha kuwa uwezo wako ni sawa na 0 ebu rudia kusoma baadhi ya post zako za nyuma
‘Dah, basi bana! Nilipomaliza SUA mwaka ule, ofisi niliyoajiriwa nilikutana tulipelekwa na washikaji wawili kutoka UDSM! Sio siri, kv washikaji walitoka UDSM na mimi toka SUA, (na kwa bahati mbaya watu wanaidharau sana SUA), nikajihisi kama jamaa watanifunika vibaya sana!!! my god, hadi pale nilipokuja kuona magamba yao ndipo nikaamini kumbe washikaji kweli wanatoka UDSM!!!!! in short niliwafunika kabisa!!!'-NASDAZ
‘Niki-confirm hii habari, itabidi kesho nifungulie ili nikapige bia pale New Msasani Club karibu na ubalozi wa Marekani! Naomba niongozane na mtu ili nisije nikabwatuka pale!'-NASDAZ
‘Ni NMB hii hii ambayo niliwahi kufanya kazi kama Customer Service Officer 3 years ago( with 4.5 years work experience, na graduate) na kulipwa sh.509,000 (basic) au nyingine?!! '-NASDAZ

 
Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19

TISS yetu imejikita kuwadhibiti wapinzani na kuwalinda vibakauchumi waliosheheni ndani ya CCM tu. Inafanya kazi kama kitengo cha CCM na hawana jipya. Wanashughulika na kuilinda serikali hii ya CCM iendelee kutawala kwa kuwalaghai watu na kuwasaidia CCM kutumia njia zozote kufanikisha uhaini dhidi ya taifa kwa kufanikisha wizi wa kura, kuhujumu mikutano ya wapinzani, kufunika uhalifu unaofanywa na serikali dhidi ya wananchi n.k. Tukumbuke magari ya TISS yalitumika na familia ya Rais wa sasa kwenye kampeni za urais kinyume cha sheria. TISS ni vilaza na kamwe hawaoti kuikwamua nchi dhidi ya matatizo ya uchumi, wawekezaji bandia, wezi na wahujumu wa uchumi wetu kiasi cha watu kuhusika na kashfa za kukwapua mchana hadhrani kwenye asasi zetu na kuziweka fedha nje ya nchi.
To sum up TISS ni mzigo kwa taifa letu na naweza sema kwa uhakika kwamba nchi hii ingeweza kuendeshwa vema zaidi bila ya dude hili TISS kuliko kuwepo, na madudu yote haya kutokea chini ya pua yake! Kuna haja kwa katiba inayokuja kuweka misingi ya uwepo na uwajibikaji/shwaji wa asasi kama hizi katika siku zijazo.
 
Uwezo wako wa kuelewa mambo ya hii fani ni madogo sana mkubwa.
Unweza kunitajia viwango vya elimu vya waandishi kama
Adrew Simon(Mhariri mkuu wa aljazeera afrika na Mohamed adow,Ivon Ndege(Correspondets wa aljazera East afrika?

Acha kuongea utumbo hapa.We unakurupuka na kudai sijui umefanya utafiti kwa niaba ya AJ kumbe ni upupu,hapa JF sisi ni greta thinker siyo utumbo wako huo.jadili hoja watun waelimike siyo kuandika ujinga humu.

Kwa uelewa wako unafikiri kuwa na PHD ya fani fulani ndiyo mafanikio ya fani hiyo,pole sana !!!!!!

Kukuonesha kuwa uwezo wako ni sawa na 0 ebu rudia kusoma baadhi ya post zako za nyuma
‘Dah, basi bana! Nilipomaliza SUA mwaka ule, ofisi niliyoajiriwa nilikutana tulipelekwa na washikaji wawili kutoka UDSM! Sio siri, kv washikaji walitoka UDSM na mimi toka SUA, (na kwa bahati mbaya watu wanaidharau sana SUA), nikajihisi kama jamaa watanifunika vibaya sana!!! my god, hadi pale nilipokuja kuona magamba yao ndipo nikaamini kumbe washikaji kweli wanatoka UDSM!!!!! in short niliwafunika kabisa!!!'-NASDAZ
‘Niki-confirm hii habari, itabidi kesho nifungulie ili nikapige bia pale New Msasani Club karibu na ubalozi wa Marekani! Naomba niongozane na mtu ili nisije nikabwatuka pale!'-NASDAZ
‘Ni NMB hii hii ambayo niliwahi kufanya kazi kama Customer Service Officer 3 years ago( with 4.5 years work experience, na graduate) na kulipwa sh.509,000 (basic) au nyingine?!! '-NASDAZ


A person who doesn't admit mistake is always angry!!! Naona mchango wangu umekuchoma sana wewe binafsi ingawaje haikumlenga yeyote!!Hadi umeamua kutafuta posts zangu zilizopita?!! am sorry kwamba bado huna ufahamu wa kutosha wa kujua feelings za mtu pale anapochangia mada! Na wala hujui ni mada ya aina gani mtu anatakiwa kuwa very serious wakati wa kuchangia!! Hivi huoni aibu kwamba kati ya post zaidi ya 500 nilizoanndika wewe unachomoa 5 na ku-conclude ; posts ambazo hata hivyo zote ziimeanzishwa na watu wengine!! hata hivyo naomba nikuonye jambo moja! Mimi ni mtoto wa ushenzini; nimezaliwa ushenzini; nimekulia ushenzini na nimesomea ushenzini! Matusi nayajua sana kwavile viwanda vya matusi vimejaa huku ushenzini! hata hivyo, wazazi wetu wanatukanya ku-respect otherz hata kama huwafahamu kwahiyo nakuonya uache matusi mara moja otherwise sitaona taabu kupigwa ban hapa JF! By the way, sina cha kupoteza hapa kwahiyo sitasita kuongea lugha sawa na ya kwako pinndi ukiendelea na lugha chafu dhidi yangu!!
 
