dedam
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 845
- 165
Which is which jamani, ni gari ya Shabiby au Deluxe? Plz tujuzeni vzr. R.I.P wahanga wote.
mkuu ni ajali ya deluxe nashuhudia majivu tu yakipakiwa kwenye ambulance
Which is which jamani, ni gari ya Shabiby au Deluxe? Plz tujuzeni vzr. R.I.P wahanga wote.
Na tutakufa sana tusipoamua kujirekebisha.
ndo kiu yako eeh?Hakuna aliyekufa?!
Vitu vingine vinahitaji umakini kwenye kuviripoti.
Mara hakuna aliyekufa,mara watu wamekuwa majivu,mara ni SHABIBY,mara ni DELUXE sasa tushike lipi?
Wenye taarifa za kuaminika plz.