karim wade
Member
- Apr 2, 2012
- 49
- 10
Uyu bwana MMK nilishamuondoa kati ya GT wa umu JF, japo mie sio mwana siasa na siungi mkono upande wowote ule but napenda mabadiliko ya dhati. Anajiona elite sana kisiasa na hasa za umu javini. Nafikiri watu wanafikiri yeye ni political strategist mwenye vision ya kuona mbali kumbe ni wale wale wachumia matumbo yao.ningekuwa na uwezo ningemdelete asiweke tena post zake umu ndani.