Hii thread imekaa sawa hapa jukwaa la siasa?
POle sana kwa waliofiwa, may the sauls of the deceased rest in peace.
polisi wako usingizini
iwe delux.iwe shabiby kinachoongelewa hapa nia ajari kubwa imetokea....poleni amilia za marehem na tunawaombea nafuu kwa majuruhi wote a ajari.........sasa tatzo kama la mv spise mtalisikia lakutokuwa na idadi kamili ya waliokuwa kwenyebasi lile.mara delux mara shabiby what is what and which is which?
Hii thread imekaa sawa hapa jukwaa la siasa?
POle sana kwa waliofiwa, may the sauls of the deceased rest in peace.
Dar shabiby mkuu mbona mwendo wake huwa ni mzuri tuuu!
Kwa wale wenye uzoefu wa kusafiri la basi la shabib dom-dar watakubaliana na mimi kuwa huwa linapakia watu wengi na pia linaendeshwa kasi sana. And so you can imagine idadi ya watu walopoteza maisha.