Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
kama mtu hataki washinde anatakiwa kusubiri baada ya 2015; kama mtu anataka CDM ifanye vizuri anatakiwa kuanza jana kuwafuatilia..
muongozo hapo kwenye bluu
kama mtu hataki washinde anatakiwa kusubiri baada ya 2015; kama mtu anataka CDM ifanye vizuri anatakiwa kuanza jana kuwafuatilia..
najaribu kuimagine andazi lililoungua,JF bwana stress free
Ntatumia matokeo ya kata kama 8 hivi as a Benchmark Ku msupport Tuko
Hii inaonesha kama ungekuwa ni uchaguzi wa Rais, CDM wangepiga Bao kubwa mno
Kata CHADEMA CCM Kilema Kusini 797 736 Najara Rehan 2370 1128 Mnero Miembeno 818 138 Myovizi 1726 1498 Momba 903 310 Mahenge 444 710 Mtibwa 3096 1372 Daraja Mbili 2193 1324 SUM
12347 7216
Sawasawa; now lets go a little further:
a. Kuna wapiga kura wangapi waliojiandikisha katika eneo hilo, wangapi walijitokeza kupiga kura
b. Kuna watu wangapi ambao wako eligible kuandikishwa kupiga kura.
c. CDM ina wanachama wangapi katika eneo hilo na CCM ina wanachama wangapi
Thanks.
kama mtu hataki washinde anatakiwa kusubiri baada ya 2015; kama mtu anataka CDM ifanye vizuri anatakiwa kuanza jana kuwafuatilia..
Kwa hali ilivyo kimatoke CDM 2mepoteza 2ache unafiki
ila kachambua vyema.Akina Mzee Mwanakijiji ni wavivu kufikiri
tatizo watu wanafikiria takwimu tu zinasema kila kitu; kuna msemo kuwa takwimu ni kama sketi zinadokeza tu kilichopo lakini zinaficha kilicho muhimu zaidi.
Wengine wamewahi kusema "torture numbers and they will confess to anything"...
Au kama William Watt alivyowahi kusema "Do not put your faith in what statistics say until you have carefully considered what they do not say" na mwingine akasema akitolea mfano kuwa "I abhor averages. I like the individual case. A man may have six meals one day and none the next, making an average of three meals per day, but that is not a good way to live. "
kwi kwi kwi kwi, mambo mengine ni kwamba mnataka tucheke au, JF burudani daaa; inanikumbusha shule ya msingi ..... '' twende kaka' twende kaka'' Mgongo kama meza ya kolokolo...
la kuchoma tena?sijawahiile 'kasa' tu. ushaona andazi la kuchoma?
Mkuu kuna TAKWIMU zako hapo juu zinapotosha.....Baadhi hazina ukweli....Ntatumia matokeo ya kata kama 8 hivi as a Benchmark Ku msupport Tuko
Hii inaonesha kama ungekuwa ni uchaguzi wa Rais, CDM wangepiga Bao kubwa mno
Kata CHADEMA CCM Kilema Kusini 797 736 Najara Rehan 2370 1128 Mnero Miembeno 818 138 Myovizi 1726 1498 Momba 903 310 Mahenge 444 710 Mtibwa 3096 1372 Daraja Mbili 2193 1324 SUM
12347 7216
-Hizi fikra tegemezi ndizo zinazotufanya tujenge taifa la ajabu.Ndiyo maana akisimama waziri akamwaga takwimu tu tunaishia kumtangaza " Caesar for presidency" au unasikia "Wow,......such a brilliant leader"
Duh ila leo nimecheka kweli.JF Rocks!
umekubali kuwa kikwete ammebadilisha mawaziri wake lakini sio yeye kuwajibika!
Je kwa upande wa cdm ulitaka wawajibike kina mbowe,slaa,zitto,mnyika,lema and other top figures au wenyeviti wa matawi?(make it clear)kama ni wenyeviti wa matawi kwa nini maoni yako yalielekea kwa viongozi hawa wakuu wa chama?
2010 walifanya vibaya?kikata,kibunge au kirais?naona kama unalinganisha mambo yasiyolinganishwa mkuu.
Ungesubiri 2015 uwahukumu comprehensively!