hili jamaa bna...ka vp c apigwe hata jini
Chenge kaombwa ushauri, mlitaka adanganye? Mna nini nyinyi? Khaaa, mnashangaza.
Ni kweli wametumwa JF na sidhani kama ni sawa kuwasamehe!Mtu aliyetumwa utamfahamu tu we cheki
Join Date : 9th May 2011
Posts : 537
Thanks81Thanked 32 Times in 29 Posts
Rep Power : 22
Umekuwa na chungu ghafla, fedha uliyopewa ikiisha tu basi. Wenye akili wamekushtukia long time utakuwa unaongea kitu wanakucheki wala hakuna atakayepoteza muda na wewe
Kuna jopo la wanasheria wa CCM waliojitolea kuitetea Serikali ndidi ya mzigo huu wakiongozwa na Mh. Nimrodi Mkono; ina maana Mh. Chenge hakuwa mmoja wa hilo jopo?
Kwa kumteua huyo Mkono kuongoza hilo jopo la wanasheria wa ccm ili waisaidie nchi iepukane na hilo deni la Dowans ni sawa na kumuachia nyani shamba la mahindi!! Inaelekea tunasahau kuwa Mkono pia alikuwemo kwenya list ya Dr. Slaa ya mafisadi wanaoihujumu nchi!!
Nakumbuka Bunge lililopita, Mbunge mpya kwa tiketi ya cdm, Tundu Lissu, alipokuwa anajitafutia umaarufu Bungeni kwa kufanya u"tundu" na kuzua malumbano kwa kila hoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, alisimama Chenge na kumpa Tundu hoja moja tuu ya kisheria ambayo ilimfanya Tundu kuwacha utundu wake wa kulumbana, kwani kwa pale ilidhihirika wazi kuwa Tundu ni katoto kwa Chenge kisheria. Nani anaekumbuka?
Kwa mantiki hiyo, ikiwa Chenge kasema fedha ya Dowans walipwe, basi ujuwe kaiona sheria kwa jicho la wazi na anajuwa kutokuwalipa Dowans kunaweza kuleta utata zaidi na kuliingiza Taifa kwenye utata zaidi, Jee, inawezekana kuwa hata Symbion hawatakubali kulipia mitambo ambayo bado ina deni?
Paul huyu ni Mtanzania kweli lakini naungana nawewe kuwa na mshaka na utanzania wake inawezekana alisha ukana huo uraia wake na sasa ni mtu wa Saudia kwa Alli Hadaiwi, haiwezekani kwa mzalendo wa kweli kufanya haya anayoyafanya Andrew John Chenge.Huyu Baba ni Mtanzania kweli?
Nitamtupa kagera awe chakula cha mamba.Anyongwe
Nakumbuka Bunge lililopita, Mbunge mpya kwa tiketi ya cdm, Tundu Lissu, alipokuwa anajitafutia umaarufu Bungeni kwa kufanya u"tundu" na kuzua malumbano kwa kila hoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, alisimama Chenge na kumpa Tundu hoja moja tuu ya kisheria ambayo ilimfanya Tundu kuwacha utundu wake wa kulumbana, kwani kwa pale ilidhihirika wazi kuwa Tundu ni katoto kwa Chenge kisheria. Nani anaekumbuka?
Kwa mantiki hiyo, ikiwa Chenge kasema fedha ya Dowans walipwe, basi ujuwe kaiona sheria kwa jicho la wazi na anajuwa kutokuwalipa Dowans kunaweza kuleta utata zaidi na kuliingiza Taifa kwenye utata zaidi, Jee, inawezekana kuwa hata Symbion hawatakubali kulipia mitambo ambayo bado ina deni?
Jee kuna sababu yoyote ya maana kwa kutumia huduma ya mtu halafu usimlipe?
Matusi na kashfa ya nini kiongozi? au ndio uoenekane unauchungu sana wa nchi hii,tumia busara walau kidogo ili uonekane una akili timamu za kiungwana huna haja ya kutukana mawazo ya mtu.Tatizo ni kwamba Sehemu ambayo akili inapaswa kuingilia Umeifunika. Nenda kavue huo ujinga kwanza ndipo ubongo wako ufunguke na kuchangia points zenye akili. Nyau we!!
U wapi uzalendo wa viongozi kwa Taifa lao.,bila hata aibu unaisaidia kampuni 'inayoidai' serikali unayoitumikia ili iweje?.Nilitegemea angesaidia serikali na nchi yake isiingie au jinsi ya kujitoa katika katika migogoro ya kisheria...
Mbona Mende ana wadai waingereza wamrudishie chenji Chenge aliyo isahau BAE? Umelogwa kuichukia Tanzania wewe, siyo bure!
Du, kweli Taznaia tuna vila za wengi. Poa Faizah, sikutegemea kama Pesa ya huyu jamaa unaitafuana.
Mtu aliyetumwa utamfahamu tu we cheki
Join Date : 9th May 2011
Posts : 537
Thanks81Thanked 32 Times in 29 Posts
Rep Power : 22
Umekuwa na chungu ghafla, fedha uliyopewa ikiisha tu basi. Wenye akili wamekushtukia long time utakuwa unaongea kitu wanakucheki wala hakuna atakayepoteza muda na wewe
Chenge amesoma jengo moja na Obama, HARVARD, chuo baba wa dunia, huyu tungemchukua tukampa TAKUKURU aiendeshe, tutawanyonga wangapi? basi tuanze na Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Karume na wote, nina uhakika asilimia 100 viongozi wetu wameiba japo mara 3 kila mmoja, ok Chenge amepokea asante ya dola mil 1, tunamsumbua, na Jeetu Patel amechota Billioni 400 za BOT na sehemu ya pesa hiyo ndio imeanzisha bank yake ya M, huyu anatetewa na Nimrod Mkono ndugu yake Mwalimu Nyerere, sasa fisadi ni nani? jamani mi kichwa kinanizunguuka tu. Chenge amenuna sasa apewe TAKUKURU amalizie hasira zake lakini tujue hatapatikana wa kuongoza nchi