Wito kwa WanaJF: JF Member anapokufa, je, tuanze kuonesha solidarity yetu kama msiba wa Regia, au tuache tu kila mtu na bahati yake na hadhi yake?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,503
113,614
Wanabodi,

Kiukweli mimi ni follower mzuri wa Jukwaa la Siasa, halafu majukwaa mengine kutembelea mara moja moja.

Sasa jana, kutokana na Tanesco kutufanyia vitu vyake toka asubuhi, kwa wengine umeme ndio kila kitu, hivyo leo nikazianzia mapema tuu ile saa 10 tayari niko viti virefu, by saa 2:00 usiku nimeisha pindua gari, hivyo kufika saa 8 usiku, usingizi umakata.

Mtu anabaki kuhesabu kenchi na hizi nyumba zetu za mbavu za mbwa za kupanga ambazo hazina siling board, na usiku wa manene ulivyo utulivu, unajikuta unayasikia yanayoendelea chumba cha jirani, kuna sauti na sauti, lakini sauti nyingine kiukweli, usingizi ndio unakata kabisa!, nikajikuta naingia MMU, ndio usingizi ukakata kabisa baada ya kukuta taarifa ya kifo cha member maarufu number 1 wa jf kule MMU na Celebrity Forum.

Kwa masikitiko makubwa ninapenda kuwapa taarifa ya mdau mwenzetu humu anayeitwa warumi amefariki usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa anapambana kwa ugonjwa wa figo.

Warumi alikuwa kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 29.

Taarifa hii nimepewa na dada yake mda huu, msiba unaelekea kwao Tegeta .

UPDATE:
Msiba upo Tegeta Nyuki, ukifika Stand unachukua boda au bajaj unawaambia wakupeleke nyumbani kwa Kiboko, maana msiba upo opposite na utaona geti jeusi liko wazi - ingia.

Msiba utasafirishwa kwenda Mbeya, Nonde Mabatini.

UPDATE.
Misa ya kumuaga itafanyika kesho tarehe 27 August saa 8 mchana Muhimbili.
Duh, japo mimi sio mwanachama active wa celebrity forum, ila jamaa namkubali sana na nimeguswa!.

Zamani JF ilikuwa tukipoteza mwanachama, Jf management ilikuwa inafanya some sort of organisation, nakumbuka msiba wa Regia if tulitengeneza hadi Tshirts na tuka jiorganize hadi kuhudhuria mazishi kule Ifakara, tena kuna member alijitolea, usafiri wa gari yake, akajaza mafuta, akawasomba jf wakatia timu kuhudhuria mazishi, Ifakara. Hebu tazameni hapa chini.

Hawa walituwakilisha vyema:
jf-team.jpg
Vijana wa Mtandao wa Jamii Forum wakiwa wamevalia rasmi waliposhiriki kuuaga mwaili wa aliyekuwa mwanachama wa mtandao huo, marehemu, Regia Mtema.

Naomba niishie hapa, nitaendelea kesho na tutakuwa Live kutoka Ifakara (pamoja na picha)
I don't know what happened now. Should we push for equal treatment during the demise of our members, tuweke system ya ndugu kuripoti kwa jf management kifo cha mwanachama wetu yoyote regardless umaarufu wake, kisha waweke number ya mchango, wana jf kuchangie, na siku ya kuaga jf management iwepo na kukabidhi mchango kwa wafiwa na mtu wa jf atoe neno.

Na kwenye mazishi ya wana jf wa eneo husika wahudhurie kutuwakilisha. Kwenye mchango wa rambirambi hata tukiweka minimum TZS 1,000 tuu, kwa jinsi tulivyo wengi, hiyo fedha ina kuwa ina impact kubwa na ni faraja kwa familia kujua mpendwa wao alikuwa mwanachama wa mtandao wa jf na wana jf wanajali.

Na kwa vile wengi wa wana jf wanatumia pen names, ili kuheshimu the anonymity ya marehemu, humu jf tuu ndio atatajwa kwa jina lake la jf, mfano huyu warumi lakini pale msibani no one will mention his name, hata kwenye Salaam za jf, hatamkwi popote kwa jina, bali "marehemu alikuwa mwanachama wetu, alijinga jf lini, amechangia mada mbalimbali etc just that, na if members watakao hudhuria msiba, kwa vile kule wataliona na kulijua jina halisi, kanuni yetu na "name calling" iwe strictly observed kumuheshimu marehemu kwa kutolitaja jina lake halisi, maadam humu kwetu alikuwa warumi, then he/she will always be warumi.

Hivyo naomba kutoa wito wa swali kwa sisi wana JF, JF Member are equal, sasa member mwenzetu anapokufa, jee tuanze kuonyesha solidarity kwenye msiba kwa kushiriki na kumuenzi member mwenzetu kama tulivyofanya kwenye msiba wa Regia Mtema?, au tuache tuu hali hii iendelee kwasababu kila mtu na bahati yake na hadhi yake na umaarufu wake?

