mpoleeee
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 310
- 130
Dada Regia Mtema alikua anatuwakilisha hapa jf na uraian. Nawaomba wanawake wenye vipaji vya siasa hapa jf mjitokeze na muache woga na kujificha katika kupambana kwa manufaa ya nchi yetu bega kwa bega na wanaume kama njia moja wapo ya kumuenzi. R.I.P dada regia.