AL JAZEERA NAIROBI? why not DAR ES SALAAM?

Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19

Wafungue kituo cha televisheni Dar na mgao usioisha wa umeme?
 
Kama mtanzania nawaomba makampuni mengine yasije kabisa, waswahili kazi yao ni kuwaza jinsi ya kuiba na kutajirika haraka haraka. Kazi wavivu na hatuwezi. Hotel zetu kibao za kitalii wakenya wamewekwa, sisi kazi blah blah na nepotism ya khali juu, wakenya wana ukabila lakini kazi wanafanya sisi ni 'undugunization' kwa ndugu zetu vilaza
 
Mimi nilipenda Waje tu,Mkaa 1oo angepata shavu aondoke mjengoni,maana na mwenzake Baharini hassa--ninani wanapenda sana kuwafagilia magamba,ndo wangekoma mziki wa International media,siwanawaonea Kina Kubenea na kina Tido Mhando.Sema ishu ya umeme wa serikali ya JK ungewakatisha tamaa!
 
No coments

You have to comment. Our country is increasingly becoming shitty, we must discuss and talk about ways to get it better. Makampuni mengi kufungua ofisi zake Nairobi na kuikwepa Dar ni ujumbe kuwa pamoja na porojo zote tunazopiga na kuwadanganya watu, we are terribly messing up our country. Ukiangalia mindsets zetu kama nchi unaweza kuona kuwa bado tunaishi mwaka 1820.....siasi nyingi ni za wizi tu na kujinufaisha. Funny enough ukiwauliza walio madarakani kila mmoja anasema sababu ni hii au sababu ni ile, wengine wanadanganya kabisa kuwa kuna maendeleo, lakini in fact tunazidi kudidimia na maisha ya watanzania yanazidi kuwa magumu. Lakini wenyewe wakiingia madarakani kunakuwa na maendeleo makubwa sana kwenye akaunti zao za benki.
 
Nairobi is now one of the most prominent cities in Africa politically and financially.[SUP][8][/SUP] Home to thousands of Kenyan businesses and over 100 major international companies and organisations, including the United Nations Environment Programme (UNEP) and the main coordinating and headquarters for the UN in Africa & Middle East, the United Nations Office in Nairobi (UNON), Nairobi is an established hub for business and culture. The Nairobi Stock Exchange (NSE) is one of the largest in Africa and second oldest exchange.It is ranked 4th in terms of trading volume and capable of making 10 million trades a day.[SUP][9][/SUP] The Globalization and World Cities Study Group and Network (GaWC) defines Nairobi as a prominent social centre.[SUP][citation neededNairobi - Wikipedia, the free encyclopedia][/SUP]

You are very right they can't come to Tanzania at all.

But lets ask our-self why this is happen what should we do to make Tanzania a new commercial hub.
 
JF kiboko kuna thread zinaponda wawekezaji na waliyokuwa wakiponda wana changia hii thread duh!Great Thinkers!
 
Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19

Kwani ni kazi ya TISS kujua kampuni gani inampango wa kuwekeza Nairobi na kuwashawishi waje Tanzania? Mimi nadhani tungejiuliza kuna nini Nairobi ambacho kinayavutia mashirika yote makubwa ya kimataifa kuwekeza/kufungua ofisi pale na siyo Dar es salaam?
 
Kwani ni kazi ya TISS kujua kampuni gani inampango wa kuwekeza Nairobi na kuwashawishi waje Tanzania? Mimi nadhani tungejiuliza kuna nini Nairobi ambacho kinayavutia mashirika yote makubwa ya kimataifa kuwekeza/kufungua ofisi pale na siyo Dar es salaam?

Cool, kwa hiyo unaona ni vizuri tukijua kazi ya TISS ni nini na tujue kama kweli wanafanya kazi yao. Idara za ujasusi za nchi nyingine hasa za wenzetu walipoiga hatua na wanaotaka kupiga hatua, kuhakikisha usalama wa taifa, usalama haina maana ku-deal na opposition tu, ni pamoja na kuhakikisha nchi inakuwa na economic prosperity, nchi yenye economic prosperityni salama kuliko nchi hovyo.
 
Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19
<br />
<br />
 
Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19
<br />
<br />
sio tu Al-Jazeera Nairobi, hata mimi nilisha wahi kutuma barua pepe kuuliza mbona hakuna utabiri wa hali ya hewa kutoka BBC, AU CNN kwa miji ya TZ? au hali zake hazipimiki? Ckuwahi kupata jibu, kumbe kuna swala hili tena? Isiwe mashirika haya yame2tenga? Au cc ha2na wala hatutoi ushirikiano maana TZ, mgh 2naijua wenyewe,
 
LOCATION STRATEGY
Watu makini huwa wanajali sana kitu hicho.....,
Ukijiuliza, Je DAR na NRB ipi ina pata marks nyingi ktk hilo...?
 
Dar tunaijenga kuwa bigger and a bit modern village, haina characteristics za modern city, ndio maana hatupati alama nzuri tukilinganishwa na NRB. Angalia growth of unofficial sub urban areas, pita manzese uone kama ni sehemu inayotakiwa kuwa karibu na city centre, au magomeni tu. Life style, tabia za watu na infrustructure utasikitika sana.
 
Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19

Dar Hakuna Umeme chief!
 
tanzania kuna mazingira mazuri ya uwekezaji,pale mlimani city kuna maduka yanatoza bidhaa kwa dola! Shamba la bibi nchi hii,nani asimamie hilo? BOT?
 
Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19
Niliwahi kusema hapa TISS ilipaswa kuwa na kitengo kwaajili ya uchumi, ona sasa Kenya walivyochangamkia Sudan Kusini sisi tumelala ukisikia tuko huko ni juhudi zetu wenyewe lakini ukweli ni kwamba hiyo nchi ina-import skilled labour sasa hivi na wanaofaidi hilo ni Kenya.

Kama tungekuwa na TISS imara kwenye economics changanya na utulivu uliopo nchini kwetu tungekuwa na mashirika mengi ya kimataifa hapa kuliko Kenya na kampuni nyingi za kimataifa, hakika ingesukuma gurudumu letu la maendeleo mbele, lakini jamaa wapo kwa kulinda viongozi mafisadi na wanatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha mafisadi hawatoki madarakani.
 
Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19

WA KULAUMIWA sio TISS, bali ni mimi hapa ila naomba mnisamehe kwa wale ambao mngependelea Al_jazeera wangekuwa hapa Dar. Bosi mkuu wa Al-Jazeera alinipa kazi ya kutathimini potentiality ya Dar kama ingeweza kuwa makao makuu ya Al_jazeera kiswahili. baada ya kufanya utafiti wangu nikagundua yafuatayo ambayo niliandikia ripoti na kuipeleka kwa BIG BOSS wa Al_Jazeera:
1. Hakuna dalili ya kuwapo kwa wanaataluma kwenye tasnia ya habari wenye shahada ya uzamivu (PhD) ambao wapo kwenye game.
2.Hata wanahabari wenye shahada ya uzamili (Masterz) nao ni wa kutafuta
3.Source kubwa ya waandishi wa habari ni pale mitaa ya Ilala/Buguruni al-maarufu DSJ
4. Waandishi karibu wote ni ama Chadema au CCM na hawawezi kuficha hisia zao za ushabiki wa vyama kwenye vyama hivi
5.Source yao kubwa ya habari ni Press Conferences
6.Waandishi wengi hawavutiwi na Press Conferences zisizo na bahasha.
7. Baadhi ya waandishi hawaoni taabu kunyofoa habari za mitandao ya kijamii kama JF na kuzifanya ndio habari za kwenye vyombo vyao
8.Waandishi wengi ni vigeu geu; hawana uhuru wa maoni na hawana tofauti yoyote ile na wanasiasa! Kwamba, leo akiandikia Tanzania daima ataisifia CHADEMA na kesho akiwa UHURU ataisifia CCM! In short, ni kama waganga njaa!
9........ Hii ya tisa, sitaisema, naogopa kuwatoa watu mapovu
10. Standby generators 24/7

Baada ya kupeleka hiyo ripoti, sikupata feedbback hadi niliposikia kwamba wameamua kuwa Nairobi! Nisameheni kwa kukosa uzalendo!
hayo mambo nitaya-turn upside down endapo CNN watakuja na kunipa kazi kama hiyo tena!!!
 
Back
Top Bottom