Mkuu Maxence Melo , if there is anything jf can do kuhusu huyu fallen hero, let's do something kuonyesha solidarity yetu.
RIP warumi

Pasco wa JF, anakulilia.
Paskali
 
Muda unaenda hivi sasa ni saa 12 na robo asubuhi misa inaanza saa 8 muhimbili.

Uongozi wa JF hawana ushirikiano kuhusu rambirambi.

Saaa acha tuingie ulingoni ninaomba rambi rambi zote zitume kwa Hornet kwa namba yake hii 0755155782 jina Jacklin Tumain au litasoma jacklin Palangyo.

Tafadhali ukituma kwa wakala au kwa namba yako tunaomba update hapa.
 
Alishajibu jana kuwa misiba minhi imetokea hawajachangisha ila tujiorganise tutoe namba zetu wao watasimamia.

Nimeweka no ya Hornet hapo michango itumwe hapo.
Basi kama wameruhusu sioni kama kuna haja ya kuwalaumu, wenye nia ya kuchanga watachanga, nadhani labda wanatafuta utaratibu mzuri maana mambo ya pesa yana lawama yanaweza pia kuchafua taswira ya JF, kama kuna member amejitolea kupokea kwenye namba yake pia ni jambo la kheri
 
Pamoja na mapendekezo mazuri ya mawazo kutoka kwa wadau bado ninaendelea kushauri uongozi wa JF kwamba imefika wakati sasa sisi kama wanaJF tukawa na mfuko wa dharura (Emergence Fund) ambao tutakuwa tunauchangia kwa viwango vitakavyokubaliwa, kisha inapotokea mmoja wa wanaJF ametutoka na Uongozi wa JF ukapokea taarifa rasmi zilizothibitishwa basi kiweze kutolewa kiasi cha fedha kama pole ya rambirambi kwa wafiwa/mfiwa kadri itakavyokubaliwa.

Kazi ya Uongozi wa JF ni ku moderate tu hili jambo likae vizuri. Naamini sisi kama wanachama wa JF hili jambo tutaliunga mkono.
 
Wanabodi,
Kiukweli mimi ni follower mzuri wa Jukwa la Siasa, halafu majukwa mengine kutembelea mara moja moja.

Sasa jana, kutokana na Tanesco kutufanyia vitu vyake toka asubuhi, kwa wengine umeme ndio kila kitu, hivyo leo nikazianzia mapema tuu ile saa 10 tayari niko viti virefu, by saa 2:00 usiku nimeisha pindua gari, hivyo kufika saa 8 usiku, usingizi umakata. Mtu anabaki kuhesabu kelechi na hizi nyumba zetu za kupanga ambazo hazina siling board, na usiku wa manene ulivyo utulivu, unajikuta unayasikia yanayoendelea chumba cha jirani, kuna sauti na sauti, lakini sauti nyingine kiukweli, usingizi ndio unakata kabisa, nikajikuta naingia MMU, ndio usingizi ukakata kabisa baada ya kukuta taarifa ya kifo cha member maarufu number 1 wa jf kule MMU na Celebrity Forum.

Duh..., japo mimi sio mwanachama active wa celebrity forum, ila jamaa namkubali sana na nimeguswa.

Zamani JF ilikuwa tukipoteza mwanachama, if management ilikuwa inafanya some sort of organisation, nakumbuka msiba wa Regia if tulitengeneza hadi Tshirts na tuka jiorganize hadi kuhudhuria mazishi kule Ifakara, tena kuna member alijitolea gari yake!
Hebu tazameni hapa chini


I don't know what happened now. Should we push for equal treatment during the demise of our members, tuweke system ya ndugu kuripoti kwa jf management kifo cha mwanachama wetu yoyote regardless umaarufu wake, kisha waweke number ya mchango, wana jf kuchangie, na siku ya kuaga jf management iwepo na kukabidhi mchango kwa wakiwa na mtu wa jf atoe neno.

Na kwenye mazishi ya wana jf wa eneo husika wahudhurie kutuwakilisha.

Kwenye mchango wa rambirambi hata tukiweka minimum TZS 1,000 tuu, kwa jinsi tulivyo wengi, hiyo fedha ina kuwa ina impact kubwa na ni faraja kwa familia kujua mpendwa wao alikuwa mwanachama wa mtandao wa jf na jf wanajali.

