ww unaonekana ni miongoni mwa watu wanaoleta hapa hoja dhaifu na kusahau kuwa hili ni jukwaa la gt, sasa mwenzio kakupatia dondoo unazopaswa kuzijibu kwa ushahidi makini, bila hivyo usiendelee kupost hoja dhaifu kuhusu CDM kutochukua dola 2015. hivi nikuulize unajua matokeo halisi ya uchaguzi wa 2010. hekima ni kuwa kama hujui omba kuelimishwa utafaidika kuliko kujifanya unajua kila kitu
sina uhakika na anayetumia user name ya Mzee Mwanakijiji kwa kipindi cha kama wiki tatu hivi!
Hakuna hoja hapa kuna vioja na miye najua kuleta vioja. Muone macho kama gololi za kitanda.
hoja ipo sana tu!mwenzetu katoa changamoto,hata kama hana data ni vyema wale waliobobea katika chambuzi za siasa zetu mkamuwekea hizo data na kupangua hoja yake.mleta mada anaamini wakongwe mnazo data anazphitaji,msaidieni basi!Hakuna hoja hapa kuna vioja na miye najua kuleta vioja. Muone macho kama gololi za kitanda.
Torture numbers, and they'll confess to anything - G. Easterbrook
Wakuu nadhani hapa tatizo letu ni kuwa mediocre..
Ni kweli Chadema imefanya vyema kuliko miaka ya nyuma.., lakini all in all imefanya vibaya kwa Chama kinachotaka kuchukua nchi 2015...., Now je mtaridhika 2015 mkishindwa kwa 0.5% ?
Tuache kuwa mediocre and lets strive for the best...; Lets not settle for less...
Torture numbers, and they'll confess to anything. ~Gregg Easterbrook
sasa nani ni mvivu wa kufikiri? kama wewe unazo majibu ya hayo maswali yaweke hapa siyo utake wengine wakufanyie kazi halafu wewe uje kuchambua! Ili kuonesha kuwa hoja zako ni dhaifu fanya hii kazi wewe mwenyewe, tuwekee matokeo ya uchunguzi wako halafu watu wachambue kuona kama yana ukweli au yanakubaliana na ukweli au mantiki. Vinginevyo, uvivu wetu sisi wengine kufikiri una uwezo zaidi kuliko ujasiri wa kutupuuzia.
Ili kukusaidia, majibu ya maswali yote hayo unaweza kuyapata kwenye Tovuti ya Tume ya Uchaguzi ya Taifa.
jibu hoja acha kutoa povu, no research no right to speak
hoja ipo sana tu!mwenzetu katoa changamoto,hata kama hana data ni vyema wale waliobobea katika chambuzi za siasa zetu mkamuwekea hizo data na kupangua hoja yake.mleta mada anaamini wakongwe mnazo data anazphitaji,msaidieni basi!
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha h..kumbe MM na wewe uwa unavituko " Gololi za Kitanda" zikoje?
kama anao mwongozo na wewe umeuona na una chembe za ubongo kwanini usiutumie? au na wewe mvivu wa kufikiri? kichwa kama andazi lililoungua.
inaonesha ni jinsi gani ulikua mjuzi wa kukalili wakati wa uwanafunzi wako.
Kuna watu wanataka tuitendee CDM kama mwali fulani hivi. Wana mapenzi ya ajabu kwa chama badala ya kanuni kiasi kwamba mtu akikosoa CDM tu mishipa inawatoka wanaona kama tunaiharibia hawaoni kuwa tunaisaidia sana. Wengine wangependa ukosoaji wa CDM ufanyike sirini lakini wa CCM ufanyike hadharani. CDM ni kama chama kingine cha kisiasa; inataka kushika madaraka.
Haa ha haa!! Duh! We ni noma!! Bonge la GT!!
Btw, ni busara ndogo sana inipasayo kuitumia kukujibu!!
Nasubiri data kiongozi!!
mm sikukalili bali niliuelewa na ninajitahidi kuishi katika usemi huo. kwani kama huna ushahidi unakuwa ni umbea/uongo ambao unaweza kukuumbua mtu mzima wakati wowote
Oh ni mimi ndugu yangu wala usiwe na shaka; watu wakileta hoja watajibiwa kwa hoja; wakileta vioja watajibiwa kwa vioja. Kuna watu wanataka tuitendee CDM kama mwali fulani hivi. Wana mapenzi ya ajabu kwa chama badala ya kanuni kiasi kwamba mtu akikosoa CDM tu mishipa inawatoka wanaona kama tunaiharibia hawaoni kuwa tunaisaidia sana. Wengine wangependa ukosoaji wa CDM ufanyike sirini lakini wa CCM ufanyike hadharani. CDM ni kama chama kingine cha kisiasa; inataka kushika madaraka.
Tatizo ni kuwa madaraka yana tabia mbaya sana kwa wanaoyataka; yana tabia ya kuwaharibu. Kuna watu wanafikiria CDMM wakiingia madarakani hawatoharibiwa. Tayari tumeshaona dalili za baadhi ya watu ndani ya CDM kuharibiwa vibaya sana na tumadaraka tudogo waliko nako hadi inaudhi wakipata na vyombo vya dola watakuwaje.