mara delux mara shabiby what is what and which is which?[/QUOT
Hivi wewe utapona lini huo ugonjwa wa pumu maana watu wanaongea vitu vya maana ila wewe unaendekeza ugonjwa wako sugu wa kutokunywa dawa ili upone,,, wote tumepata taarifa ya bus tofauti,, kwahiyo hapa kikubwa ni kujua nia ndugu zetu wangapi wamepona na wangapi wametutoka,,,
Acha ushamba wa kijijini au ndoo mara ya kwanza kuingia jamvini na kutoa maoni maana inawezekana hujui maana ya thread za msingi humu jamvini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Yote haya yana uhusiano gani, yeye ameuliza kutaka kujua ni basi gani limepata ajali, wewe mdomo juu! Nani mshamba baina yake na wewe hapo?
Itakuwa vyema hakuna aliyepoteza maisha aiseee.View attachment 39916mpaka sasa majeruhi 35 wamepokelewa hospitali,hakuna maiti ilopokelewa
mara delux mara shabiby what is what and which is which?[/QUOT
Hivi wewe utapona lini huo ugonjwa wa pumu maana watu wanaongea vitu vya maana ila wewe unaendekeza ugonjwa wako sugu wa kutokunywa dawa ili upone,,, wote tumepata taarifa ya bus tofauti,, kwahiyo hapa kikubwa ni kujua nia ndugu zetu wangapi wamepona na wangapi wametutoka,,,
Acha ushamba wa kijijini au ndoo mara ya kwanza kuingia jamvini na kutoa maoni maana inawezekana hujui maana ya thread za msingi humu jamvini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mkuu sijaona tatizo la jamaa kutaka kujua ni bus lipi limepata ajali, sasa wewe hasira zote hizi ni za nini?
Tunaomba details mkuu
Ajali imetokea mlandizi. Tyre burst ikapinduka na kuwaka moto.
Ajali imetokea mlandizi. Tyre burst ikapinduka na kuwaka moto.
Na tutakufa sana tusipoamua kujirekebisha.
View attachment 39916mpaka sasa majeruhi 35 wamepokelewa hospitali,hakuna maiti ilopokelewa
Wengine walidhani ni deluxe