Na kwa vile wengi wa wana jf wanatumia pen names, ili kuheshimu the unanimity ya marehemu, humu jf tuu ndio atatajwa kwa jina lake la jf, mfano huyu warumi , lakini
pale msibani no one will mention his name, hata kwenye Salaam za jf, hatamkwi popote kwa jina, bali "marehemu alikuwa mwanachama wetu, alijinga jf lini, amechangia mada mbalimbali etc just that, na if members watakao hudhuria msiba, kwa vile kule wataliona na kulijua jina halisi, kanuni yetu na "name calling" iwe strictly observed kumuheshimu marehemu kwa kutolitaja jina lake halisi, maadam humu kwetu alikuwa warumi , then he/she will always be warumi.

Hivyo naomba kutoa wito wa swali kwa sisi wana JF, JF Member are equal, sasa member mwenzetu anapokufa, jee tuanze kuonyesha solidarity kwenye msiba kwa kushiriki na kumuenzi member mwenzetu kama tulivyofanya kwenye msiba wa Regia Mtema?, au tuache tuu hali hii iendelee kwasababu kila mtu na bahati yake na hadhi yake na umaarufu wake?.

Mkuu Maxence Melo , if there is anything jf can do kuhusu huyu fallen hero, let's do something kuonyesha solidarity yetu.
RIP warumi !.
Pasco wa jf, anakulilia.
Paskali
😍
 
Wanabodi,
Kiukweli mimi ni follower mzuri wa Jukwa la Siasa, halafu majukwa mengine kutembelea mara moja moja.

Sasa jana, kutokana na Tanesco kutufanyia vitu vyake toka asubuhi, kwa wengine umeme ndio kila kitu, hivyo leo nikazianzia mapema tuu ile saa 10 tayari niko viti virefu, by saa 2:00 usiku nimeisha pindua gari, hivyo kufika saa 8 usiku, usingizi umakata. Mtu anabaki kuhesabu kelechi na hizi nyumba zetu za kupanga ambazo hazina siling board, na usiku wa manene ulivyo utulivu, unajikuta unayasikia yanayoendelea chumba cha jirani, kuna sauti na sauti, lakini sauti nyingine kiukweli, usingizi ndio unakata kabisa, nikajikuta naingia MMU, ndio usingizi ukakata kabisa baada ya kukuta taarifa ya kifo cha member maarufu number 1 wa jf kule MMU na Celebrity Forum.

Duh..., japo mimi sio mwanachama active wa celebrity forum, ila jamaa namkubali sana na nimeguswa.

Zamani JF ilikuwa tukipoteza mwanachama, if management ilikuwa inafanya some sort of organisation, nakumbuka msiba wa Regia if tulitengeneza hadi Tshirts na tuka jiorganize hadi kuhudhuria mazishi kule Ifakara, tena kuna member alijitolea gari yake!
Hebu tazameni hapa chini


I don't know what happened now. Should we push for equal treatment during the demise of our members, tuweke system ya ndugu kuripoti kwa jf management kifo cha mwanachama wetu yoyote regardless umaarufu wake, kisha waweke number ya mchango, wana jf kuchangie, na siku ya kuaga jf management iwepo na kukabidhi mchango kwa wakiwa na mtu wa jf atoe neno.

Na kwenye mazishi ya wana jf wa eneo husika wahudhurie kutuwakilisha.

Kwenye mchango wa rambirambi hata tukiweka minimum TZS 1,000 tuu, kwa jinsi tulivyo wengi, hiyo fedha ina kuwa ina impact kubwa na ni faraja kwa familia kujua mpendwa wao alikuwa mwanachama wa mtandao wa jf na jf wanajali.

Na kwa vile wengi wa wana jf wanatumia pen names, ili kuheshimu the unanimity ya marehemu, humu jf tuu ndio atatajwa kwa jina lake la jf, mfano huyu warumi , lakini
pale msibani no one will mention his name, hata kwenye Salaam za jf, hatamkwi popote kwa jina, bali "marehemu alikuwa mwanachama wetu, alijinga jf lini, amechangia mada mbalimbali etc just that, na if members watakao hudhuria msiba, kwa vile kule wataliona na kulijua jina halisi, kanuni yetu na "name calling" iwe strictly observed kumuheshimu marehemu kwa kutolitaja jina lake halisi, maadam humu kwetu alikuwa warumi , then he/she will always be warumi.

Hivyo naomba kutoa wito wa swali kwa sisi wana JF, JF Member are equal, sasa member mwenzetu anapokufa, jee tuanze kuonyesha solidarity kwenye msiba kwa kushiriki na kumuenzi member mwenzetu kama tulivyofanya kwenye msiba wa Regia Mtema?, au tuache tuu hali hii iendelee kwasababu kila mtu na bahati yake na hadhi yake na umaarufu wake?.

Mkuu Maxence Melo , if there is anything jf can do kuhusu huyu fallen hero, let's do something kuonyesha solidarity yetu.
RIP warumi !.
Pasco wa jf, anakulilia.
Paskali
Wazo zuri sana, tutajuje mtu kafariki? Hebu nisaidieni.
 
Back
Top Bottom