Uwezo wako wa kuelewa mambo ya hii fani ni madogo sana mkubwa.
Unweza kunitajia viwango vya elimu vya waandishi kama
Adrew Simon(Mhariri mkuu wa aljazeera afrika na Mohamed adow,Ivon Ndege(Correspondets wa aljazera East afrika?

Acha kuongea utumbo hapa.We unakurupuka na kudai sijui umefanya utafiti kwa niaba ya AJ kumbe ni upupu,hapa JF sisi ni greta thinker siyo utumbo wako huo.jadili hoja watun waelimike siyo kuandika ujinga humu.

Kwa uelewa wako unafikiri kuwa na PHD ya fani fulani ndiyo mafanikio ya fani hiyo,pole sana !!!!!!

Kukuonesha kuwa uwezo wako ni sawa na 0 ebu rudia kusoma baadhi ya post zako za nyuma
‘Dah, basi bana! Nilipomaliza SUA mwaka ule, ofisi niliyoajiriwa nilikutana tulipelekwa na washikaji wawili kutoka UDSM! Sio siri, kv washikaji walitoka UDSM na mimi toka SUA, (na kwa bahati mbaya watu wanaidharau sana SUA), nikajihisi kama jamaa watanifunika vibaya sana!!! my god, hadi pale nilipokuja kuona magamba yao ndipo nikaamini kumbe washikaji kweli wanatoka UDSM!!!!! in short niliwafunika kabisa!!!’-NASDAZ
‘Niki-confirm hii habari, itabidi kesho nifungulie ili nikapige bia pale New Msasani Club karibu na ubalozi wa Marekani! Naomba niongozane na mtu ili nisije nikabwatuka pale!’-NASDAZ
‘Ni NMB hii hii ambayo niliwahi kufanya kazi kama Customer Service Officer 3 years ago( with 4.5 years work experience, na graduate) na kulipwa sh.509,000 (basic) au nyingine?!! ‘-NASDAZ


A person who doesn't admit mistake is always angry!!! Naona mchango wangu umekuchoma sana wewe binafsi ingawaje haikumlenga yeyote!!Hadi umeamua kutafuta posts zangu zilizopita?!! am sorry kwamba bado huna ufahamu wa kutosha wa kujua feelings za mtu pale anapochangia mada! Na wala hujui ni mada ya aina gani mtu anatakiwa kuwa very serious wakati wa kuchangia!! Hivi huoni aibu kwamba kati ya post zaidi ya 500 nilizoanndika wewe unachomoa 5 na ku-conclude ; posts ambazo hata hivyo zote ziimeanzishwa na watu wengine!! hata hivyo naomba nikuonye jambo moja! Mimi ni mtoto wa ushenzini; nimezaliwa ushenzini; nimekulia ushenzini na nimesomea ushenzini! Matusi nayajua sana kwavile viwanda vya matusi vimejaa huku ushenzini! hata hivyo, wazazi wetu wanatukanya ku-respect otherz hata kama huwafahamu kwahiyo nakuonya uache matusi mara moja otherwise sitaona taabu kupigwa ban hapa JF! By the way, sina cha kupoteza hapa kwahiyo sitasita kuongea lugha sawa na ya kwako pinndi ukiendelea na lugha chafu dhidi yangu!!
 
Viongozi wa Tanzania siyo wazalendo na hawana vision ya taifa, hivyo inafanya nchi ishindwe kueleweka iko upande gani!
 
Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19

Mnashangilia ugeni wa Aljazeera? Aljazeera ni kama BUNDI, akikutembelea andaa matanga!

Hivi ukiona wanafungua bureau kubwa Nairobi ni maandalizi ya maafa kwenye elections za 2012. Hawa jamaa ukiwaona wananusanusa mahala ujue kuna jambo; kule Middle East wanadai Aljazeera hutangaza habari kabla hazijatokea kisha ndio habari yenyewe inafanyika.
 
SAMMOSSES:
Tanzania si mchezo bana,hii ndo nchi ya kitu kidogo,ukicheza utaombwa kila kitu.Tena bora na matonya wa Dodoma kuliko viongozi wakuu wa nchi hii.Ikiwa rais anathubutu kusema anapokwenda nje ya nchi anakwenda kuhemea kwa kuomba akirudi anakuja na kibaba.yawezekana wanaogopa na wao kuombwa kama kawaida yetu.


wanyonge lazima tukatae kuwa mazoba
 
umeme haupatikani kirahisi kama unavonunua jacket lako dukani..jk 2011 in south africa
 
Back
Top Bottom