Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Wajameni ni vp naweza kuweka hzo pcha humu kwa kutumia simu? Ninazo picha za ajali ya hlo bus ila nashndwa kuziweka humu.. Msaada wenu unahtajika.
Which is which jamani, ni gari ya Shabiby au Deluxe? Plz tujuzeni vzr. R.I.P wahanga wote.
Nilibahatika kupita eneo la ajali majira ya saa moja na nusu jioni leo.....hakika hali inatisha, Bus limeteketea kabisa...nimeshuhudia vijana wa maeneo jirani wakisomba mabati na vyuma vinavyobebeka kutoka kwenye Bus lililopata ajali huku wengine wakiendelea kung'oa mabati na kukongoa vyuma...imenisikitisha..imenikera na imenichefua sana! Huu utamaduni wa kufa kufaana haufai..ni aibu!
Nimejiuliza maswali mengi kuhusu wepesi wa mamlaka za uokoaji katika hali kama hii...hivi tuna helikopta hata moja ya uokoaji? Tuna helikopta hata moja ya kusaidia kuzima moto? Nini vipaumbele vya nchi yetu?sherehe tu? Ziara za nje za viongozi? Au ununuzi wa vifaa vya kukandamiza demokrasia?
Tuache kukaa kama maboya, tufikirie namna ya kujenga mazingira ya kupunguza vifo katika ajali kama hii ya leo, inawezekana tukiacha uvivu wa kufikiri!
huyu shabiby si ni mbunge wa gairo kupitia magamba?
Hii radio sio tena ya kuburudisha?Yah, nimesikia hii ajali toka redio ya clouds FM. Kuna jamaa alikuwa anaripoti live akiwa eneo la tukio. Pole sana kwa waliopata ajali na ndugu na jamaa zao!
Innalillahi wainna ilayhi rajiuun.Nimeckia mda mfupi kutoka radio free kwny kipind cha darubini ya leo kuwa watu walikua km 65 na walookolewa ni km 15,walobak wote wameteketea kwa moto.polen sana wafiwa kwa msiba huu mkubwa,Mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi amina.
Mkuu unaulizia Helicopter kwani kuna uchaguzi mdogo sehemu?? au EL keshavua nae Gamba?Nilibahatika kupita eneo la ajali majira ya saa moja na nusu jioni leo.....hakika hali inatisha, Bus limeteketea kabisa...nimeshuhudia vijana wa maeneo jirani wakisomba mabati na vyuma vinavyobebeka kutoka kwenye Bus lililopata ajali huku wengine wakiendelea kung'oa mabati na kukongoa vyuma...imenisikitisha..imenikera na imenichefua sana! Huu utamaduni wa kufa kufaana haufai..ni aibu!
Nimejiuliza maswali mengi kuhusu wepesi wa mamlaka za uokoaji katika hali kama hii...hivi tuna helikopta hata moja ya uokoaji? Tuna helikopta hata moja ya kusaidia kuzima moto? Nini vipaumbele vya nchi yetu?sherehe tu? Ziara za nje za viongozi? Au ununuzi wa vifaa vya kukandamiza demokrasia?
Tuache kukaa kama maboya, tufikirie namna ya kujenga mazingira ya kupunguza vifo katika ajali kama hii ya leo, inawezekana tukiacha uvivu wa kufikiri!